Sunday , 19 May 2024

Month: October 2021

Habari za SiasaTangulizi

Jaji mwingine kesi ya kina Mbowe ajitoa, asema…

  JAJI Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mustapha Siyani amejitoa kusikiliza kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya kupanga njama za ugaidi...

Kimataifa

Misri yawaapisha majaji 100 wanawake

  BARAZA kuu la Serikali ya Misri limewateua kwa mara ya kwanza wanawake 98 kuwa majaji katika baraza hilo hilo ambalo ni moja...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi Mbowe, wenzake: Mahakama yapangua pingamizi yao

  MAHAKAMA KUU, Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, nchini Tanzania imeyatupa mapingamizi mawili ya upande wa utetezi katika kesi inayomkabili kiongozi wa...

Michezo

UEFA yapamba moto, Salah usipime

  MSHAMBULIAJI wa Liverpool ambaye pia ni raia wa Misri, Mohamed Salah amezidi kupamba moto kila panapokucha baada ya jana tarehe 19 Oktoba,...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe amtaja Mwalimu Nyerere mahakamani

  KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe amesema, kiongozi wa mwisho wa Taifa hilo ni Hayati Baba...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Mwamakula aendesha maombi mahakamani kesi ya Mbowe

  ASKOFU wa Kanisa la Uamsho la Moravian, Emmaus Mwamakula, ameendesha maombi maalum katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu...

Michezo

Yanga yaendelea kukusanya pointi, yaipiga KMC

  TIMU ya Yanga ya jijini Dar es Salaam, imeendelea kuonesha makucha yake katika ligi kuu NBC Tanzania Bara 2021/22, kwa kujikusanyia pointi...

Habari Mchanganyiko

Watu milioni 6.4 wapata msaada, elimu ya kisheria

  SHIRIKA la Huduma za Sheria (LSF) linatimiza miaka 10 tangu kuanzishwa kwake. Ni muongo mmoja ambao umewanufaisha mamilioni ya Watanzania hususani wanawake...

Kimataifa

Mwanamke ajifungua watoto saba, madaktari wapigwa butwaa

  NI MIUJIZA! Ndivyo unavyoweza kueleza tukio la Mwanamke mmoja aliyejifungua watoto saba kwa mpigo mjini Abbottabad huko nchini Pakistan. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe na wenzake kortini kesho, Jaji anayesikiliza kesi hiyo kitendawili

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi nchini Tanzania, kesho Jumatano, tarehe 20 Oktoba 2021, inatarajia kutoa uamuzi wa...

Michezo

Kocha Yanga ang’aka kutumika wachezaji nane wa kigeni mchezo mmoja.

  KOCHA mkuu wa klabu ya Yanga, Mohmed Nabi ameonekana mbogo, kutokana na kanuni ya kutumia wachezaji nane wakigeni katika mchezo mmoja, kitu...

Kimataifa

Askari mbaroni kwa kumrekodi video mwanamke akiwa msalani

  ASKARI mmoja wa kampuni binafsi ya ulinzi nchini Kenya, ameburuzwa katika mahakama ya Kibera kwa tuhuma za kumrekodi mwanamke akiwa msalani katika...

Michezo

Simba yaitisha mkutano mkuu

KLABU ya soka ya Simba kupitia bodi ya wakurugenzi, imeitisha mkutano mkuu wa mwaka ambao utafanyika Tarehe 21, Novemba 2021 kwenye ukumbi wa...

Habari Mchanganyiko

RC Dar aongeza siku 12 wafanyabiashara kuhama

  MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC) nchini Tanzania, Amos Makalla ameongeza muda wa siku 12 kwa wanaofanya biashara maeneo yaliyokatazwa...

Afya

Uzito uliozidi, kiribatumbo chanzo cha magonjwa sugu

  TAASISI ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), imesema uzito uliozidi na kiribatumbo ni chanzo kikuu cha magonjwa sugu na yasioyakuambukiza. Anaripoti Selemani...

Habari Mchanganyiko

Asilimia 75 Dodoma wana uoni hafifu, trakoma! ushirikina watajwa

  ASILIMIA 75 hadi 85 ya wakazi wa jiji la Dodoma wanakabiliwa na matatizo mbalimbali ya macho ikiwamo uoni hafifu pamoja na ugonjwa...

Michezo

TFF yawapa ahueni Biashara United

  SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limesongeza mbele mechi kati ya Tanzania Prisons dhida ya Biashara United iliyokuwa ichezwe kesho Jumanne...

Habari za Siasa

Rais Samia amaliza ziara Arusha, arejea Dodoma

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amehitimisha ziara yake ya siku tano katika mikoa ya Kilimanjaro na Arusha na kurejea Ikulu ya...

Habari za SiasaTangulizi

NCCR-Mageuzi wamgomea Jaji Mutungi

  CHAMA cha siasa cha upinzani nchini Tanzania cha NCCR-Mageuzi kimesema, hakitashiriki kikao kilichoitishwa na ofisi ya msajili wa vyama vya siasa na...

Habari za Siasa

NEC yatangaza uchaguzi mdogo Jimbo la Ngorongoro

  TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetangaza uchaguzi mdogo katika Jimbo la Ngorongoro, mkoani Arusha na Kata ya Naumbu mkoani Mtwara, ili...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sabaya ‘apigwa’ upara

  SIKU tatu baada ya kuhukumiwa kwenda jela miaka 30, yeye na wenzake wawili kwa makosa ya unyang’anyi wa kutumia silaha, aliyekuwa Mkuu...

Michezo

Mlinzi Yanga apata pigo

  BEKI wa kulia wa timu ya wananchi- Yanga SC. Paul Godfrey Nyang’anya maarufu kama ‘Boxer’ amepata pigo baada ya kuondokewa na baba...

Habari za Siasa

Rais Samia awageuzia kibao watumishi wa umma

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu, amewaagiza viongozi wa mikoa, wilaya na halmashauri, kutowafumbia macho watumishi wa umma wanaojihusisha na vitendo vya wizi,...

Habari za Siasa

Chongolo aeleza changamoto ya maji Longido ‘walifuata Kenya’

  KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, amesema wananchi wa Longido mkoani Arusha, kwa muda mrefu walikuwa wanakabiliwa na changamoto...

Habari za SiasaTangulizi

Wenyeviti Chadema watoa ya moyoni kesi ya Mbowe, Sabaya

  WENYEVITI wa mikoa ya chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania- Chadema wamesema, kilichomtokea Lengai Ole Sabaya, aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai,...

Kimataifa

‘Sangoma’ wanne wauawa kisa mate

  WANAKIJIJI wanne wakongwe wameteketezwa kwa moto jana tarehe 17 Oktoba, 2021 baada ya kutuhumiwa kuwa ni wachawi. Anaripoti Mwandishi Wetu  … (endelea)....

Habari za Siasa

Mabilioni yamwaga ujenzi wa miradi ya maji

  WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso, amesema katika kipindi cha miezi sita cha uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, Serikali yake imetoa mabilioni...

Habari za SiasaTangulizi

Vick Kamata afichua mateso ubunge miaka mitano iliyopita

  ALIYEKUWA mbunge wa Viti Maalum, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Vick Kamata Servacius Likwelile, ameibuka na kueleza mambo mazito ambayo yeye na...

Kimataifa

Wapinzani Sudan waandamana  kutaka utawala wa kijeshi

  WAKATI mataifa mengi duniani yakikwepa utawala wa kijeshi, kwa upande wa Sudan baadhi ya wananchi wameandamana kupinga Serikali ya mseto inayoundwa na...

Michezo

Samia awapa neno wanaohoji ziara zake nje, mikopo

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema haendi nje ya nchi kucheza, bali anakwenda kutafuta fursa za maendeleo ya nchi. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

NMB yamwaga misaada ya mamilioni sekta afya, elimu

  BENKI ya NMB nchini Tanzania, imehitimisha maadhimisho wiki ya huduma kwa mteja kwa kutumia Sh.180.25 milioni kutoa misaada ya sekta ya elimu...

Habari za Siasa

Gambo amtwisha mizigo ya Arusha Rais Samia

  MBUNGE wa Arusha Mjini nchini Tanzania kupitia chama tawala- (CCM), Mrisho Gambo, amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, atatue changamoto zinazoukabili Mkoa wa...

Tangulizi

Rais Samia ampa siku 90 DED Karatu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amempa miezi mitatu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu mkoani Arusha (DED), Karia Rajabu,...

Habari Mchanganyiko

Irine, Edna wahitimu bora UDSM, Rais msaafu Kikwete awapa neno

  WASICHANA Irine Christopher Msengi, ameibuka kuwa mwanafunzi bora katika shahada ya awali ya Biashara katika Uhasibu wa Chuo Kikuu cha Dar es...

Michezo

Simba yatumia dakika 3 kuwaua Wabotswana

  DAKIKA tatu zimetosha kwa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2020/21, Simba kuanza safari vyema ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika...

Habari za SiasaTangulizi

Kada Chadema arudi CCM mbele ya Rais Samia, aomba kazi

  ALIYEWAHI kuwa Diwani wa Sombetini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Ally Bananga, ametangaza kurejea katika chama tawala cha Mapinduzi (CCM),...

Habari

Mbunge amwangukia Rais Samia kina mama kujifungulia njiani

  MBUNGE wa Arumeru Magharibi wa chama tawala nchini Tanzania-CCM, Lembris Noah, amemuomba Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan, atimize ahadi ya...

Habari

Sabaya, wenzake kurejea tena mahakama kesho

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania, Lengai Ole Sabaya ambaye amehukumiwa miaka 30 gerezani, kesho Jumatatu tarehe 18...

Habari za Siasa

Kilio cha kuunganishiwa umeme na NIDA chaibuka, serikali yajibu

SERIKALI ya Tanzania, imeombwa kuingilia kati changamoto zinazokwamisha huduma zinazotolewa na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Mamalaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA)....

Habari Mchanganyiko

Watanzania 940,000 wapata chanjo ya korona, zingine laki 5…

  SERIKALI ya Tanzania imesema, hadi kufikia juzi Ijumaa tarehe 15 Oktoba 2021, takiribani wananchi 940,000 walikuwa wamepata chanjo ya ugonjwa unaosababishwa na...

Habari za Siasa

Serikali ya Tanzania yabanwa zuio mikutano ya kisiasa, yajibu

  SERIKALI ya Tanzania, imesema haizuii mikutano ya vyama vya siasa bali mikutano inayozuiwa ni ile yenye viashiriavya kuhatarisha usalama wa nchi. Anaripoti...

Habari za Siasa

Profesa Kitila aahidi neema wenye viwanda Tanzania

  WAZIRI wa Viwanda na Biashara nchini Tanzania, Profesa Kitila Mkumbo amesema, Serikali inaendelea kuzifanyia kazi changamoto kwenye bidhaa za ndani hususan kodi...

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania yazungumzia uchunguzi kupotea Azory Gwanda

  MSEMAJI Mkuu wa Serikali ya Tanzania, Gerson Msigwa, amesema Jeshi la Polisi nchini humo, linaendelea kufanya uchunguzi kuhusu tukio la kupotea kwa...

Habari za Siasa

DC Kahama atoboa siri kuibuka kinara usimamizi miradi ya maendeleo

  MKUU wa Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, Festo Kiswaga amesema siri ya Manispaa ya Kahama kuwa mshindi wa kwanza kitaifa katika kilele...

AfyaHabari za Siasa

Rais Samia: Asilimia 88.9 wamechanja chanjo ya Corona

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema hadi kufikia jana tarehe 15 Oktoba, 2021 jumla ya Watanzania 940,507 walikuwa wamekwishachanja chanjo ya Covid –...

Habari za Siasa

Rais Samia aeleza sababu uhaba watumishi wa afya, ataja ‘wages bill’

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema sababu ya kuwapo kwa uhaba wa watumishi wa kada ya afya na elimu ni kutokana na mahesabu...

Kimataifa

Mauaji ya mbunge wa Uingereza ni kisa cha kigaidi – Polisi

  POLISI nchini Uingereza imesema, kisa cha mbunge David Amess kuuawa Ijumaa kwa kudungwa kisu, kilikuwa kitendo cha kigaidi. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

Habari Mchanganyiko

Askofu Dk. Shoo ashangaa viongozi wa dini, siasa kuhamasisha Watanzania wasichanje chanjo ya UVIKO- 19

  ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili na Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Fredrick Shoo amesema amewashangaa na kuhuzunika kusikia baadhi ya viongozi wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu Dk. Shoo: Walah Rais Samia Mungu amekuweka kwa kusudi, kubali kuponya majeraha

  ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili na Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Fredrick Shoo amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan aendelee kusimama katika yale...

Michezo

Ligi Kuu bara kurejea leo, viwanja viwili kuwaka moto

  NBC PremierLeague inarejea leo Jumamosi tarehe 16 Oktoba, 2021 kwa michezo miwili kupigwa katika viwanja viwili tofauti. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

error: Content is protected !!