Tuesday , 7 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Vick Kamata afichua mateso ubunge miaka mitano iliyopita
Habari za SiasaTangulizi

Vick Kamata afichua mateso ubunge miaka mitano iliyopita

Vick Kamata
Spread the love

 

ALIYEKUWA mbunge wa Viti Maalum, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Vick Kamata Servacius Likwelile, ameibuka na kueleza mambo mazito ambayo yeye na baadhi ya wabunge wenzake, waliyapitia katika kipindi cha miaka mitano ya uongozi wa Rais John Magufuli. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Akiandika katika ukurasa wake Instagram, Vick amesema, “miaka mitano iliyoisha 2020, niliishi maisha magumu bungeni.” Anamtaja mwenzake ambaye anadai kuwa ubunge ulimtokea puani kama yeye, ni Dk. Dalali Peter Kafumu, ambaye alikuwa mbunge wa Igunga, mkoani Tabora.

Vick ameeleza hayo, muda mfupi baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani Arusha, kumhukumu kifungo cha miaka 30 gerezani, Lengai ole Sabaya, ambaye alikuwa mkuu wa wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro.

Kwa habari zaidi, soma gazeti lako la Raia Mwema, toleo la leo Jumatatu, 18 Oktoba 2021.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Jacob, Malisa wapandishwa kizimbani kwa mashtaka ya uongo mitandaoni

Spread the loveMKURUGENZI wa Shirika la Haki, Godlisten Malisa na mwanachama wa...

BiasharaHabari za Siasa

Bunge laitaka Serikali kudhibiti ufisadi miradi ya mkakati

Spread the loveKAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, imeitaka Serikali kuimarisha...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Wizara ya Uchukuzi yaomba kuongezewa bajeti na Bunge

Spread the loveWIZARA ya Uchukuzi imeliomba Bunge liidhinishe bajeti yake kwa mwaka...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Serikali kutafuta mwekezaji mwingine Bandari ya Dar es Salaam

Spread the loveSERIKALI inaendelea kutafuta mwekezaji mwingine atakayeendesha gati namba nane hadi...

error: Content is protected !!