Tuesday , 30 April 2024

Month: September 2021

Kimataifa

Rais wa zamani Ufaransa jela mwaka mmoja

  RAIS wa zamani wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela na Mahakama kuu ya Paris nchini huko baada ya...

Michezo

Fahyvanny aanika mazito kuhusu Rayvanny

  MWANAMITINDO na mzazi mwenza wa Staa wa Bongofleva, Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’, Faima Msenga ‘Fahyma au Fahyvanny’ ameweka wazi kuwa hana matatizo na...

Kimataifa

Denti Chuo Kikuu auawa kikatili na mpenzi wake

  HALI ya majonzi imetanda katika Chuo kikuu cha Laikipia nchini Kenya baada ya mwanafunzi mmoja wa kike kuuawa kinyama kwa kuchomwa kisu...

Kimataifa

Vikosi vya Israel vyawaua Wapalestina 2

  WAPALESTINA wawili wauawa na vikosi vya Israel kwenye matukio tofauti huko Palestina. Anaripoti Glory Massamu TUDARCo kwa msaada wa mitandao ya kimataifa...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia aitembelea LSF

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametembelea banda la Shirika Lisilo la Kiserikali, linaloshughulika na masuala ya msaada wa kisheria, Legal Service...

Habari Mchanganyiko

Wadau wanolewa matumizi sahihi ya mitandao

  SHIRIKA lisilo la kiserikali, linaloshughulika na masuala ya utetezi wa haki za kidigitali, Zaina Foundation, likishirikiana na Shirika la Haki Maendeleo, limewanoa...

Habari za SiasaTangulizi

Majaliwa asimulia Ole Nasha alivyofikwa na mauti

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amesema kifo cha aliyekuwa Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji, William Tate Ole Nasha, kilichotokea...

Kimataifa

Angela markel atoa pongezi kwa Scholz

  KANSELA wa Ujerumani, Angela Merkel amempongeza mgombea wa ukansela aliyekuwa mpinzani wake kupitia chama cha Social Democratic SPD Olaf Scholz. Anaripoti Helena...

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya kusuka, kunyoa kesho

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha nchini Tanzania, kesho Ijumaa tarehe 1 Oktoba 2021, itatoa hukumu ya kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha,...

Habari za Siasa

Serikali yakamilisha muongozo wa misamaha ya kodi kwa NGO’s

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imeshakamilisha kitini kinachotoa muongozo wa namna mashirika yasiyo ya kiserikali (NGO’s) yatanufaika na misamaha ya kodi....

Habari za Siasa

Rais Samia atoa mitihani mitano kwa NGO’s

  RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa mitihani mitano kwa mashirika yasiyo ya kiserikali nchini ikiwamo kuoanisha mipango yao na vipaumbele na mipango ya...

AfyaHabari Mchanganyiko

GGML yatoa milioni 800 kukarabati hospitali ya rufaa Geita

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita na Chama cha Madaktari Tanzania (MAT)...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe, wezake: Mke wa mshtakiwa ‘tuliwatafuta waume zetu hadi mochwari hatukuwaona’

  LILIAN Furaha Kibona, mke wa mshtakiwa wa pili, Adam Kasekwa, ameieleza Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumi Uchumi, Dar...

Michezo

Fei Toto apeleka shangwe jangwani, kilio Kagera

  BAO pekee lililofungwa dakika ya 24 na kiungo hodari wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’ limetosha kupeleka shangwe kwa mashabiki wao ndani...

Habari za Siasa

Rais Samia akutana tena na Tony Blair

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu wa Uingereza, Tony Blair. Anaripoti Wiston Josia, TUDARCo...

Habari za SiasaTangulizi

Jamhuri ilivyomhoji mke wa mshtakiwa kuhusu Mbowe

  LILIAN Furaha Kibona, mke wa mshtakiwa wa pili, Adam Kasekwa, kwenye kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na...

Michezo

Alikiba: Mfalme ni mmoja tu, albam wiki ijayo

  HATIMAYE Staa wa Bongofleva nchini, Ali Salehe Kiba maarufu kama Alikiba ametangaza kuachia albam yake ya tatu inayokwenda kwa jina la ‘The...

Habari za SiasaTangulizi

Uamuzi kesi ndogo Mbowe, wenzake 19 Oktoba

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam, imeahirisha usikilizwa wa kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman...

Tangulizi

Ole Nasha kuagwa kesho Dodoma, kuzikwa Jumamosi Arusha

SERIKALI imesema aliyekuwa Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji, William Tate Ole Nasha ambaye pia alikuwa ni Mbunge wa Ngorogoro (CCM )...

Tangulizi

Kesi ya Mbowe, wezake: Mke wa mshtakiwa ‘tuliwatafuta waume zetu hadi mochwari hatukuwaona’

  LILIAN Furaha Kibona, mke wa mshtakiwa wa pili, Adam Kasekwa, ameieleza Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumi Uchumi, Dar...

Michezo

Messi afungua akauti ya mabao PSG

  Mshambuliaji wa mpya wa klabu ya PSG Raia wa Argentina Lionel Messi amefungua rasmi akauti ya mabao katika klabu yake hiyo, mara...

MichezoTangulizi

Yanga kuwa vaa Kagera Sugar bila Mwamnyeto

  Klabu ya soka ya Yanga leo 29 Septemba 2021, itanza kutupa karata yake ya kwanza katika Ligi Kuu Tanzania Bara ugenini dhidi...

MichezoTangulizi

Mo Dewji ang’oka Simba, ateua mrithi

  MOHAMED Dewji, Mkurugenzi wa Bodi ya Klabu ya Simba ya jijini Dar es Salaam nchini Tanzania ametangaza kuachia nafasi hiyo na kumteua...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe, wenzake; Mke wa mshtakiwa aanza kutoa ushahidi, walivunja mlango!

  MKE wa mshtakiwa Adam Kasekwa ambaye ni shahidi wa tatu wa utetezi, Lilian Kibona, ameanza kutoa ushahidi wake katika Mahakama ya Uhujumu...

Kimataifa

Maofisa wanne wa jeshi la Rwanda wauawa Msumbiji, 14 wajeruhiwa

  MAOFISA wanne wa jeshi la Rwanda wameuawa nchini Msumbiji, katika operesheni ya kijeshi dhidi ya wanamgambo wa kiislamu, katika jimbo la Cabo...

Habari Mchanganyiko

Uhamiaji Tanzania yatangaza ajira 350

  KAMISHNA Jenerali wa Uhamiaji nchini Tanzania, Dk. Anna Makakala, ametangaza nafasi za ajira 350 za cheo cha Konstebo wa Uhamiaji kwa vijana...

Kimataifa

Ujerumani yamchagua mbunge wa kwanza mwanamke mweusi

  AWET Tesfaiesus, mbunge wa kwanza wa chama cha Green akiwa mwanamke wa kwanza mwenye asili ya Afrika, kuchaguliwa kuwa mbunge katika Bunge...

MichezoTangulizi

Simba yaanza kwa sare, Bocco akosa penati

  MABINGWA watetezi wa ligi kuu Tanzania Bara, Simba ya Dar es Salaam, imeanza msimu mpya wa ligi kuu 2021/22 kwa droo dhidi...

Habari za Siasa

Rais Samia: Mwanamke sio mtu wa daraja la pili

  RAIS Samia Suluhu Hassan ameliomba Kanisa la Anglikana Tanzania kuunga mkono dhamira ya Serikali katika kuwainua wanawake kijamii, kiuchumi, kisiasa na kupambana...

Burudika

R. Kelly majanga, akutwa na hatia

  MWANAMUZIKI nguli wa miondoko ya ‘RnB’ kutoka nchini Marekani, Robert Sylvester Kelly maarufu kama R. Kelly amekutwa na hatia katika tuhuma zilizokuwa...

Kimataifa

Rais ‘Kiduku’ aibipu UN

RAIS wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un maarufu kama ‘Kiduku’ kutokana na staili yake ya nywele, amesimamia urushwaji wa kombora la masafa mafupi...

Tangulizi

Waziri Ndalichako ateta na ujumbe wa WB, atoa ahadi

  PROFESA Joyce Ndalichako, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania amesema, Serikali itahakikisha fedha zinazotolewa na wadau mbalimbali wa maendeleo kwa...

HabariTangulizi

Rais Samia aonya migogoro Kanisa Anglikana

  RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa viongozi wa dini wa Kanisa la Anglikana Tanzania kurudi kwenye misingi ya kimaadili ya kanisa...

Michezo

Onyango, Kanoute ‘out’ dhdi ya Biashara Leo

  Beki wa kati wa klabu ya Simba Josh Onyango pamoja na kiungo wa mkabaji Sadio Kanoute wataukosa mchezo wa leo wa Ligi...

Tangulizi

Kesi ya Mbowe: Mshtakiwa adai hakupewa chakula kwa siku 10

  MOHAMMED Ling’wenya, mshtakiwa wa tatu katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman...

Kimataifa

Ujerumani kuunda serikali ya mseto

  WAJERUMANI wameamua. Ndivyo unavyoweza kutafsiri matokeo ya uchaguzi uliofanyika tarehe 26 Septemba mwaka huu nchini humo, baada ya kuupiga chini muungano wa...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe, wenzake yaibua mapya

  KESI ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, imechukua sura mpya baada ya taarifa za washtakuwa wawili kukinzana...

Habari za SiasaTangulizi

Naibu waziri afariki dunia, Rais Samia amlilia

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa pole kwa familia, Bunge na wananchi kufuatia kifo cha William Tate Ole Nasha. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua viongozi watatu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa wajumbe watatu kujaza nafasi katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Anaripoti Mwandishi...

Michezo

Azam FC yabanwa mbavu Mkwakwani, Mtibwa mambo magumu

  Pazia la Ligi Kuu Tanzania Bara limefunguliwa rasmi hii leo Septemba 27, 2021 kwa kupigwa jumla ya michezo mitatu kwa kuchezwa michezo...

MichezoTangulizi

Kamwaga kuachana na Simba

  EZEKIEL Kamwanga, amehitimisha safari ya mkataba wake wa miezi miwili ndani ya mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania Bara, Simba ya jijini...

Habari Mchanganyiko

CoRI waitaka Serikali ya Tanzania kuteua maofisa taarifa

  UMOJA wa asasi zinazotetea haki ya kupata taarifaTanzania (CoRI) umeitaka Serikali ya nchi hiyo kuteua maafisa taarifa katika ofisi zote za umma,...

Michezo

Poulsen aita 25, Bocco na Mkude ndani

  KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Tanzania ‘Taifa Satrs’ Kim Poulsen amewaitaka kambini wachezaji 25 wawiwemo Jonas Mkude na John Bocco....

Habari za SiasaTangulizi

Mshtakiwa alivyomaliza kujitetea kesi ya Mbowe, wenzake

  ADAM Kasekwa, mshtakiwa wa pili katika kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya ugaidi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake,...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Wanaosema huyu mama hamna kitu, nitaongea nao kwa kalamu

  KWA mara ya pili Rais Samia Suluhu Hassan amewakemea watumishi wanaodhani kuwa yeye ni mpole na kurudia kusisitiza kuwa ataongea nao kwa...

AfyaElimuHabari za Siasa

Serikali kujenga madarasa 15,000, vituo vya afya 250

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema kuna fedha ambayo ameipata na sasa anatarajia kushirikiana na halmashauri zenye uwezo kifedha kujenga madarasa 15,000 nchi...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi kina Mbowe: Mshtakiwa apata kigugumizi

  ADAM Kasekwa, mshtakiwa wa pili katika kesi ndogo ya kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, amepata...

Michezo

Kipa wa Yanga atua Polisi Tanzania

  ALIYEKUWA golikipa namba moja wa mabingwa wa kihistoria Yanga ya jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, Metacha Mnata amesajiliwa na maafande wa...

Habari za Siasa

Rais Samia atua Dodoma, apewa zawadi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewasili Jijini Dodoma akitokea mkoani Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Rais Samia...

Habari za Siasa

CCM yazindua kampeni Ushetu, yaahidi neema kwa wananchi

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeanza rasmi safari ya kutetea jimbo lake la Ushetu, Mkoa wa Shinyanga. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kahama … (endelea)....

error: Content is protected !!