KAMISHNA Jenerali wa Uhamiaji nchini Tanzania, Dk. Anna Makakala, ametangaza nafasi za ajira 350 za cheo cha Konstebo wa Uhamiaji kwa vijana waliofuzu mafunzo mbalimbali ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) au Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU) waliopo makambini au waliohitimu mafunzo hayo na wenye sifa. Anaripoti Helena Mkonyi, TUDARCo…(endelea).
Ajira hizo zimetangazwa leo Jumanne, tarehe 28 Septemba 2021, kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Paul Mselle, Msemaji Mkuu wa Uhamiaji.
Taarifa inaeleza, mwisho wa maombi hayo kutumwa ni tarehe 13 Oktoba 2021.
Maelezo zaidi ya ajira hizo, soma taarifa yote ikiwemo kujua sifa za waombaji.
Naomba kuuliza je sisi wa kidato cha sita
Pia ningeomba kama ingewazekana mtupe na email(barua pepe) pia itarahisisha na pia kuokoa Gharama za ems na muda wa kupokea ujumbe kwa haraka.
Twende tukalinde mipaka ya nchi yetu vijana wenzangu
@uzalendo kwanza
Samahan naomba kujua vipi kuhusu wa kidato Cha sita tuna weza omba nafasi hizo???
Kwani mbona jeshi la akiba mnalisahau au sio mafunzo ya kijeshi
Je sisi tulioishia form four na tuna fani maalimu tuingilie wapi