Tuesday , 21 May 2024

Month: September 2021

Habari za SiasaTangulizi

Waziri Simbachawene: Hakuna umuhimu wa katiba mpya

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani wa Tanzania, George Simbachawene amesema, kwa sasa hakuna umuhimu wa Katiba mpya kwani iliyopo inajitosheleza na imeivusha...

Kimataifa

Baba mbaroni kwa kufyeka ‘matiti’ ya binti’ye kwa jiwe la moto

  POLISI wa jimbo la Lagos nchini Nigeria wamemtia mbaroni mwanaume mmoja kwa madai ya kuyaondoa matiti ya binti yake mwenye umri wa...

MichezoTangulizi

Yanga yaipiga bao Simba

  MABINGWA wa kihistoria wa soka nchini Tanzania, Yanga ya jijini Dar es Salaam imeipiga bao Simba kwa kuingiza mashabiki wengi viwanjani pamoja...

Kimataifa

Kamati ya siri UN kujadili ombi la Taliban kuhutubia marais

  UMOJA wa Mataifa (UN) umeunda Kamati maalumu ya siri yenye wajumbe tisa kujadili mkanganyiko uliojitokeza kuhusu viongozi wa Serikali Afghanistan wanaopaswa kuhudhuria...

Habari MchanganyikoTangulizi

DPP afuta kesi ya Lissu na wenzake

  KESI ya jinai Namb. 208/2016 iliyohusu mashitaka ya uchochezi dhidi ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, Tundu...

Michezo

Corona yatibua dili la Harmonize Ulaya

  MSANII wa Bongofleva, Rajabu Abdul maarufu kama Harmonize au Kondeboy amewaomba radhi mashabiki wake baada ya kubadili ratiba ya ‘tour’ (ziara) yake...

Kimataifa

Pakistan waonya vita vya wenyewe kwa wenyewe Afghanistan

  WAZIRI Mkuu wa Pakistani, Imran Khan ameuonya uongozi mpya ya Afghanistan kuunda haraka Serikali shirikishi ili kuzuia uwezekano wa kuibuka kwa vita...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia aanza kutema cheche Marekani

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameshiriki ufunguzi wa Mjadala Mkuu katika Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa...

Michezo

Simba yaingia mkataba mnono, yavuta milioni 300

  KLABU ya soka ya Simba imeingia mkataba na kampuni ya Emirates Aluminium leo 21 septemba 2021 katika makao makuu ya Emirates Aluminium...

Habari Mchanganyiko

Askari polisi 7 wa Tanzania walioingia Malawi watimuliwa

  ASKARI saba wa Jeshi la Polisi Tanzania wamefukuzwa kazi baada ya kuvuka mpaka na kuingia nchini Malawi kinyume cha utaratibu wa jeshi....

Kimataifa

Wafungwa waliobaka wenzao DRC kukiona

  SHIRIKA la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch linasema, mamlaka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), zilipuuza tahadhari za...

Kimataifa

Mahakama ya Ulaya yaihusisha Urusi mauaji aliyekuwa jasusi wake

  ALEXANDER Litvinenko, jasusi wa zamani wa Urusi, aliuawa kwa sumu na majasusi yaliyotumwa na taifa hilo, Mahamaka ya Haki za Binadamu ya...

Habari Mchanganyiko

Huawei Yawapiga msasa watalaam 19 wa Tehama kuendana na mabadiliko ya Tehama.

  KAMPUNI ya Huawei Tanzania  kwa kushirikiana na Tume ya Tehama imetoa mafunzo kwa wataalamu 19 wa Tehama kutoka katika sekta ya umma...

Michezo

Dk. Tulia: Mashindano ya ngoma kufanyika Mbeya

  MASHINDANO ya Ngoma za Jadi ‘Tulia Traditional Dances Festival’ yanayohusisha tamaduni kutoka mikoa mbalimbali yataanza Alhamisi hii tarehe 23 hadi 25 Septemba...

Kimataifa

Mapacha wazee duniani wavunja rekodi

  MAPACHA wawili raia wa Japan, Umeno na Koume wenye miaka 107, wamevunja rekodi ya kuwa pacha wazee zaidi duniani. Anaripoti Noela Shila,...

Habari za Siasa

Jenerali Ulimwengu, Askofu Bagonza watoa somo madai ya katiba mpya

  ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera, Benson Bagonza na mwandishi wa habari mkongwe...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sheikh Alhad akerwa na maaskofu wa mitaani

  SHEIKH wa Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, Alhad Mussa Salum amebainisha mambo mawili ambayo dini za Kiislamu na Kikristu zinatofautiana...

Habari za SiasaTangulizi

Wanasiasa, msajili na IGP Sirro kukutana Oktoba 21

  MKUTANO wa wadau wa vyama nchini Tanzania, unatarajiwa kufanyika tarehe 21 Oktoba 2021, jijini Dodoma. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam …...

Habari Mchanganyiko

Mapadre Mchamungu, Msomba wawekwa wakfu uaskofu Dar

  MAPADRE Stephano Msomba na Henry Mchamungu wamewekwa wakfu wa kuwa maaskofu wasaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam nchini Tanzania....

MichezoTangulizi

Kuziona Simba, Yanga buku 10

  JOTO la miamba ya soka nchini Tanzania maarufu Kariakoo Derby limeanza kushika kasi kwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutangaza viingilio ambavyo...

Kimataifa

Jaribio la mapinduzi Sudani latibuliwa

  MAMLAKA ya usalama nchini Sudan imeripoti kuwa jaribio la mapinduzi lililofanywa leo asubuhi tarehe 21 Septemba 2021 na kundi la wanajeshi walioasi...

Habari za Siasa

Mtambo: Tukianza mapema, tutaiondoa CCM

  MHANDISI Mohamed Mtambo, aliyekuwa mgombea ubunge wa Mkuranga, Mkoa wa Pwani (ACT-Wazalendo), ameviomba vyama vya upinzania nchini Tanzania kuanza maandalizi mapema kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi adai kushtushwa wenzake Mbowe kutuhumiwa kwa ugaidi

  SHAHIDI namba tatu wa Jamhuri, katika shauri dogo la kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, Askari Polisi H4323 Msemwa,...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ashiriki mkutano UN, ateta na vigogo

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameshiriki Mkutano wa Umoja wa Mataifa (UN) uliojadili athari za Mabadiliko ya Tabia Nchi yanayoikumba dunia...

Kimataifa

Hatari! Cheki wanafunzi walivyojirusha ghorofani kumkimbia mshambuliaji, nane wamiminiwa risasi

  TAKRIBAN watu wanane wameuawa na wengine sita kujeruhiwa vibaya na mtu mwenye bunduki aliyefyatua risasi katika Chuo kikuu Perm kilichopo katika mji...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi akwamisha kesi ya Mbowe

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam, imeahirisha kusikiliza kesi ndogo ya kesi ya uhujumu uchumi,...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua viongozi akiwa Marekani

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi wawili. Anaripoti Helena Mkonyi, TUDARCo … (endelea). Taarifa ya uteuzi imefanyika leo...

Kimataifa

Daktari aua wanawe 2 kwa sumu, naye ajaribu kujiua

  DAKTARI mmoja mkazi wa Nakuru nchini Kenya anadaiwa kuwaua wanawe wawili kisha kujaribu kujitoa uhai usiku wa Jumamosi tarehe 18 Septemba mwaka...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Kibatala ahoji matumizi ya bisibisi, ajibiwa

  KIONGOZI wa jopo la mawakili wa utetezi katika shauri dogo la kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, Peter Kibatala,...

Michezo

Yanga warejea kimyakimya

  KLABU ya Yanga imerejea nchini usiku wa kuamkia leo ikitokea Nigeria ilikokwenda kupepetana na River United ikiwa ni mchezo wa marudiano wa...

Michezo

Kaze afunguka kurejea Yanga

  WAKATI fununu za aliyekuwa Kocha mkuu wa Yanga, Cedric Kaze kwamba anarejea jangwani zikiendelea kushika kasi, kocha huyo amefunguka ujumbe mzito unaoashiria...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Shahidi wa pili amaliza kutoa ushahidi

  SHAHIDI wa pili katika shauri dogo la kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, kwenye Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa...

KimataifaTangulizi

Hichilema kama Nyerere: Atinga Marekani na msafara wa watu 3, apiga teke ndege ya rais

  ANAFUATA nyayo za Hayati Mwalimu Nyerere? Ndilo swali linaloibuka miongoni mwa Watanzania baada ya Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema kuelekea nchini Marekani...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi Benki ya Exim wafanya usafi ufukwe Ocean Road

Wafanyakazi wa Benki ya Exim Tanzania wakiongozwa na Mkuu wa Kitengo cha mikopo wa benki hiyo, Zainab Nungu (katikati) wakishiriki zoezi la usafi...

Habari za Siasa

Ziara ya Majaliwa Kagera yamng’oa afisa manunuzi

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Afisa Manunuzi wa Wilaya ya Karagwe, Mkoa wa Kagera, Yesse Kaganda baada ya kutoridhishwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, wenzake kiguu na njia mahakama ya mafisadi

  KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, leo Jumatatu, tarehe 20 Septemba 2021, watafikishwa tena...

Kimataifa

Mhudumu mochwari mbaroni tuhuma za kuchuna mkono wa maiti…adai ni panya

  POLISI wilayani Mazabuka mkoa wa Kusini nchini Zambia wamemtia mbaroni mhudumu wa chumba cha kuhifadhia maiti (mochwari) katika Hospitali Kuu ya Mazabuka...

Habari za Siasa

Rais Samia apaisha uwekezaji nchini, ajira 29,709 kuzalishwa

  UWEKEZAJI nchini Tanzania kwa mwaka 2020/2021, umeongezeka tofauti na ilivyokuwa 2019/2020. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea). Taarifa hiyo imetolewa...

Habari za Siasa

Mbunge CCM apata ajali Tunduru

  MBUNGE wa Jimbo la Namtumbo, Vita Kawawa (CCM) amepata ajali katika eneo la Nalasi wilayani Tunduru mkoani Ruvuma wakati akiwa kwenye ziara...

AfyaHabari Mchanganyiko

Vituo chanjo ya Corona vyaongezwa, Msigwa awapa neno wasiochanjwa

  SERIKALI ya Tanzania imeongeza vituo vya utoaji huduma ya chanjo ya ugonjwa wa Corona (UVIKO-19), kutoka 550 hadi 6,784 nchi nzima. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

NBC yazindua kampeni ya NBC Shambani  kwa wakulima wa korosho Mtwara na Lindi

  SEPTEMBA 18, 2021:  Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua kampeni maalum kwa wakulima wa zao la korosho katika mikoa ya Mtwara...

Habari za SiasaTangulizi

Uchaguzi Konde: CUF wakinzana na NEC

  WAKATI Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania (NEC), ikisema Chama upinzani cha Wananchi (CUF), kitashiriki uchaguzi mdogo wa Jimbo la Konde, Zanzibar,...

Habari za SiasaTangulizi

Vyama 16 vyajitosa uchaguzi mdogo Ushetu, kampeni kesho

  VYAMA vya siasa 16, vimejitokeza kushiriki uchaguzi mdogo katika Jimbo la Ushetu mkoani Shinyanga, huku Jimbo la Konde, visiwani Zanzibar, vikijitokeza vyama...

Kimataifa

Rais mstaafu Algeria kuzikwa leo makaburi ya mashujaa

  RAIS wa zamani wa Algeria, Abdelaziz Bouteflika aliyefariki dunia siku ya juzi, anatarajiwa kuzikwa leo tarehe 19 Septemba 2021 katika makamburi ya...

Michezo

Kocha Simba: Tutacheza kwa heshima kubwa

  KUELELEKEA kwenye tamasha la Simba maarufu kama ‘Simba Day’ kocha mkuu wa klabu hiyo, Didier Gomes amesema atacheza kwa heshima kubwa dhidi...

Tangulizi

Azam FC sasa kuvaana na pyramid ya Misri 

  MARA baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0, dhidi ya FC Horsed kutoka Somalia, klabu ya soka ya Azam FC, sasa...

Kimataifa

Marekani kuwarejesha wahamiaji wa Haiti

  SERIKALI ya Marekani chini ya utawala wa Rais Joe Biden inaendelea na mpango wake wa kuwarudisha nyumbani wahamiaji kutoka Haiti. Anaripoti Glory...

Habari za Siasa

Majaliwa awapa ujumbe watumishi wa umma

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka watumishi wa umma kufanya kazi kwa weledi, uaminifu na uadilifu ili waweze kuleta matokeo chanya...

Habari za Siasa

Rais Samia kuendelea kuboresha maisha ya Watanzania

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, Rais Samia Suluhu Hassan ametoa fedha nyingi kwa ajili ya uendelezaji na ujenzi wa miradi...

Habari

Jaji mstaafu Othuman Chande apewa shavu ICC

ALIYEKUWA Jaji Mkuu wa Tanzania, Othuman Chande, ameteuliwa na Mwendesha Mashitaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, inayojihusisha na uhalifu dhidi ya...

error: Content is protected !!