Thursday , 25 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mbunge CCM apata ajali Tunduru
Habari za Siasa

Mbunge CCM apata ajali Tunduru

Spread the love

 

MBUNGE wa Jimbo la Namtumbo, Vita Kawawa (CCM) amepata ajali katika eneo la Nalasi wilayani Tunduru mkoani Ruvuma wakati akiwa kwenye ziara ya Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) Ndugu Christina Mndeme ambaye ana ziara leo huko Namtumbo, mkoani humo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Ruvuma … (endelea).

Taarifa zilizofikia Mwanahalisi Online ni kwamba katia ajali hiyo iliyotokea leo mchana, Mbunge huyo aliyekuwa na watu wengine watatu kwenye gari na wote wametoka salama.

Aidha, akizungumza na MwanaHalisi Online, Kamanda wa Polisi mkoani humo, Simon Maigwa amesema bado hajapata taarifa rasmi kuhusu ajali hiyo kwa kuwa naye yumo kwenye msafara wa ziara hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!