Tuesday , 21 May 2024

Month: September 2021

Habari za SiasaTangulizi

CUF, ACT-Wazalendo, NCCR-Mageuzi na Chadema wasusia kikao cha msajili, IGP Sirro

  MKUTANO ulioitishwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania, huwenda unaweza usifanyike baada ya baadhi ya wahusika kutangaza kuususia....

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Watanzania laki 4 wachanjwa, milioni 2 zaagiwa China

  MSEMAJI Mkuu wa Serikali ya Tanzania, Gerson Msigwa amesema, idadi ya wananchi waliochanjwa chanjo ya corona imefikia 400,000. Anaripoti Victoria Mwakisimba, TUDARCo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Walioitwa kujiunga na polisi hawa hapa

  JESHI la Polisi nchini Tanzania, limetangaza orodha ya majina 1,475 waliomba kujiunga na jeshi hilo. Anaripoti Victoria Mwakisimba, TUDARCo … (endelea). Vijana...

Michezo

Wafanyakazi Benki ya Exim washiriki NMB Marathon kusaidia matibabu ya fistula

  KATIKA kuunga mkono agenda ya kusaidia matibabu ya Fistula kwa kina mama wasio na uwezo, wafanyakazi wa Benki ya Exim Tanzania hii...

Michezo

Anthony Joshua apigwa, Usyk bingwa wa dunia

  ANTHONY Joshua (31), raia wa Uingereza amepoteza ubingwa wa dunia uzani wa juu kwa kutwanga na Oleksandr Usyk wa Ukraine. Anaripoti Damas...

Habari Mchanganyiko

Tanesco yapanguliwa, January ateua vigogo

  SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limeendelea kusukwa upya baada ya Waziri wa Nishati, January Makamba kuteua vigogo kuwa wajumbe wa bodi ya...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo yaungana na Chadema kususia kikao msajili, IGP Sirro

  CHAMA cha siasa cha upinzania nchini Tanzania cha ACT-Wazalendo kimetangaza kutoshiriki kikao baina ya jeshi la polisi na ofisi ya msajili wa...

MichezoTangulizi

Yanga mabingwa Ngao ya Jamii

  KLABU ya Soka ya Yanga wameibuka kidedea kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya watani wao Simba Sc na kubeba Ngao ya...

Habari za Siasa

Rais Samia ataja sababu kushiriki mkutano UN

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema ameamua kushiriki mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA), kwa kuwa...

Habari za Siasa

UVCCM: Tunakwenda na Rais Samia 2025

  UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umesema vijana wa chama hicho wamekubaliana kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan hadi 2030....

Michezo

Rosa Ree avishwa pete, amwaga chozi

  MSANII wa Bongo Fleva, Rosary Robert maarufu ‘Rosa Ree’ amevishwa pete ya uchumba na mpenzi wake, King Petrousse ambaye alimtambulisha kwa mashabiki...

Habari za Siasa

Mgombea Udiwani ACT-Wazalendo agonga mwamba NEC

  TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetupilia mbali rufaa Mgombea Udiwani wa Kata ya Ndembezi, mkoani Shinyanga, kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Mvano...

Habari za Siasa

Butiku atema cheche, akemea ubaguzi wa vyama vya siasa

  MKURUGENZI Mtendaji na Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amesema kwa kuwa Tanzania ni miongoni mwa...

Habari za Siasa

Kesi ya Mbowe: Wakili wa Jamhuri ahoji maumivu aliyopata mshtakiwa

  WAKILI wa Serikali Mwandamizi, Abdallah Chavula, amemhoji shahidi katika kesi ndogo inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, Adam...

Kimataifa

Mwandishi wa habari mbaroni kwa tuhuma za ugaidi

  MWANDISHI wa habari kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Sosthène Kambidi amekamatwa na maofisa wa Jeshi la nchi hiyo na kuhojiwa kwa...

Habari Mchanganyiko

Fahamu madini yaliojaa katika simu yako ya zamani usioitumia

NDANI ya simu ya iPhone yenye almasi yaweza kukurejeshea kiasi cha dola za Kimarekani 95 milioni, lakini ikiwa kipande hiki cha johari hakina...

Habari za Siasa

Waziri Mkenda asema kauli mbiu, matamko hayaboreshi kilimo

  WAZIRI wa Kilimo nchini Tanzania, Profesa Adolf Mkenda amesema kilimo hakiwezi kuendeshwa kwa matamko au kaulimbiu bali kwa kuendesha kilimo chenye tija....

Michezo

Simba walamba dili la milioni 800, mabasi matatu

  KLABU ya Simba ya Dar es Salaam imesaini mkataba wa miaka minne na Kampuni ya Africarrier Group inayohusika na usambazaji wa magari...

Habari za Siasa

SMZ, TCRA kushirikiana kufikia uchumi wa bluu

  SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema, itahakikisha wananchi wanakuza uchumi wa kisasa unaoendana na falsafa ya uchumi wa kidijitali na uchumi wa...

Michezo

Kocha wa zamani Simba, Azam atua Mtibwa

  TIMU ya Mtibwa Sugar ya Morogoro nchini Tanzania, imemtambulisha Omog Joseph Marious (49), raia wa Cameroon kuwa kocha mkuu wa timu hiyo....

Kimataifa

Polisi aliyemuua George Floyd akata rufaa

  DEREK Chauvin (46), aliyekuwa askari polisi wa mji wa Minneapolis, Jimbo la Minnesota nchini Marekani, anayetumikia kifungo cha miaka 22 na nusu...

Habari Mchanganyiko

Asasi za kiraia Tanzania zazindua mwongozo wa ulipaji kodi

  ASASI za Kiraia nchini Tanzania (AZAKI), zimezindua mwongozi wa ulipaji kodi. Anaripoti Regina Mkonde, Dar ea Salaam … (endelea). Mwongozo huo umezinduliwa...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Shahidi adai alipigwa kwa dk45 akiwa kichwa chini, miguu juu

  MSHITAKIWA wa pili katika kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya kupanda njama za ugaidi, Adam Kasekwa amedai mara baada ya kukamatwa...

Michezo

Rayvanny atibua party Harmonize

  KITENDO cha msanii wa Bongofleva kutoka lebo Wasafi Classic Baby (WCB) na mwanzilishi wa lebo Next Level Music, Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’ kutangaza...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Shahidi asimulia alivyoteswa akiwa amevuliwa nguo zote

  ADAM Kasekwa, mshtakiwa wa pili katika kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya ugaidi amieleza Mahakama Kuu, Divisheni ya Rushwa na Uhujumu...

Kimataifa

Joe Biden amchefua Balozi Haiti, ajiuzulu

  RAIS wa Marekani, Joe Biden amedaiwa kumchefua Mwakilishi wake maalumu nchini Haiti, Balozi Daniel Foote baada ya kukataa mapendekezo yake kuhusu njia...

Michezo

Nabi: Yanga itakuwa tishio Afrika, kesho tunachukua kombe

  KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ametamba kuwa Yanga itakuwa tishio ndani ya Tanzania na Afrika kwa ujumla kutokana na wachezaji wazuri...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Jamhuri yaondoa mashahidi 4, mshtakiwa aanza kujitetea

  UPANDE wa Jamhuri kwenye kesi ndogo ndani ya kesi kubwa ya uhujumu uchumi, inayomkabili kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe, wenzake: Jamhuri kuleta shahidi wa nne 

  KESI ndogo katika kesi ya uhujumi uchumi, yenye mashtaka ya kula njama za kufanya vitendo vya ugaidi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman...

Habari za SiasaTangulizi

Alichokisema Rais Samia baada ya kuhutubia UN

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameihakikishia dunia kuwa Tanzania ni ileile yenye amani na ushirikiano na nchi zote. Anaripoti Glory Massamu,...

Habari Mchanganyiko

Mwandishi ITV afariki ajalini, mwenzake…

  MWANDISHI wa habari wa ITV na Redio One, Mkoa wa Songwe, nchini Tanzania, Gabriel Kandonga amefariki dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Songwe …...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia:  Tanzania imefanikiwa kudumisha utulivu wa kisiasa

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewaeleza wajumbe wa mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA), kwamba Serikali...

Habari za Siasa

Msajili ateta na IGP Sirro, awapa angalizo wanasiasa

  MSAJILI wa Vyama Siasa nchini Tanzania, Jaji Francis Mutungi, amesema kikao chake na Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Simon Sirro, kimemsaidia kujua...

Habari za Siasa

IGP Sirro: Hakuna sheria inayozuia mikutano ya ndani, ampa ujumbe msajili

  INSPEKTA Jenerali wa Polisi nchini Tanzania (IGP) Simon Sirro, amemshauri Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, awashauri viongozi wa vyama...

Habari za Siasa

Majaliwa asema viwanda vimechangia kuondoa umasikini

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema sekta ya viwanda ina mchango mkubwa katika kukuza uchumi na kuondoa umaskini nchini pamoja na...

Habari za Siasa

Wazee CUF wamlilia Rais Samia madai Katiba mpya

  JUMUIYA ya Wazee wa Chama cha Wananchi (CUF) imemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kufufua mchakato wa Katiba mpya pamoja na kuruhusu mikutano...

Habari za Siasa

Wazee CUF wamkingia kifua Profesa Lipumba

  JUMUIYA ya Wazee wa chama cha upinzani cha wananchi nchini Tanzania (CUF), kimeonya wale wote wanaoendesha vuguvugu la kumng’oa kwenye nafasi hiyo,...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe yafutwa mahakam kuu, jaji asema…

  MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, imeifuta kesi ya kikatiba Na.21/2021, iliyofunguliwa na kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini humo cha Chadema, Freeman...

AfyaHabari Mchanganyiko

Mtambo achangia ujenzi zahanati kijiji Dondo, wananchi…

  MHANDISI Mohamed Mtambo, aliyekuwa mgombea Ubunge wa Mkuranga (ACT-Wazalendo) mkoani Pwani ametoa Sh.500,000 kuchangia ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Dondo. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

CCM ‘wakaidi’ agizo la Jaji Mutungi

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), “kimeendelea kukaidi,” maelekezo ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania, Jaji Francis Mutungi, aliyeomba kusitishwa kwa mikutano...

KimataifaTangulizi

Rais Hichilema aalikwa Ikulu ya Marekani

  BAADA ya miaka 30 kupita pasina uongozi wa juu wa Zambia kualikwa White House ya Marekani, hatimaye Rais mpya wa Taifa hilo,...

Michezo

La Liga yanoga, Benzema aweka rekodi Madrid

  LIGI kuu ya Hispania maarufu kama ‘La liga Santander’ jana tarehe 22 Septemba imeendelea kutimua vumbi katika viwanja mbalimbali huku mshambuliaji wa...

Michezo

Carabao Cup mguu mmoja mbele, Man U wamelala yooo!

  MICHUANO ya Carabao Cup inayoshirikisha timu za ligi kuu England na ligi za chini za nchini humo imezidi kupamba moto na kufikia...

Habari Mchanganyiko

Kampeni ya ‘Vuna zaidi na NBC Shambani’ yawavutia wakulima wa Korosho Lindi na Mtwara

  CHANGAMOTO ya huduma za kifedha iliyokuwa ikiwakabili wakulima wa korosho mikoa ya Mtwara na Lindi ikiwemo kutopata mikopo kwa wakati na makato...

Kimataifa

Uganda walegeza masharti ya Corona

  RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni imetangaza kulegeza masharti dhidi ya janga la maambukizi ya Uviko-19 ambapo nyumba za ibada zitafunguliwa huku idadi...

Michezo

Diamond, Harmonize, Alikiba wachomoza tuzo Afrimma

  WAANDAAJI wa tuzo za Afrimma (Afrian Music Magazine Awards) wametoa orodha mpya ya wasanii watakaowania tuzo hizo kwa mwaka 2021 huku Tanzania...

Habari za Siasa

Rais Samia ateta na bosi EU, ataka kujua mambo 4

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana na Rais wa Baraza la Umoja wa Ulaya (EU), Charles Michel ambaye ametaka maoni kutoka...

Habari za Siasa

Rais Samia awapa ujumbe wafanyabiashara Tanzania, Marekani

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, anatamani kuona biashara kati ya nchi yake na Marekani inaongezeka kwani kwa sasa ni ndogo...

Afya

Ukusanyaji damu wabadilisha mwelekeo

  MPANGO wa Taifa wa Damu Salama umebadilisha mwelekeo wake wa kuigeukia jamii ili kukusanya damu kwa ajiri ya kukabiliana na changamoto ya...

Habari Mchanganyiko

Waziri Mkuu aipongeza GGML kuajiri Watanzania 5,000

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza Kampuni ya Uchimbaji Dhahabu Geita (GGML) kwa kutoa ajira zaidi ya 5000 kwa Watanzania huku asilimia zaidi ya...

error: Content is protected !!