Friday , 29 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Mwandishi ITV afariki ajalini, mwenzake…
Habari Mchanganyiko

Mwandishi ITV afariki ajalini, mwenzake…

Spread the love

 

MWANDISHI wa habari wa ITV na Redio One, Mkoa wa Songwe, nchini Tanzania, Gabriel Kandonga amefariki dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Songwe … (endelea).

Kandonga amefariki dunia alfajili ya leo Ijuma, tarehe 24 Septemba 2021, katika ajali ya barabarani iliyotokea maeneo ya Karasha karibu na Shule ya Msingi Mlowo, Mbozi.

Kandonga na mwenzake wa Clouds Media, Haika Rayman walikuwa wanakwenda Mkwajuni kikazi. Haika amejaruhiwa na amelazwa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Songwe.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Puma Energy Tz: Watanzania tudumishe amani kuvutia uwekezaji

Spread the loveKAMPUNI ya Mafuta ya Puma Tanzania imewakutanisha wadau mbalimbali katika...

Habari Mchanganyiko

DAWASA waanza utekelezaji agizo la Samia

Spread the loveMamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam...

Habari MchanganyikoKimataifa

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the loveTUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais wa...

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

error: Content is protected !!