Friday , 3 May 2024
Home Kitengo Michezo Rosa Ree avishwa pete, amwaga chozi
Michezo

Rosa Ree avishwa pete, amwaga chozi

Spread the love

 

MSANII wa Bongo Fleva, Rosary Robert maarufu ‘Rosa Ree’ amevishwa pete ya uchumba na mpenzi wake, King Petrousse ambaye alimtambulisha kwa mashabiki zake hivi karibuni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Rosa Ree ambaye muziki wake ni wa aina ya kufokafoka ‘Hip Hop’ mapema mwaka huu alianza kuwarusha roho mashabiki zake baada ya kufululiza kuachia picha za mpenzi wake huyo na kuwadhibitishia kuwa sasa mahaba yamekolea.

Kufuatia tukio hilo lililotokea jana tarehe 24 Septemba mwaka huu, baadhi ya mastaa na mashabiki wake wamempongeza kwa hatua hiyo.

Baadhi ya mastaa hao ni Mimi Mars, Amberlulu na wengine ambao wamemweleza kuwa anastahili kuvishwa pete.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Europa na Conference kukupatia pesa ndefu leo

Spread the love  ALHAMISI ya leo tutaenda kushuhudia mitanange ya kukata na...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

error: Content is protected !!