VITENDO vya ubakaji vimeongezeka kwa kasi kulinganisha na vitendo vingine vya ukatili wa kijinsia wanaofanyiwa watoto. Anaripoti Hamis Mguta…(endelea). Kwa mujibu wa takwimu za...
By Hamisi MgutaOctober 31, 2019HOFU ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuanguka vibaya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, imetamalaki. Anaripoti Martin Kamote…(endelea). Kauli hiyo imetolewa na John Marema,...
By Kelvin MwaipunguOctober 31, 2019JOB Ndugai, Spika wa Bunge ameipongeza Kenya kwa kuzindua Kanuni za Kudumu za Bunge lake, kwa lugha ya Kiswahili. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea)....
By Regina MkondeOctober 31, 2019WATU watatu wamekiri kuiba ndege watatu aina ya Tausi, wanaodaiwa kuwa mali ya serikali – Ikulu, wenye thamani ya Sh. 3,444,150. Anaripoti Mwandishi Wetu...
By Mwandishi WetuOctober 31, 2019ENDAPO hatua hazitachukuliwa, saratani ya matiti inaweza kushika nafasi ya kwanza, kwa kuwa na idadi kubwa ya wagonjwa nchini. Anaripoti Hamis Mguta … (endelea)....
By Hamisi MgutaOctober 31, 2019BAADAHI ya maeneo nchini, wateule wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa tarehe 24 Novemba 2019, wanaweza kukumbwa na...
By Danson KaijageOctober 31, 2019SERIKALI imekiri kuwepo kwa udhaifu katika uchukuaji fomu, kwa ajili ya kugombea nafsi mbalimbali kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma...
By Danson KaijageOctober 31, 2019TUNDU Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chadema, amehoji faida halisi inayotokana na Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), tangu Rais John Magufuli aingie madarakani....
By Mwandishi WetuOctober 30, 2019PROFESA Joyce Ndalichako, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknoljia amesema, serikali inatambua umuhimu wa kuwekeza katika sekta ya teknolojia ya habari na wasiliano...
By Danson KaijageOctober 30, 2019MUDA mfupi baada ya Paul Makonda, kuandika kwenye ukurasa wake wa Instagram, akimtaka mchekeshaji Idrisa Sultan ‘kujisalimisha’ katika kituo chochote cha polisi kwa...
By Kelvin MwaipunguOctober 30, 2019PAUL Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, amemuagiza Mchekeshaji Idris Sultan, kuripoti katika Kituo cha Polisi, kwa madai kwamba amevuka mipaka...
By Mwandishi WetuOctober 30, 2019MAZINGIRA mabovu, vitimbi na hujuma katika siku ya kwanza ya kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali, kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, yameitibua...
By Regina MkondeOctober 30, 2019LUCAS Nyangindu, mgombea uenyekiti wa kijiji cha Mwatanga, Kishapu mkoani Shinyanga kupitia Chadema, amepigwa na kunyang’anywa fomu baada ya kuwekwa chini ya ulinzi...
By Mwandishi WetuOctober 30, 2019KIPYENGA cha uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji, kimepulizwa nchini kote, huku malalamiko lukuki yakiripotiwa kutoka katika baadhi ya maeneo. Anaripoti...
By Mwandishi WetuOctober 29, 2019RAFU, hujuma na hila vimeanza kuchipuka, ambapo baadhi ya wagombea kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamedaiwa kunyimwa fomu kwa kutochangia mbio...
By Kelvin MwaipunguOctober 29, 2019JOHN Mongela, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, amewataka maofisa elimu wa shule za msingi na sekondri mkoani humo, kuwapeleka wanafunzi kushiriki na kujifunza...
By Moses MsetiOctober 29, 2019HALIMA Mdee, mbunge wa Kawe, ameshindwa kufika mbele ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam kusikiliza madai ya kumdhalilisha Rais John...
By Faki SosiOctober 29, 2019WAANDISHI wa habari Afrika, wamehimizwa kuandika kwa usahihi habari zinazohusu bara hilo, ili kuweka kumbukumbu na marejeo kwa vizazi vya sasa na vijavyo. Anaripoti...
By Mwandishi WetuOctober 29, 2019MUFTI wa Tanzania, Sheikh Aboubakar Zubeir ametoa msimamo kuhusu ndoa chini ya miaka 18, kwamba Uislam unatazamia baleghe. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Akizungumza...
By Faki SosiOctober 29, 2019BAADHI ya wakazi wa kata ya Mkata, Handeni, mkoani Tanga, wamesema kuwa kitendo cha serikali kuwapelekea mradi wa maji safi kimewafanya kuondokana na...
By Danson KaijageOctober 28, 2019MWILI wa mwanafunzi, Rashidi Makoye aliyesombwa na maji tare 17 Oktoba maeneo ya Makoka Unyamwezini, Kimara, Dar es Salaam umepatikana maeneo ya Salenda....
By Mwandishi WetuOctober 28, 2019MAHAKAMA ya Mwanzo Mikongezi, Mvomero imelazimika kuahirisha kesi ya kujeruhi iliyowahusisha wafugaji watatu waliowajeruhi askari wanyamapori sehemu mbalimbali za miili yao baada ya...
By Christina HauleOctober 28, 2019MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, Kibena Kingo amewataka Madiwani wanawake nchini kuzidisha upendo baina yao na kuacha unafiki jambo litakalowasaidia kushika...
By Christina HauleOctober 28, 2019PAUL Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, hakufika kuhudhuria kongamano maalum la kuelekea uchaguzi, uchumi wa viwanda, amani, mahusiano na ustawi...
By Mwandishi WetuOctober 28, 2019TANZANIA imeshika nafasi ya saba, katika nchi 20 zenye mazingira bora ya uwekezaji barani Afrika. Anaripoti Faki Sosi …(endelea). Akizungumza na wanahabari leo tarehe...
By Faki SosiOctober 28, 2019SERIKALI ya Rais John Magufuli, imeshauriwa kubadili mwelekeo wake, ikiwa ina dhamira ya kweli katika kuimarisha uhuru na demokrasia nchini. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Pia,...
By Regina MkondeOctober 28, 2019MBWEMBWE na shamrashamra zilizozoeleka katika uchukuaji fomu za kugombea ngazi mbalimbali katika uchaguzi wa serikali za mitaa nchini, zimepigwa marufuku. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea)....
By Danson KaijageOctober 28, 2019VIDEO inayoonesha kina mama wakigombana kwa ajili ya maji, katika kijiji cha Shuka, kata ya Navanga mkoani Lindi, imemtesa Nape Nnauye, mbunge wa...
By Faki SosiOctober 27, 2019RAIS John Magufuli amesema Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) limekusanya mapato, kiasi cha Dola 14 milioni (sawa na TSh. 32.7 bilioni). Anaripoti...
By Regina MkondeOctober 26, 2019PAUL Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amewachongea wabunge wa upinzani, kwa Rais John Magufuli, kwamba hawafanyi kazi za wananchi. Anaripoti...
By Mwandishi WetuOctober 26, 2019DAKTARI Phillip Mpango, Waziri wa Fedha na Mipango amezitaka nchi za Afrika kutosalimu amri, kwa mataifa ya kigeni, yanayohatarisha uhuru wa kujitawala. Anaripoti...
By Mwandishi WetuOctober 26, 2019WATU nane wamefariki dunia wilayani Handeni mkoani Tanga, baada ya gari walilokuwa wanasafiria, kutumbukia mtoni. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Akizungumza na MwanaHALISI...
By Regina MkondeOctober 26, 2019JAJI Joseph Warioba, Waziri Mkuu Mstaafu amezitaka nchi za Afrika kuwa na msimamo dhidi ya ukoloni mamboleo. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Ametoa kauli...
By Regina MkondeOctober 25, 2019MWOJA Aloyce, Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), amechafua hali ya hewa katika Kongamano Maalum la ‘Vikwazo vya Kiuchumi na...
By Mwandishi WetuOctober 25, 2019PROFESA Palamagamba Kabudi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, amewataka wananchi kutotikiswa na vitisho vya kunyimwa misaada ya fedheha kutoka mataifa...
By Regina MkondeOctober 25, 2019CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeeleza kutofurahishwa na hatua ya Zimbabwe kuwekewa vikwazo tangu mwaka 2000. Anaripoti Martin Kamote … (endelea). Akizungumza na wanahabari kwenye...
By Kelvin MwaipunguOctober 24, 2019SIKU moja baada ya Chama cha Wananchi (CUF), kusisitiza kwamba hakitashirikiana na vyama vingine kutokana na kusalitiwa, Saed Kubenea amesema ‘CUF ndio wasaliti’. Anaripoti...
By Regina MkondeOctober 24, 2019HOFU imeanza kukumba vyama vya upinzani nchini, kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika tarehe 24 Novemba 2019. Anaripoti Martin Kamote … (endelea)....
By Kelvin MwaipunguOctober 24, 2019SALIM Bimani, Mwenyekiti wa Kamati ya Itikadi, Uenezi, Mawasiliano na Umma wa Chama cha ACT Wazalendo, amesema kitendo cha vyama vya siasa, kuzuiwa...
By Regina MkondeOctober 24, 2019KAMPUNI ya Kwanza, inayoendesha Televisheni ya mtandaoni (Kwanza TV), inatarajia kukata rufaa dhidi ya hukumu ya kufungiwa chaneli yake, kwa muda miezi sita....
By Regina MkondeOctober 24, 2019UPANDE wa Mashtaka wa kesi inayomkabili mwandishi wa habari za uchunguzi nchini, Erick Kabendera, umedai bado upepelezi haujakamilisha. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....
By Faki SosiOctober 24, 2019CHAMA cha Wananchi (CUF) kimepata pigo kwa kuondokewa na Muasisi wake, Mzee James Mapalala, aliyefariki dunia leo tarehe 23 Oktoba 2019. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeOctober 23, 2019CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeeleza dhamira yake ya kuking’oa Chama Cha Mapinduzi (CCM), bila kushirikiana na chama chochote. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Kimeeleza, tayari...
By Regina MkondeOctober 23, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewataka wadhamini wa aliyekuwa mbunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika jimbo la Singida Mashariki, Tundu...
By Faki SosiOctober 23, 2019ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, amesema nchi imevimba usaa wa chuki. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Zitto ametoa kauli hiyo...
By Mwandishi WetuOctober 23, 2019ALIYEKUWA mtangazaji wa East Africa Radio na East Africa Television kwa zaidi ya miaka sita, Hillary Daudi ‘Zembwela’ amekihama rasmi kituo hicho na...
By Kelvin MwaipunguOctober 23, 2019SHAHIDI wa 13 kwenye kesi namba 237/2018, inayomkabili Zitto Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Philbert Katundu, amesema hakuona tatizo kwenye mkutano wa kiongozi...
By Faki SosiOctober 23, 2019MRADI wa kuzalisha umeme wa Julius Nyerere (JNHPP), utaweza kuwa endelevu endapo uhifadhi na utunzaji wa misitu hasa ya vijiji utakuwa endelevu na...
By Christina HauleOctober 22, 2019WAKULIMA nchini wametakiwa kutumia ardhi ndogo ya kilimo waliyonayo, kuzalisha kwa tija na kufikia malengo ya kilimo kinachohimili mabadiliko ya tabia nchi (CSA). Anaripoti...
By Christina HauleOctober 22, 2019ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo amesema Chama cha Mapinduzi (CCM) kiko hoi. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Zitto ametoa kauli hiyo wakati akiwapokea...
By Regina MkondeOctober 22, 2019