Tuesday , 30 April 2024

Month: August 2021

Michezo

Neno la Senzo baada ya kupewa cheo kipya Yanga

  KAMATI ya utendaji ya klabu ya Yanga, imemteuwa aliyekuwa mshauli Mkuu wa klabu hiyo kwenye masuala ya mabadiliko Senzo Mbatha kuwa mtendaji...

Habari za Siasa

Halima Mdee amponza Askofu Gwajima bungeni

  MBUNGE wa Singida Magharibi, Elibariki Kingu, ameshangazwa na kitendo cha Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutomchukulia hatua Mbunge wake wa Kawe, Askofu Josephat...

Habari MchanganyikoTangulizi

Tozo miamala ya simu yapunguzwa kwa asilimia 30

  SERIKALI ya Tanzania, imefanya marekebisho ya tozo za miamala ya simu, kwa kupunguza viwango vyake kwa asilimia 30. Anaripoti Mwanaharusi Abdallah, TUDARCo...

Kimataifa

Taliban washerehekea Wamarekani kuondoka Afghanistan

  MILIO ya risasi ya sherehe ilisikika kote jijini Kabul chini Afghanistan leo Jumanne tarehe 31 Agosti 2021, wakati wapiganaji wa Taliban walipodhibiti...

Habari za Siasa

Watumishi walioondolewa kazini kimamkosa walipwa Sh. bilioni 2.6

  SERIKALI ya Tanzania, imelipa madai ya mishahara kiasi cha Sh. 2.6 bilioni, kwa watumishi 1,643, walioondolewa katika orodha ya malipo ya mishahara...

Habari za Siasa

Zitto aomba ushirikiano ukaguzi vitabu vya TCD

  MWENYEKITI wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Zitto Kabwe amekiomba Kituo cha sheria na Haki za binadamu (LHRC) kusaidia kupata mkaguzi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, wenzake waweka pingamizi kesi ya ugaidi

  MAWAKILI wanaomtetea Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, katika kesi ya kula njama za kufanya ugaidi, wameweka pingamizi kwa Mahakama Kuu...

Habari Mchanganyiko

Utafiti wa vinasaba (DNA) kwa makabila yote waja

  WATAFITI na wanataaluma wa vinasaba nchini  wamesema kuna uhitaji mkubwa ufanyikaji wa utafiti za vinasaba vya binadamu ili kubaini vyanzo mbalimbali vya...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge wamkaanga Askofu Gwajima, Silaa

  SAA chache baada ya Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kutoa azimio la kuwasimamisha mikutano miwili wabunge wa...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge lawatia kifungoni Askofu Gwajima, Silaa hadi 2022

  WABUNGE  wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Askofu Josephat Gwajima (Kawe) na Jerry Silaa (Ukonga), wamepewa adhabu ya kutohudhuria mikutano miwili mfululizo  ya...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge lamtia hatiani Gwajima

  KAMATI ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, leo tarehe 31 Agosti, 2021, imemtia hatiani Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima (CCM)...

Habari za SiasaTangulizi

Kamati ya Bunge yapendekeza Jerry Silaa avuliwe ubunge wa PAP 

  KAMATI ya Haki,  Maadili na Madaraka ya Bunge, imemkuta na hatia Mbunge wa Ukonga (CCM), Jerry Silaa, katika tuhuma za kudharau mhimili...

Habari za Siasa

CAG kutumia maabara kufanya ukaguzi, uchunguzi

  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) nchini Tanzania ameanza mchakato wa kutumia maabara katika kufanya kaguzi mbalimbali za maendeleo...

Habari Mchanganyiko

Ujumbe wa mwanaye Manumba waliza wengi

  SAA chache baada ya Mkurugenzi Mstaafu wa Upelelezi na Makosa ya Jinai (DCI) Robert Manumba, kufariki dunia, mwanaye Rose ameandika ujumbe wa...

Habari Mchanganyiko

Mwanafa asimulia alivyonusurika kifo… tulitoka kwa Rais mstaafu

  MBUNGE wa Muheza, Hamis Mwijuma (CCM) maarufu kama Mwana FA amesimulia namna alivyonusurika kifo katika ajali iliyotokea katika eneo la Mkambarani mkoani...

Habari MchanganyikoTangulizi

Robert Manumba afariki

  MKURUGENZI Mstaafu wa Upelelezi na Makosa ya Jinai (DCI) Robert Manumba, amefariki dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Mwanaye...

Habari za SiasaTangulizi

Hatima tozo miamala ya simu kujulikana leo

  HATIMA ya gharama za tozo ya miamala ya simu kupungua au kubaki kama zilivyo itafahamika leo Jumanne tarehe 31 Agosti 2021. Anaripoti...

Kimataifa

Huyu ndiye kiongozi mkuu wa Taliban aliye-mafichoni

  TANGU wachukue madaraka nchini Afghanistan tarehe 15, Agosti mwaka huu, viongozi kadhaa wa kundi la wanamgambo wa Taliban wameonekana hadharani mjini Kabul....

Kimataifa

Roketi zarindima Kabul, 10 wafa

  ROKETI kadhaa zimerushwa kuelekea katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kabul nchini Afghanistan, wakati ni siku ya mwisho kwa wanajeshi wa...

Habari za Siasa

Majaliwa azindua ofisi za polisi zenye thamani ya Sh bilioni 1.3

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo Agosti 30, 2021 amefungua majengo ya Makao Makuu ya Polisi Mkoa wa Singida na Ofisi za Mkuu...

Habari za Siasa

Sh bilioni 1.3 kukamilisha mradi wa maji Dodoma

  SERIKALI imetoa kiasi cha Sh. bilioni 1.3 kukamilisha mradi wa maji kwa wakazi wa Njendengwa, Ihumwa, Nzuguni, Nyumba miatatu, Iyumbu, soko kuu...

Kimataifa

MAJANGA… Kondakta adanja gesti, mchepuko atoka nduki

  MWANAMUME mmoja aliyefahamika kwa jina la Benard Mwendwa Musyoka (30), maarufu ‘Boy’ au ‘Swaleh’ amekutwa amefariki duniani katika chumba kulala wageni kwenye...

Kimataifa

Padri, wenzake watatu mbaroni kwa ubakaji, mauaji

  PADRE mmoja wa Kihindu (53) kutoka nchini India amejumuishwa katika kundi la watuhumiwa wanne wanaodaiwa kumbaka binti mmoja mwenye umri wa miaka...

Habari Mchanganyiko

Upanuzi wa huduma kidijitali waendelea kunufaisha I& M Group PLC

  KAMPUNI inayoongoza kwa utoaji wa huduma za fedha katika ukanda wa Afrika Mashariki, I&M Group PLC imetangaza kuongeza faida kwa asilimia 33...

Habari za SiasaTangulizi

Wafuasi Chadema waangua kilio Mbowe akirudishwa rumande

  WAFUASI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wameangua kilio wakati mwenyekiti wao, Freeman Mbowe, akirudishwa rumande katika gereza la Ukonga, anakoshikiliwa...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yaweka mapingamizi kesi ya Mbowe

  SERIKALI ya Tanzania, imeweka mapingamizi manne katika kesi ya kikatiba, iliyofunguliwa na Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe akipinga utaratibu uliotumika kumkamata...

Habari Mchanganyiko

STAMICO, BUCKREEF wasaini mkataba wa uchorongaji wa Sh. bil 4

  SHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limesaini mkataba wa uchorongaji na Mgodi wa Madini wa Buckreef (Buckreef Gold Company Ltd) ambayo ni...

Michezo

Coastal Union yashusha kocha Mmarekani

  KLABU ya soka ya Coastal Union imemtambulisha Kocha wake mpya, Melis Medo kwa mkataba wa miaka miwili, leo tarehe 30 Agosti, 2021...

Habari Mchanganyiko

Kampuni ya Coastal yaandika historia Afrika kwa kubeba cheti cha usalama kutoka IATA

  USALAMA ni moja ya nguzo muhimu katika masuala ya usafiri wa anga. Hiki ndio kigezo ambacho kimezishinda kampuni nyingi za usafiri wa...

Habari Mchanganyiko

Dawasa kumaliza tatizo la majitaka Ilala

  MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) nchini Tanzania, inatekeleza mradi wa majitaka Uhuru katika Wilaya ya Ilala...

Habari za SiasaTangulizi

Vyama vya upinzani vyavutana ushiriki chaguzi ndogo

  VYAMA vya siasa vya upinzani nchini Tanzania, vimevutana katika kushiriki chaguzi ndogo za ubunge zinazotarajiwa kufanyika tarehe 9 Oktoba 2021, katika majimbo...

Kimataifa

Rais Zambia aunda safu mpya ya majeshi

  RAIS wa Zambia, Hakainde Hichilema amefanya mabadiliko ya uongozi katika vyombo vya ulinzi na usalama, siku sita baada ya kuingia madarakani, tarehe...

Habari MchanganyikoTangulizi

Siri ya uwezo wa Hamza kutumia AK47 yafichuka

  SIRI ya Hamza Hassan Mohamed kumudu kutumia silaha na kuwaua askari watatu wa jeshi la polisi na mlinzi mmoja wa kampuni ya...

Habari Mchanganyiko

Nyumba 19 zateketea kwa moto Rufiji

  NYUMBA 19 zimeteketea kwa moto katika kitongoji cha Shaurimoyo, kijiji cha Nyamwage wilayani Rufiji mkoani Pwani baada ya mwananchi mmoja kuwasha moto...

Habari za Siasa

Wapinzani wataka IGP Sirro ajiuzulu

  VYAMA vya Upinzani nchini Tanzania, vimelaani kauli ya Inspekta Jenerali wa Polisi nchini humo, IGP Simon Sirro, dhidi ya familia ya Hamza...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa atoa maagizo kwa DC, Madiwani Kaliua

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza ujenzi wa kituo cha Afya Usinge, wilayani Kaliua, Mkoa wa Tabora, ukamilike ifikapo Oktoba 2021. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Mauaji Polisi Dar yamuibua Askofu Gwajima

  MBUNGE wa Kawe, mkoani Dar es Salaam (CCM), Askofu Josephat Gwajima, amefanya maombi maalum ya kuwaombea Askari Polisi, katika Kanisa lake la...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia aanza kurekodi kipindi cha Royal tour

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameanza rasmi kurekodi kipindi maarufu cha Royal Tour chenye lengo la kuitangaza Tanzania kimataifa. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Aliyeshindwa ubunge Mkuranga, arudi kushukuru

ALIYEKUWA mgombea Ubunge wa Mkuranga (ACT-Wazalendo), Mkoa wa Pwani, Mhandisi Mohamed Mtambo, amerejea jimboni kuwashukuru wananchi kwa ushirikiano waliompa wakati wa kampeni za...

Michezo

Kilele Wiki ya Mwananchi yahitimishwa kwa majonzi

  KILELE cha Wiki ya Mwananchi cha mabingwa wa kihistoria nchini Tanzania, Yanga ya jijini Dar es Salaam, kimehitimishwa kwa majonzi baada ya...

MichezoTangulizi

Yanga yafurika kwa Mkapa, burudani kama zote

YES ni siku kubwa. Kilele cha Wiki ya Wananchi. Hakuna ubishi hii ndiyo Yanga Afrika. Mabingwa wa Kihistoria nchini Tanzania. Anaripoti Wiston Josia,...

Habari Mchanganyiko

IGP Sirro aita ndugu kuchukua mwili wa Hamza, atoa ujumbe

  INSPEKTA Jenerali wa Polisi nchini Tanzania (IGP), Simon Sirro amesema mwili wa Hamza Mohamed ambaye aliwaua watu wanne wakiwemo askari polisi watatu,...

Habari za Siasa

Serikali ya Tanzania yafikishwa mahakamani

  ASASI za kiraia nchini Tanzania, zimeifikisha katika Mahakama ya Afrika Mashariki serikali ya nchi hiyo kwa kukiuka amri halali ya Mahakama. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia atoa ya moyoni “Rais Samia anahujumiwa”

  MWENYEKITI wa chama cha siasa cha upinzania nchini Tanzania cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia amemwomba Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan kuwa...

Kimataifa

Marekani yadai kumuua aliyepanga kushambulia Kabul

  JESHI la Marekani limesema, limemuua mtu anayedaiwa kupanga shambulizi kwenye uwanja wa ndege wa Kabul katika shambulizi la ndege isiyo na rubani....

Habari za Siasa

Serikali ya Tanzania: Wananchi 300,000 wamechanjwa

  SERIKALI ya Tanzania imesema, jumla ya wananchi wake 300,000 wamepata chanjo ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19). Anaripoti Patricia...

Habari za SiasaTangulizi

Polisi wadaiwa kuzuia kikao cha kamati kuu NCCR-Mageuzi

  JESHI la Polisi Ilala, Kanda Maalum ya Dar es Salaam nchini Tanzania, limezuia kikao cha kamati kuu ya chama cha siasa cha...

Michezo

Cristiano Ronaldo arejea Man U

  BAADA ya kuondoka ndani ya Manchester United ya Uingereza miaka 12 iliyopita, Cristiano Ronaldo (36) ametangazwa kurejea tena ndani ya timu akitokea...

Habari MchanganyikoTangulizi

IGP Sirro awapa soma askari polisi, atangaza kiama kwa waharifu

  INSPEKTA Jenerali wa Polisi nchini Tanzania (IGP), Simon Sirro amewataka askari polisi nchini humo wasimuamini kila mtu wanapokuwa katika majukumu yao ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Vilio, simanzi vyatawala miili askari ikiagwa Dar

  VILIO na simanzi vimetawala wakati miili ya askari polisi watatu na mlinzi wa Kampuni ya Ulinzi ya SGA, ikiagwa katika viwanja vya...

error: Content is protected !!