Thursday , 18 April 2024
Home Kitengo Michezo Coastal Union yashusha kocha Mmarekani
Michezo

Coastal Union yashusha kocha Mmarekani

Melis Medo
Spread the love

 

KLABU ya soka ya Coastal Union imemtambulisha Kocha wake mpya, Melis Medo kwa mkataba wa miaka miwili, leo tarehe 30 Agosti, 2021 kupitia mtandao wake wa kijamii wa instagram. Anaripoti Wiston Josia TUDARCo … (endelea).

Klabu yenye makao makuu yake jijini Tanga, imemtambulisha kocha huyo kwa lengo la kuimarisha kikosi chake ambacho katika msimu uliopita hakikufanya, hali iliyopelekea kuchezwa katika hatua ya mtoano ili kubali Ligi Kuu msimu.

Coastal iliyokuwa inanolewa na Juma Mgunda, katika hatua hiyo walikutana na Pamba ya Mwanza na kufanikiwa kushinda na kubaki katika ligi hiyo.

Medo raia wa Marekani, alikuwa anaifundisha timu ya Gwambina FC ya Misungwi jijini Mwanza.

Coastal imelazimika kufanya mabadiliko hayo ya benchi la ufundi kwa lengo la kujiweka vizuri karika msimu huu na kuepuka kile kilichotokea msimu uliopita kunusulika kushuka daraja.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Leo ni leo nani kutinga nusu fainali UEFA?

Spread the love HATIMAYE Jumanne ya UEFA imefika ambapo leo hii michezo...

Michezo

Anza Jumatatu yako na Meridianbet

Spread the love  IKIWA ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC, Yanga wazindua kadi  za kimataifa za uanachama

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na Klabu...

Michezo

TFF, Amrouche ngoma nzito

Spread the loveVIPENGELE vya mkataba wa kazi aliotia saini Kocha Mkuu wa...

error: Content is protected !!