Friday , 17 May 2024

Month: August 2021

Michezo

Wizkid aachia Deluxe Edition ya albamu ya Made in Lagos

  MSANII wa muziki kutoka Nigeria, Ayodeji Ibrahim Balogum ‘Wizkid’, leo ameachia Deluxe Edition ya albamu yake ya ‘’Made in Lagos.’’ Anaripoti Glory...

Habari Mchanganyiko

RC Makalla: Majeruhi tukio la mauaji Dar wanaendelea vizuri

  MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC) nchini Tanzania, Amos Makalla, amesema majeruhi wa tukio la mauaji lililotokea jirani na Ubalozi...

Habari za SiasaTangulizi

Uchaguzi ubunge Konde, Ushetu Oktoba 9

  TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetangaza uchaguzi wa marudio wa ubunge katika majimbo ya Konde mkoa wa Kaskazini Pemba na Ushetu...

Michezo

Nandy, Koffie kupagawisha wanayanga Jumapili

NGULI wa muziki barani Afrika kutoka Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, Koffie Olomide pamoja na msanii mashuhuri kutoka nchini Tanzania Nandy wanatarajia kutoa...

Habari Mchanganyiko

Simbachawene, IGP Sirro kuongoza mamia kuiaga miili ya Polisi

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, George Simbachawene, anaongoza mamia ya waombolezaji kuaga miili ya askari Polisi watatu na mlinzi wa...

Elimu

Udahili waanza shule mbili zilizojengwa na GGML, Halmashauri Geita 

Wanafunzi wa kidato cha tano katika Shule ya Sekondari Bugando ambayo ni shule ya sekondari ya pili ya serikali katika Halmashauri ya Wilaya...

Habari za SiasaTangulizi

Jerry Silaa ataja sababu 3 kuikacha kamati ya Bunge

  MBUNGE wa Ukonga (CCM), Jerry Silaa ametaja sababu tatu, ikiwemo kwenda kwenye mazishi jijini Arusha na kutokuwa sawa kiafya, zilizomfanya jana Alhamisi,...

Kimataifa

Bonde la ajabu Afghanistan

  NCHI ya Afghanistan imeendelea kutikisa vichwa vya habari duniani baada ya kundi la Taliban kuipindua serika iliyokuwa madarakani na Rais wa nchi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wawili wauawa Kigamboni, Polisi “aliwagonga kwa makusudi”

  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Mohamed Jumaa (37), maarufu maarufu Lardh JM, Mkazi wa Kariakoo, kwa tuhuma...

Habari za Siasa

Majaliwa maagizo kambi ya wakimbizi Tanganyika

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka wakazi wanaoishi katika makazi ya wakimbizi ya Mishamo Wilayani Tanganyika kuimarisha ulinzi na usalama katika...

Kimataifa

Mlipuko mabomu Afghanistan waua 60, majeruhi 140

  WATU takribani 60 wameuawa huku 140 wakijeruhiwa, katika milipuko ya mabomu iliyotokea katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hamid Karzai Mjini...

Michezo

Simba kupaa Marekani

  KLABU ya Simba inatarajia kuweka kambi ya maandalizi ya Ligi Kuu mwaka 2021/2022 nchini Marekani kwa ushirikiano wa klabu ya DC United...

Habari za Siasa

Jerry Silaa aingia mitini, kamati yataka Polisi wamkamate

  KAMATI ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, imeomba kibali kutoka kwa Spika Job Ndugai, cha kumkamata Mbunge wa Ukonga (CCM), Jerry...

Habari Mchanganyiko

Majeruhi tukio la mauaji Dar wafanyiwa upasuaji Muhimbili

  ASKARI Polisi wawili kati ya watano, waliojeruhiwa katika tukio la mauaji ya watu wanne, lililotokea karibu na Ubalozi wa Ufaransa nchini Tanzania,...

Habari Mchanganyiko

THRDC yataka uchunguzi huru tukio la mauaji Dar

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeviomba vyombo vya ulinzi na usalama nchini viunde tume huru ya uchunguzi, ili...

Michezo

Twiga Stars wamshukuru Rais Samia

  TIMU ya Taifa ya wanawake nchini ‘Twiga Stars’ imemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwa kukubali kudhamini...

Habari Mchanganyiko

Raila amtembelea Rais Samia, wajane mama Janeth Magufuli, Anna Mkapa

  KIONGOZI mkuu wa Cha cha upinzani nchini Kenya (ODM), Raila Odinga, jana tarehe 25 Agosti, 2021 amefanya ziara ya siku moja nchini...

Michezo

Bayern yapiga 12 bila Lewandowsik

  KLABU ya Bayern Munich imeibuka na ushindi wa mabao 12 -0 dhidi ya Bremer SV katika mchezo wa raundi ya kwanza ndani...

Michezo

Aubameyang azinduka Arsenal ikishusha mvua ya magoli

  STAA wa Arsenal aliyekuwa na ukame wa magoli, Pierre-Emerick Aubameyang jana tarehe 25 Agosti, 2021 amezinduka na kuifungia timu yake magoli matatu...

Kimataifa

Mwanaume mrefu zaidi Marekani afariki dunia

  MWANAUME mrefu zaidi nchini Marekani aliyejulikana kwa jina la Igor Vovkovinsky, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 38 kutokana na ugonjwa...

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza uchunguzi tukio mauaji Dar

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameliagiza Jeshi la Polisi nchini humo, lifanye uchunguzi wa kina kuhusu tukio la mauaji ya watu...

Habari za SiasaTangulizi

Askou Gwajima agoma kukaa, ahojiwa akiwa amesimama wima

  MBUNGE wa Kawe, mkoani Dar es Salaam (CCM), Josephat Gwajima, ameendeleza mgomo wake wa kutotumia viti alivyopangiwa kutumia, wakati akihojiwa na Kamati...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa aipa maagizo Talgwu, bilioni 172 zalipa madeni

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameuagiza uongozi wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU) uhakikishe unatumia fedha na...

Habari Mchanganyiko

Jeshi la Polisi Tanzania lafumua mwongozo kazi wake

  JESHI la Polisi nchini Tanzania, limezindua mwongozo wake wa utendaji kazi (PGO), baada ya kuufanyia marekebisho ili kuongeza ufanisi. Anaripoti Regina Mkonde,...

Michezo

Serikali kurudisha tuzo za wasanii, kujenga arena Dar, Dodoma

  KATIBU Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Hassan Abbas amesema serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa sanaa...

Habari Mchanganyiko

Tukio la risasi Dar; IGP Sirro asema askari wawili wafariki dunia

  INSPEKTA Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro amesema, askari wawili wamefariki dunia wakati wakimdhibiti mtu mmoja aliyekuwa alifyatua risasi hovyo karibu na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Taharuki; majibizano ya risasi Dar

  HALI ya takaruki imeibuka eneo la daraja la Salender jijini Dar es Salama nchini Tanzania baada ya milio ya risasi kati ya...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaweka mapingamizi kesi kupinga tozo miamala simu

  SERIKALI ya Tanzania, imeweka mapingamizi matatu katika kesi Na. 14/2021, iliyofunguliwa na Odero Charles Odero, kupinga makato ya tozo ya miamala ya...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia: Polisi tumieni Tehama kudhibiti uhalifu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amelitaka jeshi la polisi kujipanga vizuri kwenye masuala ya teknolojia ya habari na mawasiliano (Tehama) ili...

Habari Mchanganyiko

Plea Bargaining yapingwa mahakamani, DPP akidaiwa kukiuka sheria

  WAKILI nchini Tanzania, Peter Mdeleka, amewasilisha ombi la kufungua kesi ya kupinga utaratibu wa kukiri kosa na kulipa fidia ili kuondolewa mashtaka...

Habari za Siasa

Aibu mtuhumiwa kufia mikononi mwa polisi- Rais Samia

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amelitaka Jeshi la Polisi kuacha kutumia nguvu kubwa katika utekelezaji wa majukumu yake ili kuondoka na aibu...

Habari za Siasa

Polisi shirikianeni na wananchi kubaini magaidi – Rais Samia

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameliagiza Jeshi la Polisi, lishirikiane na raia katika kuwabaini watu wanaojihusisha na vitendo vya ugaidi. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia aagiza kesi zisizo na ushahidi zifutwe

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameliagiza Jeshi la Polisi nchini humo kurekebisha sheria ya kuweka mtu mahabusu pamoja na kufuta kesi ambazo...

Habari za SiasaTangulizi

Uchaguzi mkuu 2025: Tume ya taifa ya uchaguzi Tanzania kufumuliwa

  MUUNDO wa sasa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), uko mbioni kufanyiwa marekebisho makubwa ya kisheria, baada ya kuibuka malalamiko kutoka...

MichezoTangulizi

Haji Manara aibukia Yanga, atambulishwa rasmi

  ALIYEKUWA msemaji wa klabu ya Simba Haji Manara ametambulishwa rasmi ndani ya klabu ya Yanga, mara baada ya kuachana na wajiri wake...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe yamshangaza Askofu Shoo, akumbushia maandamano Ukuta

  MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Frederick Shoo, ameziomba mamlaka nchini Tanzania zitende haki katika kesi ya uhujumu...

Habari Mchanganyiko

Coco beach kuboreshwa, Bakhresa kupeleka boti za utalii

  MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Amos Makalla amesema, amepata wadau waliokubali kuwajengea wafanyabiashara wa ufukwe wa Coco vibanda vya...

Habari Mchanganyiko

Milioni 700 kukarabati barabara Bagamoyo-Msata

  KATIKA mwaka wa fedha 2021/2022 Wakala ya Barabara (TANROADS), Mkoa wa Pwani unatarajia kutumia Sh. milioni 700 kwa ajili ya karabati wa...

Habari Mchanganyiko

NIT kushirikiana na NAS Tanzania

  CHUO cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) nchini Tanzania, kimesaini mkataba wa ushirikiano na National Aviation Service (NAS) – Dar Airco Tanzania katika...

Habari za SiasaTangulizi

Hukumu ya Sabaya, wenzake Oktoba mosi

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha, imepanga tarehe 1 Oktoba 2021, kutoa hukumu ya kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha, Na. 105/2021, inayomkabili...

Kimataifa

Jasusi mkuu CIA akutana kwa siri na Taliban

  MKUU wa Shirika la Ujasusi la Marekani, William Burns amefanya mkutano wa siri na mwanzilishi mwenza wa kikundi cha wanamgambo wa Taliban,...

Michezo

Stars kuingia kambi leo, wachezaji Simba, Yanga warejea

  TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inaingia kambini hii leo Agosti 24, 2021 kujiandaa na michezo miwili ya kufuzu fainali za...

Michezo

Azam FC yaanza kujinoa Zambia

  KLABU ya Azam imeanza mazoezi yake ya maandalizi ya msimu ujao 2021/22 katika kambi iliopo mji wa Ndola nchini  Zambia. Anaripoti Wiston...

Habari Mchanganyiko

Askofu Ruwa’ichi: Tuishi kama wapita njia

  ASKOFU Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Yuda Thadeus Ruwa’ichi, amewataka watu waishi duniani kama wapiti njia, huku...

Habari Mchanganyiko

Askofu Ruwa’ichi aagiza mapadre wote kuchanjwa

  ASKOFU Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Yuda Thadeus Ruwa’ichi amewaagiza mapadre wote wa jimbo hilo kupata chanjo...

Habari Mchanganyiko

Askofu Ruwa’ichi ampinga Gwajima

  ASKOFU Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Yuda Thadeus Ruwa’ichi, amewataka Watanzania wapuuze maneno yanayotolewa na baadhi ya...

Habari za Siasa

Askofu Gwajima atoa mpya bungeni

  MBUNGE wa Kawe,kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Askofu Josephat Gwajima, amegoma kutumia kiti na kipaza sauti, vilivyopangwa kwa ajili ya kutumia akihojiwa...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Gwajima, Jerry Silaa waondolewa kwenye kamati

  ASKOFU Josephat Gwajima ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Kawe na Jerry Silaa wa Jimbo la Ukonga mkoani Dar es Salaam kupitia...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Gwajima ahojiwa, kurudi tena kikaangoni Jumatano

  MBUNGE wa Kawe, mkoani Dar es Salaam (CCM), Askofu Josephat Gwajima, ameanza kuhojiwa na Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge,...

Habari za SiasaKimataifa

Rais Samia, Kikwete kumshuhudia Rais mteule Zambia akiapishwa

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anatarajia kuondoka nchini kesho tarehe 24 Agosti, 2021 kuelekea nchini Zambia kuhudhuria...

error: Content is protected !!