Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Udahili waanza shule mbili zilizojengwa na GGML, Halmashauri Geita 
Elimu

Udahili waanza shule mbili zilizojengwa na GGML, Halmashauri Geita 

Spread the love

Wanafunzi wa kidato cha tano katika Shule ya Sekondari Bugando ambayo ni shule ya sekondari ya pili ya serikali katika Halmashauri ya Wilaya ya Geita baada ya Shule ya Kamena, ambayo ni maalum kwa wasichana, wakiwa maabara. Shule zote mbili zimejengwa kwa gharama ya Sh milioni 287.5 kwa ufadhili wa wa kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Geita kupitia Mfuko wa Uwajibikaji wa Jamii.

Wanafunzi wa kidato cha tano kutoka shule ya sekodari Bugando wakihifadhi mazingira yao kwa kupanda miti fulani kwenye uwanja wa shule. Shule hiyo imejengwa kwa ufadhili wa wa kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Geita kupitia Mfuko wa Uwajibikaji wa Jamii.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari Mchanganyiko

Ugawaji taulo za kike watajwa kutokomeza utoro shuleni

Spread the loveBAADHI ya wanafunzi na walimu wa shule za sekondari mkoani...

ElimuHabari za Siasa

MbungeCCM ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

Spread the love  MBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze...

ElimuHabari za Siasa

Walimu 52,551 kupandishwa madaraja mwaka huu

Spread the loveNaibu Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala...

BiasharaElimu

NMB yatoa vifaa vya ujenzi kwa shule sita Nyasa  

Spread the loveBENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya ujenzi...

error: Content is protected !!