RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Alhamis tarehe 31 Machi 2022 amefanya mabadiliko madogo ya baraza lake la mawaziri. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....
By Gabriel MushiMarch 31, 2022UKIMYA na usiri umeendelea kutawala kuhusu kukwama kwa miradi mitatu ya Halmashauri ya Kinondoni inayogharamiwa kwa vyanzo vya mapato ya ndani na kuitia...
By Gabriel MushiMarch 31, 2022Mahakama ya upeo nchini Kenya imesema kwamba mchakato mzima wa marekebisho ya katiba ulikiuka sheria na kwa hivyo si halali. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuMarch 31, 2022BUNGE la Jamhuri ya Kidemocrasia ya Congo , limepiga kura kumuondoa Waziri wa Uchumi Jean Marie Kalumba , katika wadhifa wake Jumatano...
By Kelvin MwaipunguMarch 31, 2022SERIKALI ya Tanzania, imeshauriwa kuingiza katika mitaala ya elimu ya juu, ripoti za tafiti zilizofanywa na aliyekuwa Profesa Mshiriki wa Chuo Kikuu cha...
By Gabriel MushiMarch 31, 2022VILIO vya uchungu vimesababisha baadhi ya wasemaji katika ibada ya kuuaga mwili wa aliyekuwa Profesa Mshiriki wa Chuo Kikuu cha Mzumbe, Prosper Honest...
By Gabriel MushiMarch 31, 2022Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Basila Mwanukuzi ameahidi kuhakikisha maji yanafika kwenye shule ya Sekondari Mashewa ili kuwapunguzia kero ya maji wanafunzi wawapo...
By Gabriel MushiMarch 31, 2022BAADA ya kusota ‘benchi’ kwa muda wa mwaka mmoja na ushee, Kada aliyejipatia umaarufu kisiasa ndani ya CCM na baadaye ACT Wazalendo, Bernard...
By Gabriel MushiMarch 31, 2022HATIMAYE Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Philip Mangula ameng’atuka kwenye nafasi hiyo aliyoihudumu kwa miaka muda wa miaka 10. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Gabriel MushiMarch 31, 2022RAIS wa Tunisia, Kais Saied amevunja Bunge alilokuwa amelisimamisha miezi nane iliyopita kutokana na maandamano makubwa nchini humo. Anaripoti Rhoda Kanuti kwa msaada...
By Gabriel MushiMarch 31, 2022MKUU wa Mkoa wa Njombe (RC) nchini Tanzania, Waziri Kindamba amewaomba wananchi kujitokeza kupata chanjo ya virusi vya korona (UVIKO-19) kwani haina tatizo...
By Gabriel MushiMarch 31, 2022MSHAMBULIAJI, wa zamani wa Manchester United, Ruud Van Nistelroy ameteuliwa kuwa kocha Mkuu wa Klabu ya PSV Eidhoven inayoshiriki Ligi Kuu nchini Uholanzi....
By Gabriel MushiMarch 31, 2022MBUNGE wa Ubungo, jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, Profesa Kitila Mkumbo, ameiomba Serikali ifanye upanuzi wa Barabara ya kutoka Dar es Salaam...
By Gabriel MushiMarch 31, 2022WAZIRI wa Katiba na Sheria, George Simbachawene amezindua kongamano la msaada wa kisheria la 2022, pamoja na Ripoti ya Wadau wa Upatikanaji wa...
By Gabriel MushiMarch 31, 2022WAZIRI wa Katiba na Sheria nchini Tanzania, George Simbachawene, amesema nchi ikijengwa miundombinu ya madaraja na barabara za juu ‘Fly Over’, bila...
By Mwandishi WetuMarch 31, 2022MABADILIKO makubwa yaliyofanywa na Benki ya NMB nchini Tanzania yamewaibua wakulima kufungua milango ya kukimbilia mikopo ya benki hiyo ili kujiimarisha kiuchumi. Anaripoti...
By Gabriel MushiMarch 30, 2022NILIPATA mshtuko mkubwa kupokea taarifa mbaya ya kifo cha Profesa Honest Ngowi kilichotokana na ajali ya gari kutoka kwa mwanachama mwenzetu wa kundi...
By Gabriel MushiMarch 30, 2022BENKI ya NMB nchini Tanzania imezindua huduma maalumu ya kuweka na kutoa fedha kirahisi kupitia wakala watakao tumia simu zao za mkononi tu....
By Gabriel MushiMarch 30, 2022WANANCHI wa Materereka katika Halmashauri ya Wilaya ya Madaba, mkoani Ruvuma wamesema ujenzi wa kituo cha afya kilichojengwa kwa fedha za tozo za...
By Gabriel MushiMarch 30, 2022UJENZI wa Kituo cha Afya Mtama mkoani Lindi umetajwa kuwa kichocheo cha maendeleo kwa wakazi wa eneo hilo hususani mafundi ujenzi ambao wameshukuru...
By Gabriel MushiMarch 30, 2022MWENYEKITI wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (Chadema), Freeman Mbowe, ameiomba Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, ifanyie kazi hukumu iliyotolewa na...
By Mwandishi WetuMarch 25, 2022RAIA wanne wameuwawa Ukraine na wengine kadhaa , kujeruhiwa baada ya shambulio la Urusi kupiga kituo cha matibabu huko Khirkiv, Polisi wa...
By Mwandishi WetuMarch 25, 2022BALOZI Mstaafu,Dk. Wilbrod Slaa, ameilaumu Serikali kwa kuchelewa kutoa taarifa za kuugua wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati John Magufuli,...
By Mwandishi WetuMarch 25, 2022STEVEN Mangele maarufu Steve Nyerere ametangaza kujizulu nafasi ya Msemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania (SMT). Anaripoti Rhoda Kanuti, Dar es Salaam...
By Masalu ErastoMarch 25, 2022KATIBU Mkuu wa Wizara ya Madini, Adolph Ndunguru ameipongeza Kampuni ya (GGML) kwa kuzingatia sheria zinazosimamia sekta ya madini na kutekeleza majukumu yake...
By Gabriel MushiMarch 25, 2022MAHAKAMA ya Haki ya Afrika Mashariki (EACJ) imeitaka Serikali ya Tanzania kurekebisha vifungu vya mabadiliko ya Sheria ya Vyama vya Siasa ya...
By Mwandishi WetuMarch 25, 2022KUTOKUWA na ushirikiano miongoni mwa asktrai na maafisa wa Jeshi la Mageresha kumetajwa kama kikwazo cha kupiga hatua katika maendeleo ya jeshi...
By Mwandishi WetuMarch 25, 2022SERIKALI ya Tanzania imeweka mapingamizi katika maombi yaliyofunguliwa na Mwanahabari nchini humo, Saed Kubenea Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, kuomba kibali cha...
By Mwandishi WetuMarch 25, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan amesema anataka mwelekeo mpya wa majeshi kuachana na uzalishaji mali na kuwekeza nguvu zaidi katika majukumu yao. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMarch 25, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan amesema hatotoa ajira mpya kwa askari wa jeshi la Magereza na kuagiza waliopandishwa vyeo kurudi kusimamia wafungwa. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMarch 25, 2022MABINGWA wa Ulaya, Italia hawatacheza Kombe la Dunia la mwaka 2022 baada ya kushangazwa na Macedonia Kaskazini katika mechi yao ya mchujo...
By Mwandishi WetuMarch 25, 2022SHIRIKA la Afya Duniani limetoa wito wa tahadhari , juu ya kuongezeka kwa idadi kubwa ya nchi za Kiafrika zinazolegeza uchunguzi wa...
By Mwandishi WetuMarch 25, 2022KIONGOZI nchini Afrika Kusini wa kundi linalopinga wahamiaji, amekamatwa siku ya Alhamisi tarehe 24 machi 2022 vyombo vya Habari nchini humo vinaripoti....
By Mwandishi WetuMarch 25, 2022SERIKALI nchini Ethiopia imetangaza maafikiano ya kibinadamu , katika mzozo wake uliodumu takribani miezi 16 na Wanajeshi kutoka eneo la Kaskazini mwa...
By Mwandishi WetuMarch 25, 2022MAHAKAMA ya Haki ya Afrika Mashariki leo Ijumaa tarehe 25 Machi 2022 itatoa hukumu ya kesi juu ya uhalali wa Mabadiliko ya...
By Mwandishi WetuMarch 25, 2022WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Tanzania itandelea kuwa mstari wa mbele kuisaidia nchi ya Msumbiji katika kukabiliana na vitendo ya...
By Masalu ErastoMarch 25, 2022HOFU imetanda kwa madiwani na watetezi wa haki za binadamu waishio kwenye Hifadhi ya Ngorongoro, baada ya baadhi ya madiwani kuhojiwa na...
By Mwandishi WetuMarch 24, 2022TAASISI isiyo ya kiserikali ya Univeristy of Maryland Baltimore (UMB) kwa kushirikiana na serikali ya Mkoa wa Njombe imeandaa mjadala wa kitaifa...
By Mwandishi WetuMarch 24, 2022KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji (PIC) imeridhishwa na usimamizi na utekelezaji wa miradi ya Maji ya Kibamba-Kisarawe na Pugu-Gongo la mboto...
By Gabriel MushiMarch 24, 2022MKUU wa Wilaya ya Kilosa, Alahj Majid Mwanga amewasimamisha kazi wenyeviti wa vitongoji vitatu kwa makosa mbalimbali ikiwemo matumizi mabaya ya madarakani. Anaripoti...
By Gabriel MushiMarch 24, 2022MWENYEKITI wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amewataka Maofisa Madini Wakazi wa mikoa nchini kuweka utaratibu wa kukutana na wachimbaji wa madini...
By Gabriel MushiMarch 24, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan amesema uzinduzi wa daraja jipya la Tanzanite lililopo jijini Dar es Salaam anauchukulia kama sehemu ya kumuenzi mtangulizi...
By Mwandishi WetuMarch 24, 2022DOREEN Kimbi, mke wa mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, Augustino Lyatonga Mrema amesema umri baina yake na mumewe mwenye miaka 77 si tatizo. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMarch 24, 2022Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kimesogeza mbele kongamano la haki, amani na maridhiano, hadi tarehe 4 na 5 Aprili 2022, sababu zikitajwa...
By Regina MkondeMarch 24, 2022HAYAWI HAYAWI hatimaye yamekuwa. Ndivyo unaweza kuelezea kinachofanyika leo Alhamisi tarehe 24 Machi 2022 kwa Mwenyekiti wa Chama cha TLP, Augistino Mrema...
By Mwandishi WetuMarch 24, 2022INSPEKTA Jenerali wa Polisi nchini (IGP), Simon Sirro amewataka askari polisi nchini kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi, kwa ajili ya kuisaidia nchi,...
By Mwandishi WetuMarch 24, 2022RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelensky ametoa wito kwa watu duniani kote kuandamana barabarani kama hatua ya kupinga uvamizi wa Urusi nchini Ukraine. Aidha,...
By Gabriel MushiMarch 24, 2022SERIKALI ya Tanzania, imekubali kutekeleza mapendekezo 167, kati ya 252 yaliyowasilishwa na nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa (UN), yenye malengo ya kukuza...
By Gabriel MushiMarch 24, 2022SAKATA la ukamilishwaji wa mchakato wa upatikanaji kati mpya, pamoja na mgogoro wa ardhi katika Hifadhi ya Ngorongoro, vimeibuliwa kwenye mkutano wa 49...
By Gabriel MushiMarch 24, 2022KOCHA wa Timiu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Kim Polusen ameonekana kukoshwa na bao la pili kwenye mchezo wa kimataifa wa...
By Kelvin MwaipunguMarch 24, 2022