Friday , 17 May 2024

Month: March 2022

Kimataifa

Ruto atema nyongo majuu, adai siasa Kenya zimekumbwa na usaliti

NAIBU Rais wa Serikali ya Kenya, William Ruto amesema kuwa kuna usaliti na vitisho vingi katika harakati za kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika...

Kimataifa

Wananchi Ukraine waingia barabarani kuzuia majeshi ya Urusi

WAKATI watu zaidi ya milioni moja wakiripotiwa kuikimbia Ukraine, wengine wameamua kujitokeza na kuandamana barabarani kuzuia uvamizi wa majeshi ya Urusi. Anaripoti Mwandishi...

Michezo

Wanamichezo Urusi, Belarus wapigwa marufuku Paralimpiki

WANAMICHEZO wote waliotarajia kushiriki michezo ya Paralimpiki msimu wa baridi, inayotarajiwa kuanza rasmi kesho Beijing nchini China, wamepigwa marufuku. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea) Taarifa...

Kimataifa

Urusi yataja idadi ya wanajeshi wake waliofariki, yatofautiana na Ukraine

KWA mara ya kwanza Urusi imetangaza vifo vya wanajeshi wake 498 na wengine 1,597 kujeruhiwa tangu kuanza kwa vita kati yake na Ukraine....

Habari MchanganyikoTangulizi

Jamaa aoa pacha watatu wanaofanana “Nawapenda wote

MWANAUME kutoka Jamhiri ya Kidemokrasia ya Congo ameingia kwenye rekodi ya mfalme Solomoni baada ya kufunga pingu za maisha na mapacha watatu wa...

Habari Mchanganyiko

Mwanamke anyofoa sikio la mpenzi wake kisa nauli bodaboda

MWANAMKE mmoja mkazi wa mtaa wa Kawangware, Kaunti ya Nairobi nchini Kenya, amepandishwa kizimbani kwa tuhuma za kumng’ata sikio mpenzi na kulinyofoa kabisa....

Habari za SiasaTangulizi

Viongozi wa dini wamwomba Rais Samia kuwaachia kina Mbowe

  VIONGOZI wa dini nchini Tanzania, wamemwomba Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan kutumia mamlaka aliyonayo kumaliza kesi ya ugaidi inayomkabili, kiongozi...

Habari Mchanganyiko

Tito Magoti afungua kesi akitaka fidia kutopiga kura uchaguzi 2020

  MTETEZI wa haki za binadamu, Tito Magoti ameifikisha Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), katika Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam,...

Afya

Tanzania yaokoa bilioni 249 za kupeleka wagonjwa nje

  SERIKALI ya Tanzania imeokoa Sh.249 bilioni zilizokuwa zitumike kugharamia wagonjwa kwenda nje ya nchi kufuata huduma za matibabu ambazo awali zilikuwa hazipatikani...

Kimataifa

Urusi waendelea kuteka miji muhimu Ukraine

  Vikosi vya Jeshi la Urusi vimeendelea kusonga mbele katika kushambulia na kuteka miji muhimu nchini Ukraine ambapo wanadai kuuteta mji wa Kherson...

Kimataifa

Ukraine wadai kuua wanajeshi 5,840 wa Urusi

  JESHI la Ukraine limedai kuua wanajeshi 5,840 wa Urusi tangu kuanza kwa vita kati ya nchi hizo mbili siku saba zilizopita. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda atinga makahamani, apewa siku 21

  ALIYEKUWA mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni jijini Dar es Salaam impe muda...

ElimuHabari Mchanganyiko

Ujenzi wa VETA wagusa maisha ya vibarua Mkinga

WANANCHI wa wilaya ya Mkinga Mkoani Tanga wameeleza kufaidika na miradi ya Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) ambayo inajenga...

Habari MchanganyikoKitaifa

UNYAMA; mtoto adaiwa kulawitiwa, afariki, wazazi waiangukia Serikali

NI unyama ndivyo unavyoweza kuelezea baada ya mtoto Ian Macha mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi nane kudaiwa kutendewa ukatili wa kingono,...

KimataifaMichezo

Grand P amvisha pete mchumba wake live kwenye TV

  MWIMBAJI mwenye umbo la mbilikimo kutoka nchini Guinnea, Moussa Kaba maarufu kama Grand P amemvalisha pete mpenzi wake mwenye umbo matata raia...

Habari MchanganyikoTangulizi

Maaskofu Katoliki Tanzania watoa waraka wa Kwaresima, wagusia upatanisho

  BARAZA la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), limetoa waraka wa Kwaresima wa mwaka 2022 ambao kwa sehemu kubwa umejikita kuzungumzia umuhimu wa upatanisho....

Habari za Siasa

#LIVE: Mawaziri Tanzania wakielezea mafanikio ya ziara za Rais Samia

  MAWAZIRI wa Serikali ya Tanzania wanaelezea ziara zilizofanywa na kiongozi mkuu wa Taifa hilo, Rais Samia Suluhu Hassan. Hivi karibuni, Rais Samia...

Biashara

GGML yabeba tuzo kampuni bora katika sekta ya madini 2021

KAMPUNI ya uchimbaji madini ya dhahabu Geita (GGML) imetunukiwa tuzo ya kuwa kampuni bora inayoendesha shughuli za uchimbaji wa madini nchini kwa mwaka...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda kizimbani leo

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kinondoni jijini Dar es Salaam nchini Tanzania leo Jumatano tarehe 2 Machi 2022, itasikiliza maombi ya kufungua kesi...

Kimataifa

Putin kuburuzwa Mahakama ya kimataifa (ICC)

  MAHAKAMA ya Kimataifa ya Uhalifu ICC inatarajia kuanza uchunguzi kuhusu uwezekano wa uhalifu wa kivita nchini Ukraine hali ambayo inatafsiriwa kumweka matatani...

Makala & Uchambuzi

Uvamizi Ukraine: Warusi waanza kuonja makali ya vikwazo

  “NINGEKUWA na uwezo ningehama Urusi sasa hivi. Ningefanya hivyo. Lakini siwezi kuacha kazi yangu,” anasema Andrey. Hataweza kumudu mpango wa kununua nyumba...

Habari Mchanganyiko

Wakulima wa mtama Dodoma wavuna bilioni 13.5

  WAKULIMA 22,000 waliopo kwenye Mradi wa Kilimo Himilivu cha Mtama (CSA), kutoka wilaya sita za mkoa wa Dodoma, wamefanikiwa kuingiza Sh. bilioni...

Habari Mchanganyiko

DPP awafutia mashtaka ya ugaidi masheikh 15

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imewaacha huru Masheikh 15, baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), Sylvester Mwakitalu...

Habari Mchanganyiko

EWURA yatangaza bei mpya za mafuta

  MAMLAMKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei mpya za mafuta. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Bei...

Habari Mchanganyiko

Waomba vikwazo dhidi ya watu wenye ulemavu viondolewe

  TAASISI ya Vijana Wenye Ulemavu (YoWDO), imeIomba Serikali na jamii kwa ujumla, iondoe vikwazo vinavyosababisha kundi hilo lisishiriki kwenye shughuli za maendeleo...

Habari za Siasa

Rais Mwinyi awazungumzia wanaopinga miradi anayotekeleza

  RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi anaamini watu wanaohoji na kupinga miradi inayoanza kutekelezwa hapa Zanzibar ni wapinzani wake. Anaripoti Jabir...

Habari za Siasa

Godlisten Malisa afunguka Makonda alivyopigwa urais vyuo vikuu

  MWANAHARAKATI wa kisiasa nchini Tanzania, Godlisten Malisa amezungumzia jinsi aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ambavyo hakupaswa...

Kimataifa

Baharia Ukraine mbaroni kwa kujaribu kuizamisha boti ya bosi Mrusi

  MBAHARIA mmoja wa Ukraine amekiri kujaribu kuizamisha boti inayomilikiwa na Mkuu wa kampuni ya silaha ya serikali ya Urusi, kwa lengo la...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia mgeni rasmi Siku ya Maridhiano

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kilele cha maadhimisho ya Maridhiano day yatakayofanyika...

Kimataifa

Wanajeshi 70, raia 352 wauawa Ukraine

  TAKRIBAN wanajeshi 70 wameuawa katika shambulio la mizinga lililofanywa na wanajeshi wa Urusi katik miji muhimu ya Ukraine. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

Habari Mchanganyiko

Doris Mollel, Segal wapeleka neema kwa watoto njiti

  NAIBU Waziri wa Afya nchini Tanzania, Dk. Godwin Mollel amekabidhi vifaatiba kwa ajili ya huduma za matibabu katika Hospitali ya Wilaya ya...

Habari

Wanajeshi 70, raia 352 wauawa Ukraine

  TAKRIBAN wanajeshi 70 wameuawa katika shambulio la mizinga lililofanywa na wanajeshi wa Urusi katik miji muhimu ya Ukraine. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

HabariMichezo

GSM wapata pigo

BABA mzazi wa mfanyabiashara maarufu na mfadhiri wa klabu ya Yanga, Ghalib Said Mohammed (GSM), mzee Said Mohamed amefariki Dunia leo Jumanne tarehe...

error: Content is protected !!