MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro ameagiza polisi nchini kuwachukulia hatua watu wanaoua wenzao kwa kuwatuhumu ushirikina. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). IGP...
By Mwandishi WetuAugust 31, 2019VUMILIA Nyamoga, Mkuu wa Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, amewataka watendaji wa wilaya hiyo kutoa elimu ili wananchi waweze kujiunga na Mfuko wa...
By Danson KaijageAugust 31, 2019SIKU chache kupita baada ya Cyrispian Musiba, anayejitambulisha kuwa mtetezi wa Rais John Magufuli kudai, kukamatwa kwa ndege ya Shirika la Ndege la...
By Mwandishi WetuAugust 31, 2019WAKILI wa utetezi, Peter Kibatala amekwamisha kesi ya uchochezi inayomkabili Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema Taifa na wenzake. Anaripoti Faki Sosi…(endelea). Wakili huyo hakutokea...
By Faki SosiAugust 30, 2019ERICK Kabendera, mwandishi wa habari za uchunguzi ndani nje ya nchi, amepatwa na tatizo la kupooza mguu akiwa gerezani. Anaripoti Faki Sosi…(endelea). Taarifa ya...
By Faki SosiAugust 30, 2019JESHI la Polisi, Kanda Maalum ya Dar es salaam limeua watu watatu wanaodai kuwa majambazi na kukamata silaha mbili aina ya Shortgun na Bastola. Anaripoti...
By Hamisi MgutaAugust 29, 2019SHAHIDI namba 7 katika kesi Namba 112 ya mwaka 2018, inayowakabili viongozi wa Chadema katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, amedai kwamba ni...
By Regina MkondeAugust 29, 2019HATUA ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuendelea kufanya mikutano ya siasa huku vyama vingine vikinyimwa uhuru huo, sasa inapigiwa yowe. Anaripoti Danson Kaijage…(endelea). IGP...
By Danson KaijageAugust 29, 2019BODI ya Filamu, Baraza la Sanaa na Chama cha Hatimliki (Basata), vimeshauriwa kuungana ili vifanye kazi kwa pamoja. Anaripoti Martin Kamote…(endelea). Ushauri huo...
By Mwandishi WetuAugust 28, 2019DAKTARI Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema “ni kweli vyuma vimekazi” akaongeza “kwa wale wapiga dili.” Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kiongozi...
By Hamisi MgutaAugust 28, 2019CHAMA cha Mawakili Tanzania Bara (TLS), kimelaani shutuma zinazoelekezwa kwa mawakili kwamba hawana uzalendo, wakihusishwa na kukamatwa kwa ndege ya Shirika la Ndege...
By Mwandishi WetuAugust 28, 2019KUNDI la watu wachache limejitokeza leo tarehe 28 Agosti 2019, kwenye ofisi za ubalozi wa Afrika Kusini, uliopo kwenye barabara wa Shabani Robert...
By Hamisi MgutaAugust 28, 2019KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ally, ameahidi kuwapitisha kwenye ‘tanuri’ wagombea wa chama hicho kuelekea uchaguzi wa Serikali za...
By Regina MkondeAugust 28, 2019SAKATA la kushikiliwa ndege ya Shirika la Ndege Tanzania Limited (ATCL) nchini Afrika Kusini kwa amri ya mahakama, limechochea mvutano baina ya wabunge...
By Regina MkondeAugust 27, 2019KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu Tanzania (LHRC), kimetoa wito kwa Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma kuwachukuliwa hatua viongozi wanaokiuka...
By Mwandishi WetuAugust 27, 2019MJANE wa hayati Dk. Reginald Mengi, Jacqueline Mengi amesema, mambo magumu wanayoyapitia wajane sasa na yeye anayapitia. Anaripoti Martin Kamote…(endelea). Jacqueline ametoa kauli...
By Kelvin MwaipunguAugust 26, 2019MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo tarehe 26 Agosti 2019, imetupilia mbali pingazi la Jamhuri kutaka kutosikilizwa ombi la Tundu Lissu,...
By Kelvin MwaipunguAugust 26, 2019SERIKALI imesema, iko mbioni kufufua Shirika la Uvuvi la Taifa (TAFICO), ambalo litawekeza katika uvuvi wa samaki kwenye ukanda wa bahari kuu. Anaripoti Danson...
By Danson KaijageAugust 26, 2019MHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkuu, jijini Dar es Salaam imetoa ukomo wa kesi inayomkabili Halima Mdee, Mbunge wa Kawe (Chadema) ya kumtolea lugha...
By Regina MkondeAugust 26, 2019TANGU Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole afanye ziara ya kikazi Zanzibar mwaka jana, akili za wanachama...
By Jabir IdrissaAugust 26, 2019VIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo pamoja na mwanahabari Haruna Mapunda, wamekwama kufikishwa mahakamani kutokana na jalada lao kupelekwa kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Anaripoti...
By Masalu ErastoAugust 26, 2019HATIMA ya mvutano kati ya mawakili wa Jamhuri na utetezi upande wa Tundu Lissu, aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki unatarajiwa kutatuliwa leo tarehe...
By Masalu ErastoAugust 26, 2019JOHANNES Kahangwa (49), aliyefariki 19 Agosti 2019, baada ya kuitumikia Hazina kama Mchumi Mkuu wa Miradi ya Umoja wa Ulaya, amezikwa tarehe 24...
By Mwandishi WetuAugust 25, 2019MWANDISHI Joseph Gandye, Mhariri wa Maudhui wa Watetezi TV ameachiwa kwa dhamana na Jeshi la Polisi mkoani Iringa, alikokuwa anashikiliwa kwa kosa la...
By Regina MkondeAugust 24, 2019MADENI yanayoliandama shirika la ndege la taifa (ATCL), yanazidi kushika kasi, kufuatia mmoja wa wadeni wake, kupata amri ya mahakama kuzuia moja ya...
By Mwandishi WetuAugust 24, 2019JOHN Mrema, Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itikadi, Uenezi na Mambo ya Nje wa Chadema, ameitaka Serikali kutoa kanuni mapema na kutangaza tarehe ya uchaguzi...
By Hamisi MgutaAugust 24, 2019MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umeiomba serikali iunde tume huru kwa ajili ya kuchunguza madai ya baadhi ya polisi...
By Regina MkondeAugust 24, 2019CHAMA cha ACT-Wazalendo kimezuiwa kufanya mkutano wake wa ndani na Jeshi la Polisi mkoa wa Kipolisi Temeke kutokana na kukosa kibali. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeAugust 24, 2019SAA karibu 12 zilizoandamana na vipindi viwili vya mapumziko vilivyochukua jumla ya dakika kumi hivi, zilimtosha Jaji Sillius Matupa wa Mahakama Kuu kutamka...
By Faki SosiAugust 24, 2019SHIRIKA la Ndege la Tanzania (ATCL) leo tarehe 24 Agosti 2019 limetangaza mabadiliko ya ratiba zake za safari za ndege. Anaripoti Mwandishi Wetu...
By Mwandishi WetuAugust 24, 2019KITENDAWILI kuhusu tarehe rasmi ya kufanyika kwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa nchini, sasa kimeteguliwa. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Seleman Jafo, Waziri...
By Regina MkondeAugust 23, 2019SERIKALI kupitia Wizara ya Malisili na Utalii imeshauriwa kuhakikisha inaendeleza na kutangaza vivutio ambavyo vinaonekana kusaulika kama vile michoro ya mapangoni iliyopo Usandaweni...
By Danson KaijageAugust 23, 2019MWANDISHI wa Habari za Uchunguzi nchini Tanzania, Joseph Gandye alfajiri la leo tarehe 23 Agosti 2019, amesafirishwa kwenda mkoani Iringa. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea)....
By Regina MkondeAugust 23, 2019MWANDISHI wa Habari za Uchunguzi wa mtandao wa Watetezi TV, Jeseph Gadye anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kudaiwa kufanya uchochezi na kuchapoisha...
By Mwandishi WetuAugust 23, 2019BAADA ya shahidi namba saba wa Jamhuri, Victoria Wihenge kumaliza kutoa ushidi wake kwenye kesi ya uchochezi namba 112/2018 inayomuhusu Freeman Mbowe, Mwenyekiti...
By Faki SosiAugust 22, 2019RAIS wa Zanzibar Dk. Ally Mohamed Shein, anatarajia kufungua mkutano wa 50 wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola, Kanda ya Afrika...
By Danson KaijageAugust 22, 2019MVUTANO umeibuka kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kati ya upande wa Jamhuri na ule wa utetezi kwenye kesi ya uchochezi namba 112/2018...
By Faki SosiAugust 22, 2019HATUA ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), kugomea taarifa ya Halmashauri ya Nyang’wale, Geita kwa madai...
By Danson KaijageAugust 22, 2019MKUU wa mkoa wa Morogoro Dk. Kebwe Steven Kebwe ameiagiza ofisi ya Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) mkoa, kuongeza vituo vya kutolea...
By Christina HauleAugust 22, 2019WANAFUNZI wa Kidato cha Nne wa mchepuo wa sayansi katika Shule ya Sekondari ya Kiislamu ya Mivumoni – Kindondoni, Mtambani jijini Dar es...
By Regina MkondeAugust 22, 2019EDWARD Mpogolo, Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Singida amepongezwa kwa kusimamia miradi ya maendeleo ndani ya muda mfupi tangu ateuliwe kwenye nafasi hiyo....
By Mwandishi WetuAugust 22, 2019BALOZI wa Palestina nchini Tanzania, Hamdi Mansour AbuAli amempongeza Rais John Magufuli na serikali yake kwa kuimarisha uchumi wa nchi yake. Anaripoti Yusuph...
By Hamisi MgutaAugust 22, 2019UTENDAJI mbovu wa Bodi ya Maziwa, umemsukuma Luhaga Mpina, Waziri wa Mifugo na Uvuvi nchini Tanzania kuvunja bodi hiyo. Anaripoti Hamisi Mguta…(endelea). Katika...
By Hamisi MgutaAugust 22, 2019WAZIRI wa Mambo ya Nje ya Nchi, Prof. Palamagamba Kabudi amesema, hakuna kiongozi aliyefanya makubwa Afrika zaidi ya Rais wa Awamu ya Kwanza,...
By Hamisi MgutaAugust 21, 2019SHAHIDI wa saba katika kesi ya uchochezi inayowakabili viongozi tisa wa Chadema,Victoria Wihenge amefungua ‘darsa’ kortini kwa kueleza hatua mbalimbali zinazochukuliwa kuelekea kwenye chaguzi....
By Faki SosiAugust 21, 2019HATUA ya majeruhi wengi wa ajali ya Lori la mafuta lililowaka moto Morogoro, walifikishwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimibi (MNH) kuendelea kupoteza...
By Bupe MwakitelekoAugust 21, 2019MAGDALENA Uhwello na Halima Nsubuga leo tarehe 21 Agosti 2019, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam na...
By Regina MkondeAugust 21, 2019WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA), wameamua kuondoa wadaiwa sugu katika nyumba zao. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). TBA wameeleza kuwa, wapangaji hao mpaka...
By Danson KaijageAugust 21, 2019WAENDESHA Bajaji ambao ni walemavu katika Kituo cha Feri, jijini Dar es Salaam wamelalamikia kitendo cha Jeshi la Polisi kukamatwa wenzao. Anaripoti Regina Mkonde...
By Regina MkondeAugust 21, 2019SHAHIDI namba sita wa Jamhuri, Koplo Charles katika kesi ya uchochezi inayowakabili viongozi waandamizi wa Chadema, ameeleza kutoona wafuasi wa chama hicho wakiwa...
By Regina MkondeAugust 21, 2019