Friday , 29 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Mpina avunja bodi ya maziwa
Habari Mchanganyiko

Mpina avunja bodi ya maziwa

Spread the love

UTENDAJI mbovu wa Bodi ya Maziwa, umemsukuma Luhaga Mpina, Waziri wa Mifugo na Uvuvi nchini Tanzania kuvunja bodi hiyo. Anaripoti Hamisi Mguta…(endelea).

Katika taarifa yake leo tarehe 22 Agosti 2019 Mpina amesema, amechukua uamuzi huo kutokana na kutoridhishwa na utendaji wa bodi hiyo.

Taarifa hiyo imeeleza, Waziri Mpina amepewa mamlaka ya kuchukua uamuzi huo chini ya Sheria ya Bodi ya Maziwa namba 8 ya mwaka 2014 kifungu cha 8 na 9 (1).

Miongoni mwa majukumu ya bodi hiyo ni pamoja na kuhamasisha, kusimamia na kuendeleza uzalishaji, usindikaji na uuzaji wa maziwa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Puma Energy Tz: Watanzania tudumishe amani kuvutia uwekezaji

Spread the loveKAMPUNI ya Mafuta ya Puma Tanzania imewakutanisha wadau mbalimbali katika...

Habari Mchanganyiko

DAWASA waanza utekelezaji agizo la Samia

Spread the loveMamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam...

Habari MchanganyikoKimataifa

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the loveTUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais wa...

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

error: Content is protected !!