HALMASHAURI Kuu ya Chama cha NCCR-Mageuzi, imemsimamisha Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, James Mbatia na Makamu Mwenyekiti wake Bara, Angelina Mtaigwa, kwa...
By Bupe MwakitelekoMay 21, 2022MKURUGENZI wa Idara ya Habari-Maelezo nchini Tanzania, Gerson Msigwa amesema, wako tayari kutoa leseni kwa magazeti yote yaliyofungiwa ili yaanze kufanya kazi....
By Bupe MwakitelekoJune 29, 2021RAIS wa Awamu ya Nne wa Tanzania, Jakaya Kikwete, ameishauri Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, ijikite katika kutoa elimu kwa Watanzania,...
By Bupe MwakitelekoMay 21, 2021LICHA ya “vitimbi” vya wafuasi wa mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya...
By Bupe MwakitelekoNovember 30, 2019HATUA ya majeruhi wengi wa ajali ya Lori la mafuta lililowaka moto Morogoro, walifikishwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimibi (MNH) kuendelea kupoteza...
By Bupe MwakitelekoAugust 21, 2019IDADI ya majeruhi wa ajali ya Lori la mafuta ya petrol lililopinduka na kuwaka moto mkoani Morogoro, na kisha kupatiwa matibabu katika Hospitali...
By Bupe MwakitelekoAugust 19, 2019KESI inayotarajiwa kuwa mashuhuri na ya aina yake kati ya Tundu Lissu, aliyevuliwa ubunge wa Jimbo la Singida Mashariki dhidi ya Job Ndugai,...
By Bupe MwakitelekoAugust 15, 2019MAPATO ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), yameongezeka kutoka Sh. 11.7 Bilioni mwaka 2015/16 hadi Sh. 45.5mwaka 2018/19. Anaripoti Bupe Mwakiteleko … (endelea)....
By Bupe MwakitelekoJune 13, 2019UMMY Mwalimu, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto amesema serikali imepokea kwa tahadhari kubwa taarifa ya uwepo mlipuko wa...
By Bupe MwakitelekoJune 12, 2019DAKTARI Edwin Mhede, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), ameapishwa leo huku akipewa majukumu mawili mazito. Anaripoti Bupe Mwakiteleko … (endelea). Kwanza...
By Bupe MwakitelekoJune 10, 2019RAIS John Pombe Magufuli, amemng’oa kwenye wadhifa wake, Kamishena Mkuu wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), Charles Kichere na kumteuwa Edwin Mhende, kushika...
By Bupe MwakitelekoJune 8, 2019AMANI Kibondei, Mfanyabiashara wa Ubadilishaji Fedha za Kigeni katika Jiji la Dar es Salaam, ameishtaki Benki Kuu ya Taifa (BoT) kwa Rais John...
By Bupe MwakitelekoJune 7, 2019TAARIFA za ujio wa Tundu Lissu, Mbunge wa Singida Mashariki zimekolezwa na Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Anaripoti...
By Bupe MwakitelekoMay 23, 2019MWILI wa Dk. Reginald Abraham Mengi, aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni zilizo chini ya IPP Group, unatarajiwa kuletwa leo saa 8:30 mchana. Anaripoti...
By Bupe MwakitelekoMay 6, 2019JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limeishauri serikali kuunda chombo maalumu, kitakachofanya kazi ya kutoa mwongozo kwa wanahabari na vyombo vya dola, juu ya...
By Bupe MwakitelekoMay 3, 2019REGINALD Mengi, Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP na mfanyabiashara mkubwa nchini, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo tarehe 2 Mei 2019. Anaripoti Bupe...
By Bupe MwakitelekoMay 2, 2019LICHA ya Dk. Harrison Mwakyembe, Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo kutaka watu kutomtafuta mwandishi wa Azory Gwanda aliyetoweka katika mazingira ya...
By Bupe MwakitelekoApril 30, 2019JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Jamhuri amejaribu kumchora Prof. Mussa Assad, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) katika taswira...
By Bupe MwakitelekoApril 16, 2019NAIBU Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson amesema Rais John Magufuli ameirahisishia kazi Ofisi ya Bunge katika utekelezaji wa majukumu yake, kutokana na...
By Bupe MwakitelekoApril 13, 2019OFISI za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) zilizopo Mafinga, Iringa zimevamiwa. Anaripoti Bupe Mwakiteleko … (endelea). Tukio la uvamizi huo katika Jimbo...
By Bupe MwakitelekoApril 11, 2019RIPOTI ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ipo njia moja kuelekea Bunge la Jamhuri ya Muungano, lakini je, itafikishwa?...
By Bupe MwakitelekoApril 5, 2019FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)-Taifa, pamoja na wajumbe wa Kamati Kuu wanakutana leo tarehe 30 Machi 2019 kujali...
By Bupe MwakitelekoMarch 30, 2019RAIS John Magufuli amekutana na Timu ya Soka ya Taifa-Taifa Stars- leo tarehe 25 Machi 2019 ambapo amewaeleza, alishindwa kwenda uwanjani kuangalia mechi...
By Bupe MwakitelekoMarch 25, 2019ACT-WAZALENDO hakujapoa. Ndivyo unavyoweza kusema kutokana na amsha amsha ya ‘ShushaTangaPandishaTanga Safari iendelee’ inavyotekelezwa visiwani Zanzibar. Anaripoti Bupe Mwakiteleko…(endelea). Ni kauli mbiu iliyoasisiwa baada...
By Bupe MwakitelekoMarch 23, 2019MAMBO yanzidi kwenda kombo ndani ya Chama cha Wananchi (CUF) ambapo Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo alikabidhiwa lundo la kadi...
By Bupe MwakitelekoMarch 20, 2019HATUA ya Maalim Seif Shariff Hamad kundoka katika Chama cha Wananchi (CUF) na kuhamia Chama cha ATC-Wazalendo imeathiri chama chake cha awali. Anaripoti Bupe...
By Bupe MwakitelekoMarch 19, 2019HATUA ya Tundu Lissu, Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema) kuandika taarifa ya kusitishiwa mshahara na stahiki zingine na Ofisi ya Bunge, imemsukuma Job...
By Bupe MwakitelekoMarch 15, 2019PROFESA Ibrahim Lipumba ametwaa nafasi ya uenyekiti wa chama hicho kwa mara nyingine. Anaripoti Bupe Mwakiteleko … (endelea). Miongoni mwa majukumu ya leo...
By Bupe MwakitelekoMarch 13, 2019WAKATI maandalizi ya kuupumzisha mwili wa aliyekuwa mtagazaji wa Redio ya Clouds,Ephraim Kibonde baada ya kufariki dunia jana asubuhi tarehe 7 Machi 2019...
By Bupe MwakitelekoMarch 8, 2019MAZISHI ya aliyekiwa mtangazaji wa Kituo cha Redio Clouds, Ephrahim Kibonde atazikwa Jumamosi wiki hii. Anaripoti Bupe Mwakiteleko … (endelea). Mwili wa Kibonde...
By Bupe MwakitelekoMarch 7, 2019KANISA Katoliki Tanzania limetoa waraka uliobeba ujumbe wa Kwaresima, huku likiangazia changamoto zinazokabili familia na visababishi vya changamoto hizo. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Waraka huo...
By Bupe MwakitelekoMarch 7, 2019SAFARI ya mwisho ya Ephrahim Kibonde, mtangazaji na Mahiri wa Clouds FM aliyekuwa akitangaza kipindi cha Jahazi, ilishika kasi siku ya mazishi ya...
By Bupe MwakitelekoMarch 7, 2019SIKU tatu baada ya kufariki Ruge Mutahana, aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group (CMG), Ruge Mutahaba, leo tarehe 7...
By Bupe MwakitelekoMarch 7, 2019JESHI la Polisi limekamata maganga 65 katika Mkoa wa Simiyu na Njombe kwa tuhuma za kuhusika na mauwaji ya watoto yaliyotokea Januari 2019. Anaripoti...
By Bupe MwakitelekoMarch 2, 2019HATUA ya Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Ngoyai Lowassa kutangaza kurejea katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) jana tarehe Mosi Machi 2019, kumeibua mjadala mpana uliobeba...
By Bupe MwakitelekoMarch 2, 2019WILLIAM Lukuvi, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi amewapa pole ndugu na jamaa waliofiwa kwenye ajali iliyotokea jana tarehe 23 Februari 2019 Ifakara...
By Bupe MwakitelekoFebruary 24, 2019RAIS John Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa familia zilizopoteza ndugu na jamaa zao katika ajali ya barabara iliyotokea wilayani Mbozi mkoa wa...
By Bupe MwakitelekoFebruary 22, 2019MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (Sugu)-Chadema jana jioni alifanikiwa kupata dhamana baada ya kukamatwa na Jeshi la Polisi mkoani Mbeya asubuhi ya...
By Bupe MwakitelekoFebruary 22, 2019RAIS John Magufuli amemteua Dk. Michael Ng’umbi kuwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW).Anaripoti Bupe Mwakiteleko…(endelea). Taarifa ya uteuzi huo...
By Bupe MwakitelekoFebruary 20, 2019NAPE Nnauye, Mbunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi sasa anajutia kauli yake ‘bao la mkono’ aliyoitoa miaka minne iliyopita. Anaripoti Bupe Mwakiteleko...
By Bupe MwakitelekoFebruary 19, 2019MWIGULU Nchemba, Mbunge wa Iramba Magharibi bado yupo kitandani katika Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma akitibiwa baada ya kupata ajali ya gari. Anaripoti...
By Bupe MwakitelekoFebruary 14, 2019ENEO la Mbagala na viunga vyake linatarajiwa kunufaika na mradi wa mabasi yaendayo haraka (mwendokasi) unaotarajiwa kuanza muda wowote kuanzia sasa. Anaripoti Bupe Mwakiteleko…(endelea)....
By Bupe MwakitelekoFebruary 8, 2019ENEO la Mbagala na viunga vyake linatarajiwa kunufaika na mradi wa mabasi yaendayo haraka (mwendokasi) unaotarajiwa kuanza muda wowote kuanzia sasa. Anaripoti Bupe Mwakiteleko...
By Bupe MwakitelekoFebruary 7, 2019MZEE Jumanne Ngoma, mvumbuzi wa Tanzanite amefariki dunia. Anaripoti Bupe Mwakiteleko … (endelea). Taarifa ya familia yake inaeleza kuwa Mzee Ngoma alifariki dunia...
By Bupe MwakitelekoJanuary 31, 2019JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limeridhia kujiuzuru kwa Mwenyekiti wake Theophil Makunga aliyeomba kujiuzulu. Anaripoti Angel Willium … (endelea). Makunga aliomba kujiuzulu jana...
By Bupe MwakitelekoMarch 17, 2018MWENYEKITI wa Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) Reginald Mengi, amewaomba vijana kuchangamkia fursa za kibiashara zinazojitokeza wasipotoshwe na msemo wa hali ngumu, wakati...
By Bupe MwakitelekoMarch 5, 2018WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, ametoa onyo kwa mashirika mbalimbali kutotoa taarifa za makadirio ya takwimu za Watanzania na kuzichapisha...
By Bupe MwakitelekoFebruary 28, 2018BALOZI wa Tanzania nchini Kenya, Pindi Chana imeiomba sekta binafsi kujitokeza ili kushiriki maadimisho ya biashara hapa nchini yatakayofanyika Aprili 26 mwaka huu...
By Bupe MwakitelekoFebruary 26, 2018KAMPUNI ya Mawakala wa Elimu Solution Ltd, imetoa ufafanuzi jinsi wanavyo wadhamini wanafunzi wa vyuo vikuu, wajasiliamali, na wafanyakazi kwenda kusoma nchini China,...
By Bupe MwakitelekoJanuary 17, 2018JESHI la Polisi limefunga mwaka huku likishindwa kutoa majibu kuhusu watu waliohusika kumpiga risasi zaidi ya 38, Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu...
By Bupe MwakitelekoDecember 20, 2017