Wednesday , 24 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Mvumbuzi Tanzanite afariki Dunia
Habari Mchanganyiko

Mvumbuzi Tanzanite afariki Dunia

Spread the love

MZEE Jumanne Ngoma, mvumbuzi wa Tanzanite amefariki dunia. Anaripoti Bupe Mwakiteleko … (endelea).

Taarifa ya familia yake inaeleza kuwa Mzee Ngoma alifariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jana jioni tarehe 31 Januari 2019.

Utaratibu wa mazishi ya mvumbuzi huo mwenye umri wa miaka 80 bado hayajapangwa.

Mwanaye Hassan Ngoma ameeleza kuwa, taratibu zaidi zitajulikana hapo baadaye.

Mwaka jana tarehe 6 Aprili Rais John Magufuli wakati wa uzinduzi wa ujenzi wa ukuta unaozunguka mgodi wa Tanzanite, alimzawadia Sh. 100 mil kutokana na mchango wake kwenye madini hayo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

THRDC yaongeza mkataba wa ushirikiano na ABA

Spread the love  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC),...

Habari Mchanganyiko

Rufaa ya Equity Benki, State Oil yakwama

Spread the loveMAHAKAMA ya Rufani, jijini Dar es Salaam, imeshindwa kuendelea na...

Habari Mchanganyiko

Bodaboda waeleza mafanikio mafunzo usalama barabarani

Spread the loveMADEREVA bodaboda katika Jiji la Dodoma wameeleza jinsi mafunzo ya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yaahidi kuendelea kuunga mkono Serikali za Mitaa

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza dhamira yake ya...

error: Content is protected !!