Friday , 2 June 2023
Home Habari Mchanganyiko Msiba mwingine Clouds; Ephraim Kibonde afariki
Habari MchanganyikoTangulizi

Msiba mwingine Clouds; Ephraim Kibonde afariki

Spread the love

SIKU tatu baada ya kufariki Ruge Mutahana, aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group (CMG), Ruge Mutahaba, leo tarehe 7 Machi 2019, mtangazaji na Mahiri wa Clouds FM kupitia kipindi cha Jahazi, Ephrahim Kibonde amefariki dunia. Anaripoti Bupe Mwakitelekeko…(endelea).

Taarifa za msiba huo tayari zimedhibitishwa na Clouds Media. John Mongella, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza amethibitisha kufariki kwa Kibonde.

“Mtangazaji wa Clouds FM Kibonde amefariki dunia hapa Mwanza, alianza kusumbuliwa na presha alipokuwa Bukoba kwenye msiba wa marehemu Ruge Mutahaba na kuhamishiwa Mwanza,” amesema Mongella.

Taarifa zaidi zitawajiwa hapa MwanaHALISI ONLINE

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Serikali yakabidhi eneo la mahakama ya Afrika ya haki za binadamu

Spread the loveSerikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...

Habari Mchanganyiko

Udhamini wa NMB mikutano ya ALAT wafikia 1.2 bilioni

Spread the loveBENKI ya NMB imeendelea kufanya kazi kwa karibu na Asasi...

Habari Mchanganyiko

Dk. Gwajima atoa maelekezo kwa maofisa maendeleo nchini

Spread the love  WAZIRI wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia Watoto,...

Habari Mchanganyiko

Kairuki awaweka mtegoni wakurugenzi watakaoshindwa kufikia malengo ya makusanyo

Spread the loveWAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na...

error: Content is protected !!