Wednesday , 24 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Msiba mwingine Clouds; Ephraim Kibonde afariki
Habari MchanganyikoTangulizi

Msiba mwingine Clouds; Ephraim Kibonde afariki

Spread the love

SIKU tatu baada ya kufariki Ruge Mutahana, aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group (CMG), Ruge Mutahaba, leo tarehe 7 Machi 2019, mtangazaji na Mahiri wa Clouds FM kupitia kipindi cha Jahazi, Ephrahim Kibonde amefariki dunia. Anaripoti Bupe Mwakitelekeko…(endelea).

Taarifa za msiba huo tayari zimedhibitishwa na Clouds Media. John Mongella, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza amethibitisha kufariki kwa Kibonde.

“Mtangazaji wa Clouds FM Kibonde amefariki dunia hapa Mwanza, alianza kusumbuliwa na presha alipokuwa Bukoba kwenye msiba wa marehemu Ruge Mutahaba na kuhamishiwa Mwanza,” amesema Mongella.

Taarifa zaidi zitawajiwa hapa MwanaHALISI ONLINE

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari Mchanganyiko

Bodaboda waeleza mafanikio mafunzo usalama barabarani

Spread the loveMADEREVA bodaboda katika Jiji la Dodoma wameeleza jinsi mafunzo ya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yaahidi kuendelea kuunga mkono Serikali za Mitaa

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza dhamira yake ya...

Habari Mchanganyiko

Watuhumiwa 12 wa kilo 726.2 za dawa za kulevya wafikishwa mahakamani

Spread the love  WATUHUMIWA watatu wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kibaha Mkoani...

error: Content is protected !!