Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Dk. Tulia: Rais Magufuli kalirahisishia  kazi Bunge
Habari za Siasa

Dk. Tulia: Rais Magufuli kalirahisishia  kazi Bunge

Spread the love

NAIBU Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson amesema Rais John Magufuli ameirahisishia kazi Ofisi ya Bunge katika utekelezaji wa majukumu yake, kutokana na hatua yake ya kuhamisha ofisi za serikali kuu jijini Dodoma. Anaripoti Bupe Mwakiteleko…(endelea).

Dk. Tulia ameyasema hayo leo tarehe 13 Aprili 2019 jijini Dodoma katika hafla ya uzinduzi wa mji wakiserikali ulioko Mitumba jijini humo.

Amesema kwa sasa bunge halipati shida katika kutafuta watendaji wa serikali kuu, ikiwemo mawaziri, kwa kuwa ofisi zao ziko katika mkoa mmoja na ofisi za bunge, tofauti na ilivyokuwa awali kwamba ofisi nyingi za serikali kuu zilikuwa ziko jijini Dar es Salaam.

 “Leo hii mmetusaidia sana kama bunge ninyi kuhamia Dodoma mmetusaidia kazi, unashuhudia idadi ya wabunge ni wengi sana na wengi waliokuwepo hapa ni wale wanaosema ndio, waliosema ndio kwenye azimio la Dodoma kuwa makao kuu na kupitisha bajeti,” amesema na kuongeza Dk. Tulia.

“Tunasema umeturahisishia kazi sababu, sasa mambo yote yanafanyika Dodoma, kiongozi yeyote atakayehitajika anapatikana Dodoma, tunakushuru kwa maamuzi haya mazito na sisi tutaendelea kufanya kazi nawe, na wabunge wa chama cha mapinduzi wataendelea kusema ndio kwenye mipango madhubuti ya serikali ya awamu ya tano.”

Mkuuu wamajeshi ejenrali venance mabeyo- nichukue nafasi hii kwa kupata muda wa kuzindua au kusimika rasmi na kukabidhi makazi kwanza ya watendaji w aikulu pia watendaji wa serikali Dk. Tulia sisi leo hapa nizungumze kw aniaba ya spika tunawshukuru sana sababu huu mji siku zote ulikuwa unajulikana ni makao ya nchi lakini

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!