KATIKA kuunga mkono juhudi za Serikali ya awamu ya sita kwenye kuhudumia wananchi, Wafanyakazi wa benki ya NMB kutoka matawi ya Chato na...
By Mwandishi WetuDecember 31, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan ameeleza kusikitishwa na kifo cha Baba Mtakatifu Mstaafu Benedikto XVI aliyefariki dunia leoJumamosi saa 3: 34 Asubuhi tarehe 31...
By Gabriel MushiDecember 31, 2022MAZISHI ya Baba Mtakatifu Mstaafu Benedikto XVI aliyefariki dunia leoJumamosi saa 3: 34 Asubuhi tarehe 31 Desemba 2022 akiwa na umri wa miaka...
By Gabriel MushiDecember 31, 2022WAKATI leo tarehe 31 Disemba, 2022 ikiwa ni tamati ya mwaka 2022, Mke wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, Mama Maria...
By Mwandishi WetuDecember 31, 2022WAKATI ikiwa imesalia siku moja kwa 2022 kufika tamati, dunia haitosahau vifo vya watu mashughuri vilivyotikisa ndani ya mwaka huo. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuDecember 31, 2022RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Dk. Hussein Mwinyi, amesema 2022 hakutakuwa na sherehe za kitaifa za maadhimisho ya miaka 59 ya...
By Mwandishi WetuDecember 31, 2022BAADA msanii na mfanyabiashara Nasibu Abdul (Diamond Platnumz), kutoa malalamiko dhidi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwamba ina lengo la kuiua Kampuni...
By Regina MkondeDecember 31, 2022BARAZA la Vijana la Chama cha Chadema (BAVICHA), limewataka viongozi wake wa mikoa ambao ni waoga, wakae pembeni ifikapo 2023 maana mwaka huo...
By Mwandishi WetuDecember 31, 2022PAPA wa zamani Benedict XVI amefariki dunia katika makazi yake Vatican, akiwa na umri wa miaka 95, karibu muongo mmoja baada ya kujiuzulu...
By Gabriel MushiDecember 31, 2022WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza viongozi na watumishi katika balozi waendelee kufanya tathmini ya fursa za kiuchumi ambazo Tanzania inaweza kupata kutokana na...
By Mwandishi WetuDecember 30, 2022SERIKALI imepiga marufuku wanafunzi wa kidato cha kwanza 2023 waliochaguliwa kujiunga na shule za kutwa, kuhamia shule za bweni, hadi zitakapotokea nafasi...
By Mwandishi WetuDecember 30, 2022SERIKALI imeridhia kufufua mradi mkubwa wa kilimo cha umwagiliaji ndani ya Bonde la Bugwema, liliko mkoani Mara, ikiwa ni utekelezaji wa ombi...
By Regina MkondeDecember 30, 2022MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, amesema Tanzania iko katika zama nzuri kutokana na kuwepo kwa uhuru wa habari...
By Mwandishi WetuDecember 30, 2022CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imesema Kikosi Kazi cha kuratibu maoni ya kuimarisha demokrasia ya vyama vingi cha Rais Samia Suluhu, ilikuwa...
By Mwandishi WetuDecember 30, 2022MAMLAKA ya Bandari ya Tanga imesema maboresho ya bandari hiyo yatawezesha kupokea zaidi ya tani milioni 3 za shehena za mizigo kwa mwaka,...
By Seleman MsuyaDecember 30, 2022RAIS wa mstaafu wa Marekani, Barack Obama ameeleza namna alivyoguswa na kifo cha Mfalme wa Soka duniani, Edson Arantes do Nascimento maarufu kama...
By Gabriel MushiDecember 30, 2022GWIJI wa soka raia wa Brazil – Edson Arantes do Nascimento maarufu kama Pele amefariki dunia leo tarehe 29 Disemba, 2022 akiwa na...
By Gabriel MushiDecember 29, 2022TUNAPOELEKEA kufunga mwaka 2022, ubalozi unatoa shukrani za dhati kwa wadau mbalimbali kwa ushirikiano wao uliowezesha utekelezaji wa Majukumu ya Ubalozi. Katika Mwaka...
By Gabriel MushiDecember 29, 2022ASKARI wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara, WP Husna Juma Baraka, ameibuka mshindi wa pikipiki katika droo ya saba ya Kampeni ya...
By Gabriel MushiDecember 29, 2022CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeitaka Serikali ifikapo 2023 kuja na mkakati wa kitaifa wa kukuza uchumi, kuongeza ajira na kutoa huduma bora...
By Mwandishi WetuDecember 29, 2022RIPOTI ya Usalama kuhusu maendeleo ya Jeshi la Watu wa Jamhuri wa China iliyotolewa na Wizara ya Ulinzi ya Marekani ninaonyesha kuwa jeshi...
By Mwandishi WetuDecember 29, 2022JUKWAA la Wahariri nchini(TEF) limetangaza kampeni ya kutoa elimu kwa waandishi wa habari ya namna ya kuhamasisha jamii kutoa maoni yao kupinga ndoa...
By Gabriel MushiDecember 29, 2022CHAMA cha Wananchi (CUF), kimesema kinaunga mkono marekebisho ya sheria za habari yenye lengo la kuongeza uhuru wa tasnia hiyo, huku ikiiomba...
By Regina MkondeDecember 29, 2022PAPA Francis amesema mtangulizi wake Papa Benedict XVI ni mgonjwa sana na amewataka mahujaji wa Vatican kumuombea. Yameripoti Mashirika ya Habari ya...
By Mwandishi WetuDecember 29, 2022BILA shaka mwaka wa 2022 utakuwa unaeleka ukingoni huku ukiacha giza nene katika familia ya mkongwe na muasisi wa muziki aina ya...
By Mwandishi WetuDecember 29, 2022CHUO kimoja nchini Qatar kimetangaza kuwa kina mpango wa kugeuza chumba ambacho staa wa Argentina, Lionel Messi alikuwa akitumia kama malazi yake...
By Mwandishi WetuDecember 29, 2022MAWAZIRI watatu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambao ni wanachama wa chama cha mgombea urais, Moise Katumbi wamejiuzulu leo tarehe 29...
By Mwandishi WetuDecember 29, 2022SERIKALI ya Tanzania kupitia Halmashauri ya Jiji la Dodoma imesema maiti 59 zilizozikwa na mamlaka hiyo ni ambazo hazijatambuliwa na ndugu ndani...
By Mwandishi WetuDecember 29, 2022MSIMU huu wa sikukuu, Blue Santa kutoka Benki ya NMB ameachia zawadi mbalimbali ambapo mpaka sasa ameshatoa zaidi ya Sh117 milioni kwa washindi...
By Gabriel MushiDecember 28, 2022WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amemuwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan kumjulia hali Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa anayeendelea na matibabu Afrika Kusini. Anaripoti...
By Mwandishi WetuDecember 28, 2022CHAMA cha Wafanyakazi Mashambani na Kilimo Tanzania (TPAWU), kimesema Sh.40,000 iliyoongezwa kwenye kima cha chini cha mshahara wa mfanyakazi wa sekta ya kilimo...
By Seleman MsuyaDecember 28, 2022HATIMAYE Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo amejitokeza hadharani na kuachia picha ya mwanaye ikiwa zimepita wiki kadhaa tangu alipojifungua. Anaripoti...
By Mwandishi WetuDecember 28, 2022MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), amewataka wanahabari kupigania mazingira bora ya utendaji kazi zao bila kusubiri malipo ya fedha, kwa...
By Regina MkondeDecember 28, 2022WANAJESHI wa Urusi ambao wamekuwa katika sehemu ya harakati za operesheni za kijeshi nchini Ukraine watakuwa na haki ya kupata mbegu zao...
By Mwandishi WetuDecember 28, 2022IKIWA zimesalia siku tatu kufika tamati ya mwaka 2022, Chama cha ACT-Wazalendo kimeutaja mwaka huo kuwa wa misukosuko, “mchungu kwa wanyonge na...
By Mwandishi WetuDecember 28, 2022CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza nia ya kukiondoa madarakani Chama Cha Mapinduzi (CCM), ifikapo 2025 kupitia Uchaguzi Mkuu. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuDecember 28, 2022RAIS wa Urusi, Vladimir Putin jana tarehe 27 Disemba, 2022 amesaini amri ambayo inaweka marufuku ya uuzaji wa mafuta na bidhaa za...
By Mwandishi WetuDecember 28, 2022WANAJESHI nane na raia moja katika eneo la kaskazini mashariki mwa DRC lililogubikwa na vita, wamehukumiwa kifo kwa mauaji raia mmoja wa...
By Mwandishi WetuDecember 28, 2022MAPIGANO yamesababisha vifo vya watu 56 wakati wa vurugu za siku nne katika jimbo la Jonglei mashariki mwa Sudan Kusini, baada ya...
By Mwandishi WetuDecember 28, 2022TAJIRI wa soseji za Kirusi Pavel Antov amepatikana amekufa katika hoteli moja ya India, siku mbili baada ya rafiki yake kufa wakati...
By Mwandishi WetuDecember 28, 2022Huawei has launched smart photovoltaic (PV) solutions for all scenarios of the African residential market at the Solar Power Africa Conference 2023...
By Mwandishi WetuDecember 28, 2022WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza mikataba ya ujenzi wa miundombinu ya barabara iasainiwe hadahrani...
By Mwandishi WetuDecember 27, 2022JESHI la Serbia linasema liko katika “kiwango cha juu zaidi cha utayari wa mapigano” baada ya wiki kadhaa za mvutano unaoongezeka kati ya...
By Mwandishi WetuDecember 27, 2022CHINA itaondoa karantini kwa wasafiri kuanzia tarehe 8 Januari, maafisa wamesema, kuashiria mabadiliko makubwa ya mwisho kutoka kwa sera ya sifuri ya...
By Mwandishi WetuDecember 27, 2022WAKATI serikli ikiwa mbioni kuwasilisha muswada wa mabadiliko ya sheria ya huduma za vyombo vya habari nchini, Chama cha ACT-Wazalendo kimetoa wito kwa...
By Gabriel MushiDecember 26, 2022BENKI ya NMB itakuwa mdhamini mashindano ya kombe la Mapindizi 2023 yanayotarajiwa kuanza Januari 1, 2023 katika Uwanja wa Amaan Unguja, Pemba kwa...
By Gabriel MushiDecember 24, 2022SERIKALI ya Tanzania iko mbioni kuifanyia marekebisho Sera ya Habari na Utangazaji ya 2003 ili iendane na wakati pamoja na kuondoa mapungufu...
By Regina MkondeDecember 24, 2022SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya Mjini, Dk. Tulia Ackson amewataka Wananchi kuacha...
By Mwandishi WetuDecember 24, 2022KITUO cha Wanahabari Watetezi wa Rasilimali na Taarifa (MECIRA), kimemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kukazia maagizo ya Makamu wa Rais, Dk....
By Regina MkondeDecember 24, 2022WABUNGE wa Bunge la Tanzania wamesema Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP) ukikamilika utakuwa fursa ya kiuchumi na kijamii kwa Watanzania....
By Seleman MsuyaDecember 24, 2022