Tuesday , 21 May 2024

Month: December 2022

Habari Mchanganyiko

Uingizaji holela vifaranga, chakula vyatesa wauza kuku

UINGIZAJI holela vifaranga kutoka nje ya nchi na kupanda kwa bei ya chakula zimetajwa kukwamisha wazalishaji na wafugaji wa kuku wazawa, hivyo kusitisha...

Habari Mchanganyiko

Waliobomelewa nyumba Morogoro wamuangukia Samia, wamtaja Magufuli

WAKAZI wa Mtaa wa CCT mkoani Morogoro wameangua vilio baada ya serikali wilayani Mvomero kutumia jeshi la polisi, magereza pamoja na jeshi la...

Habari Mchanganyiko

Benki ya Exim yang’ara tuzo za mwajiri bora

BENKI ya Exim Tanzania imeendelea kutamba kwenye tuzo za mwajiri bora mwaka 2022 (EYA 2022) baada ya kuibuka kinara kwenye kipengele cha Mwajiri...

Habari Mchanganyiko

TARURA yazitaka Serikali za Mitaa kutenga bajeti ya barabara

MTENDAJI Mkuu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seif ameziomba Mamlaka za Serikali za Mitaa mkoani Tabora  kuendelea...

Kimataifa

Ushawishi wa Tik Tok wafichua siri ya China ya kujihusisha kisiasa Malaysia

  WAKATI nchi ya Malaysia ikiwa kwenye uchaguzi mkuu, China inaonyesha nia ya kufanya ushawishi wa kisiasa nchini humo kupitia mtandao wa kijamii...

ElimuHabari

Anne Makinda afurahia ubora wahitimu HKMU

CHUO Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki (HKMU), kimeiomba serikali kuendelea kuongeza mikopo na ufadhili kwa wanafunzi wa fani za afya hali ambayo...

Habari

CRB yawataka makandarasi kufanya kazi za ubia

BODI ya Usajili wa Makandarasi (CRB), imesema inafurahishwa na kasi ya wanawake wanaojitokeza katika kazi za ukandarasi huku ikiwataka makandarasi wa ndani kuwa...

Habari Mchanganyiko

11 waliomuua Wayne Lotter wahukumumiwa kunyongwa

  MAHAKAMA Kuu kanda ya Dar es Salaam leo tarehe 2 Disemba, 2022 imewahukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa watu 11 waliokutwa na...

Elimu

Happines Sanga awa mwanafunzi bora ARU

WANAFUNZI 96 wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU),   wametunukiwa tuzo mbalimbali kutokana na kufanya vizuri kitaaluma kwa mwaka wa masomo 2021/22. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)...

Habari Mchanganyiko

Wananchi Musoma Vijiji waanza kupata maji waliyosubiri toka 2013

  WANANCHI wa vijiji vya Chitare na Makojo vilivyoko katika Jimbo la Musoma Vijijini wameanza kupata huduma ya maji safi na salama, baada...

Habari za Siasa

Kigogo ACT-Wazalendo aeleza panda, shuka safari ya mwanamke kwenye uongozi

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha siasa cha ACT-Wazalendo Bara, Dorothy Semu, amewataka wanawake kuwa wavumilivu kuelekea safari yao ya uongozi wa kisiasa...

Afya

DC Mpogolo ahamasisha chanjo ya polio

  MKUU wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Edward Mpogolo amewataka wazazi wenye watoto wenye umri chini ya miaka mitano wawapeleke kupata chanjo...

Habari Mchanganyiko

Waliovamia Msitu wa Morogoro kupangwa

  ZAIDI ya makazi 1214 ya watu waliovamia Msitu wa Morogoro uliopo chini ya Wakala wa Huduma za Misitu maarufu msitu wa kuni,...

Habari Mchanganyiko

TFS yaweka mpaka Msitu wa Kuni Morogoro

  WAKALA wa Hifadhi ya Misitu Tanzania (TFS) imeanza zoezi la kuweka mpaka katika Msitu wa Morogoro maarufu Msitu wa Kuni uliopo Wilayani...

Habari Mchanganyiko

Serikali, wadau wakutana kuandaa mpango kazi kutokomeza ukatili wa kijinsia

  SERIKALI kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo nchini imekuwa mstari wa mbele kuunganisha nguvu katika kutokomeza ukatili wa kijinsia pamoja na...

Habari Mchanganyiko

Rais Dk. Samia aipa cheti GGML mapambano ya Ukimwi

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama, Mazingira na Mafunzo wa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML),...

AfyaHabari za Siasa

Dk. Samia ataka mikakati kutokomeza unyanyapaa kwa WAVIU

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan ameiagiza Tume ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS), wizara ya afya pamoja na wadau wengine kuweka mikakati ya kutokomeza...

Habari Mchanganyiko

Katambi: Program ya Umajumui wa Mwalimu Nyerere iendelezwe

  TAASISI ya Mwalimu Nyerere (MNF), imeshauriwa kuendeleza Program ya Ufadhili wa Umajumui wa Mwalimu Nyerere kwa Viongozi Vijana Afrika (Mwalimu Nyerere Pan-Africa...

Habari Mchanganyiko

Mshindi wa Promosheni ya NMB MastaBata KoteKote akabidhiwa Pikipiki Mwanza

MSIMU wa nne wa promosheni ya NMB MastaBata kwa ajili ya kuchagiza matumizi ya kadi za malipo za kidijitali umezidi kunoga baada ya...

Habari za Siasa

Wapinzani waibana Serikali mapendekezo kikosi kazi

  WAKATI viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani wakiitaka Serikali itoe ratiba ya utekelezaji mapendekezo ya kuboresha mfumo wa demokrasia ya vyama...

Habari Mchanganyiko

Benki ya Exim Yang’ara Tuzo za NBAA

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Exim Tanzania, Jaffari Matundu  (kulia) akipokea tuzo kwa niaba ya benki hiyo toka kwa Waziri wa Nchi...

Habari Mchanganyiko

Meena: Serikali imepiga hatua kubwa marekebisho sheria ya habari

  MJUMBE wa Kamati Tendaji ya Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Nevil Meena, amesema Serikali imepiga hatua kubwa katika mchakato wa marekebisho ya...

Elimu

Darasa la saba 2022 wafeli kiingereza

  MATOKEO ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) 2022 yanaonesha kuwa ufaulu wa watahiniwa katika masomo yote uko juu ya wastani...

ElimuTangulizi

Tazama hapa matokeo ya Darasa la Saba 2022

  BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA) leo Alhamisi limetangaza matokeo ya darasa la saba ambapo jumla ya watahiniwa 1,730,402 kati ya watahiniwa...

Habari Mchanganyiko

GGML yaweka rekodi mapambano dhidi ya VVU/ UKIMWI

WAKATI leo ikiwa ni kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi duniani, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), imesema itaendeleza mapambano dhidi...

error: Content is protected !!