Thursday , 28 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Rais Dk. Samia aipa cheti GGML mapambano ya Ukimwi
Habari Mchanganyiko

Rais Dk. Samia aipa cheti GGML mapambano ya Ukimwi

Spread the love

 

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama, Mazingira na Mafunzo wa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), Dk. Kiva Mvungi (kulia) cheti kwa kutambua mchango wa kampuni hiyo katika mapambano dhidi ya VVU na UKIMWI kupitia Mfuko wa UKIMWI wa Taifa (AIDS Trust Fund). Anaripoti Mwandishi Wetu, Lindi … (endelea).

GGML imepokea zawadi hiyo katika kilele cha maadhimisho ya Siku ya UKIMWI duniani ambayo kitaifa yamefanyika leo tarehe 1 Disemba, 2022 mkoani Lindi. Kampuni hiyo imeahidi kuendeleza mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI kupitia Kampeni ya Kili Challenge.

Kampeni hiyo iliyozinduliwa na GGML miaka 20 iliyopita na inalenga kuongeza uelewa pamoja na kukusanya fedha za mapambano dhidi ya maambukizi ya VVU/UKIMWI.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Soko nepi za watoto lashuka, watu wazima lapaa

Spread the loveKiwanda cha kutengeneza nepi cha Japan kimetangaza kuwa kitaacha kutengeneza...

Habari Mchanganyiko

NMB yafuturisha Dar, Majaliwa azitaka Serikali za Mitaa, Taasisi zijifunze kwao

Spread the loveBENKI ya NMB imewafuturisha wateja wake walio kwenye Mfungo wa...

error: Content is protected !!