Tuesday , 21 May 2024

Month: December 2022

HabariKimataifa

Marekani yaanza kujiimarisha Afrika, kutoa Sh. 128.4 trilioni

  RAIS wa Marekani Joe Biden ameahidi kuimarisha uhusiano na mataifa ya Afrika, huku akitangaza kusudio la Serikali yake kutoa kiasi cha Dola...

Kimataifa

Rais Kagame akana Rwanda kuchochea vita Congo DRC

  RAIS wa Rwanda, Paul Kagame, amedai kwamba Serikali yake haichochei mgogoro wa kivita unaoendelea mashariki mwa nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya...

ElimuHabari

Walimu waipongeza Serikali kulipa malimbikizo ya bilioni 117 , yataka kasi iongezeke

  CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT), kimeipongeza Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kulipa malimbikizo ya madai ya walimu 88,297 yenye...

Habari Mchanganyiko

TCRA: Tumieni msimu wa likizo kuhakiki laini zenu

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imewasihi watumiaji wa huduma za mawasiliano kutumia msimu huu wa sikukuu za mwisho wa mwaka kuhakiki laini zao...

PoliticsTangulizi

Mjadala deni ya Taifa: Chadema wataka mikataba ya mikopo iweke wazi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeitaka Serikali iweke wazi mikataba ya mikopo inayokopa katika taasisi za kimataifa, ili kujua masharti yake na...

Habari Mchanganyiko

Exim yatoa msaada wa majaketi ya viakisi mwanga kwa bodaboda Mwanza

BENKI ya Exim tawi la Mwanza imekabidhi msaada wa majaketi yenye viakisi mwanga (Reflector Jackets) kwa madereva wa pikipiki maarufu kama bodaboda wa...

Habari Mchanganyiko

NBC yakusanya bilioni 38 mauzo ya Hati Fungani ya Twiga

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imetangaza kufunga mauzo ya hati fungani yake iliyofahamika kama NBC Twiga Bond kwa mafanikio makubwa baada ya...

Habari Mchanganyiko

Mashahidi 9 kutumika kesi ya kimtandao inayomkabili Mwandishi wa Habari

MASHAHIDI tisa na vielelezo kumi vitatumika  katika kesi namba 407 ya 2022 ya kimtandao katika kundi la whassap inayokambili  mwandishi wa habari za...

Habari Mchanganyiko

NMB wazindua akaunti ya kidijitali inayofunguliwa kwa buku tu!

ZAMA mpya ya huduma za kibenki imejiri nchini baada ya Benki ya NMB kuzindua suluhisho la kisasa ‘NMB Pesa Akaunti’ ambayo ni akaunti...

Habari Mchanganyiko

Wananchi 13,000 Bunda wawalalamikia wateule Rais Samia

WANANCHI zaidi ya 13,000 wa vijiji vinne vya Kata ya Nyatwali Wilaya ya Bunda mkoani Mara wameulalamikia uongozi wa wilaya hiyo kwa kile...

Habari Mchanganyiko

Ajali ya baiskeli chanzo kifo cha Mwandishi TBC

SHIRIKA la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) limetoa ufafanuzi kuwa sababu ya kifo cha Joachim Kapembe (45) kilichotokea katika Mlima Kilimanjaro jana tarehe...

Michezo

Seleman Mpepe wa Nachingwea abongeka na Bikosports

MKAZI wa Nanyumbu mkoani Mtwara, Selemani Mpepe, ameibuka na bonasi bonge ya kiasi cha Sh milioni 4 kutoka kwenye mchezo wa kubashiri matokeo...

Habari Mchanganyiko

UTPC yataja mchango wa Rais Samia katika sekta ya habari

RAIS Samia Suluhu Hassan, ametajwa kuwa rafiki wa wanahabari, kufuatia dhamira yake aliyoionesha tangu alipoingia madarakani Machi 2021, ya kuifanyia maboresho sekta ya...

Habari Mchanganyiko

Rais Mwinyi ateua viongozi nane

RAIS wa Zanzibar, amefanya uteuzi wa viongozi nane katika taasisi mbalimbali za umma, ikiwemo Tume ya Mipango visiwani humo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar…(endelea)....

Habari Mchanganyiko

Watoto 9,537 wafanyiwa ukatili wa kijinsia 2022, IGP Wambura atoa maagizo

INSPEKTA Jenerali wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Camillus Wambura amesema katika kipindi cha kuanzia Januari hadi Oktoba 2022, matukio ya ukatili wa...

Habari za Siasa

Rais Samia apangua, ateua makatibu wakuu

RAIS Samia Suluhu Hassan leo tarehe 14 Disemba, 2022 ameteua makatibu wakuu wa wizara ya uwekezaji, biashara na viwanda pamoja na wizara ya...

Habari Mchanganyiko

Mwandishi wa Habari TBC afariki akishuka mlima Kilimanjaro

MWANDISHI wa habari na mpiga picha wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) mkoani Manyara Joachim Kapembe amefariki dunia alipokuwa akishuka kutoka katika kilele...

Michezo

GBT yachangia ukuaji bahati nasibu

BODI ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania (GBT) imesema kuwa imekuwa na mchango mkubwa katika kuweka kanuni na sera ili kusaidia ukuaji wa michezo...

Habari Mchanganyiko

Mabadiliko ya tabiachi yaathiri Tanzania

UTAFITI uliyofanywa na Mtandao wa Jinsia na Mabadiliko ya Tabianchi Tanzania (GCCTC), umebaini kuwa kila eneo katika nchi ya Tanzania limeathirika na mabadiliko...

Habari Mchanganyiko

Machinga mbaroni kwa wizi wa kichanga cha siku 21

JESHI la POLISI Mkoa wa Songwe linamshikilia Praxeda Msanganzila (28) Mkazi wa mtaa wa Ilolo, wilayani Mbozi kwa tuhuma za kuiba mtoto mdogo...

Habari za Siasa

Bodi NCCR Mageuzi yakwaa kisiki mahakamani

MAHAKAMA Kuu, Masjala Kuu ya Dar es Salaam, imeyaondoa maombi Na. 459/2022 yaliyofunguliwa na wanaodai kuwa wajumbe wapya wa Bodi ya Wadhamini ya...

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya aweka pingamizi rufaa ya Jamhuri

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Arusha kesho tarehe 14 Disemba, 2022 inatarajiwa kutoa uamuzi mdogo juu ya mapingamizi mawili yaliyowasilishwa na mawakili wa aliyekuwa...

Habari MchanganyikoKitaifa

Wananchi KIA walia kunyang’anywa ardhi

WANANCHI wa vijiji vinavyozunguka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro, (KIA), wamelalamikia serikali kwa kudai kuwanyang’anya ardhi bila kuzingatia sheria. Anaripoti Mwandishi...

HabariTangulizi

Dk. Samia atua Marekani, aridhia kuwa mwenyeji wa mkutano wa kilimo

RAIS Samia Suluhu Hassan ameridhia Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano mkubwa wa kilimo utakaohusisha viongozi, watu mashuhuri na wadau wapya 3,000. Uamuzi huo...

HabariHabari Mchanganyiko

Serikali Zanzibar yawakaribisha wadau wa sheria

WADAU wanaojishughulisha na masuala ya utoaji msaada wa kisheria visiwani Zanzibar, wametakiwa kushirikiana na Serikali ili kuhakikisha wananchi wanapata haki na wanajua majukumu...

Habari

SAT wapigwa msasa juu ya haki za wanyama

JUMLA ya wafanyakazi 65 wa Shirika la Kilimo Endelevu Tanzania(SAT) wamepewa elimu ya kutambua haki za wanyama hasa wmifugo ili kuweza kusaidia mifugo...

HabariKimataifa

Rais Ruto, Odinga kukutana ana kwa ana Marekani

RAIS wa Kenya, Dk. William Ruto leo tarehe 13 Disemba, 2022 atakutana ana kwa ana na kiongozi wa Azimio la Umoja-One Kenya, Raila...

HabariMichezo

Mtangazaji wa soka azirai na kufariki akitangaza mechi Qatar

MWANDISHI wa habari aliyejizolea umaarufu kwa utangazaji mechi za soka kutoka Marekani, Grant Wahl (49) amefariki dunia nchini Qatar baada ya kuzimia alipokuwa...

Habari Mchanganyiko

DC apiga marufuku mifugo kuingia Kilombero

Uongozi Wilayani Kilombero mkoani Morogoro umepiga marufuku mifugo mipya kuingia wilayani humo katika jitihada za kulinda bonde la Bonde la Kilombero. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

TMDA yakabidhi vifaa vya ukaguzi Mtwara

MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA)  Kanda ya Kusini yakabidhi taarifa za ukaguzi wa dawa, vifaa tiba na vitendanishi katika Halmashauri ya...

Kimataifa

Marekani yajipanga kuziwekea vikwazo vipya Urusi, China

MAREKANI imepangakutangaza vikwazo vipya dhidi ya nchi zq Urusi na China kuanzia tarehe 16 Disemba, 2022 kutokana na ukiukwaji wa haki za binadamu...

Habari Mchanganyiko

Yetu Microfinance Bank plc yawekwa chini ya usimamizi wa BoT

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imeiweka Benki ya Yetu Microfinance chini ya uangalizi wake ili kulinda haki za wateja na wadau wengine kutokana...

Habari Mchanganyiko

Wachimbaji wadogo watakiwa kuzitumia STAMICO, GST kutatua changamoto

KAIMU Afisa Madini mkoa wa Kimadini Kahama, Eva Kahwili ametoa wito kwa wachimbaji wa madini mkoani humo kuitumia Taasisi hizo ni pamoja na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ukivaa kimini, mlegezo Rungwe faini Sh. 15,000

MKUU wa Machifu wilayani Rungwe mkoani Mbeya, Joel Mwakatumbula amewataka vijana kuacha tabia ya kuvaa suruali chini ya kiuno ‘mlegezo’ na wasichana kuacha...

Habari Mchanganyiko

NMB yaimarisha mtaji wa rasilimali watu

MRADI wa Benki ya NMB wa mafunzo kazini unaotoa nafasi za ajira kwa wahitimu wa vyuo vikuu umeiwezesha taasisi hiyo kuimarisha mtaji wake...

Elimu

Serikali yaombwa kufuta huduma za bweni kwa shule msingi

Serikali ya Tanzania imeombwa kufuta huduma za mabweni katika shule za awali hadi msingi, ili kutoa nafasi kwa watoto kulelewa na familia zao...

HabariHabari Mchanganyiko

Dk. Samia asamehe wafungwa 1,631

KATIKA kuadhimisha miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania Bara, Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ametangaza msamaha kwa wafungwa 1,631 ikiwamo wa kike walioingia...

HabariSiasa

Vigogo ACT mbaroni kwa uchochezi, kukashifu viongozi wa Serikali

JESHI la Polisi Mkoa wa Kusini limewakamata na kuwahoji watu wawili ambao ni wanachama wa chama cha ACT Wazalendo kwa tuhuma za kuwakashifu...

HabariMazingira

MECIRA yafichua chanzo cha ukame, yataka Serikali iwachukulie hatua wahusika

KITUO cha Wanahabari Watetezi wa Rasilimali na Taarifa (MECIRA), wameiomba Serikali iwachukulie hatua watu wanaofanya vitendo vya uharibifu wa mazingira, Kwa kuwa ndiyo...

Health

Wananchi Same wahamasishwa kuchangia damu kwa hiari

HOSPITALI ya Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro imetoa elimu ya  uhamasishaji wa uchangiaji damu salama kwa hiari kwa ajili ya kusaidia wagonjwa wanaopungukiwa...

HabariSiasa

Shaka CCM tusipoteze muda  wa malumbano

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka amewataka wana CCM kutopoteza muda kwa malumbano na...

Habari

Dk. Samia apewa tuzo ya muongozaji bora watalii

RAIS wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan ametunukiwa Tuzo ya kimataifa ya kuwa muongoza watalii bora nchini kutoka Taasisi ya Kimataifa ya International...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe: Chadema haitafuti vyeo mazungumzo na Samia

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema mazungumzo ambayo chama hicho inafanya na Serikali ni ya wazi na wala...

MichezoTangulizi

Morocco yatinga nusu fainali, Ronaldo amwaga chozi

TIMU ya Taifa ya Morocco imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya mashindano ya Kombe la Dunia baada ya kuiondoa timu ya Taifa...

Habari Mchanganyiko

Biashara uuzaji nyeti za waliokeketwa yaibuka, Serikali kuchunguza

  SERIKALI ya Tanzania, imesema itafanya uchunguzi dhidi ya biashara haramu ya uuzaji viungo vya siri vya wanawake wanaokeketwa, iliyoibuka mkoani Mara. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Walemavu waiangukia Serikali

WATU wenye ulemavu nchini Tanzania, wameiomba Serikali iongeze ushiriki wao katika vyombo vya maamuzi ili waweze kutafuta suluhu dhidi ya changamoto zinazowakabili. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaombwa kurekebisha Sheria ya NGO’s

  SERIKALI ya Tanzania, imeombwa kufanya marebisho dhidi ya Sheria ya Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) ya 2002, Kwa sababu imepitwa na wakati...

Habari Mchanganyiko

Ukatili wa kijinsia: Wanaume walia kupigwa, kunyimwa unyumba

  IKIWA dunia inaadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, wanaume wamefunguka kuhusu vitendo hivyo huku madai ya kunyimwa unyumba na vipigo...

HabariKitaifa

Rais Samia apewa mbinu za kuwainua wanawake kiuchumi

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameshauriwa kuongeza juhudi katika dhamira yake ya kuimarisha usawa wa kijinsia na kumuinua mwanamke kiuchumi, ili kuondoa...

Habari Mchanganyiko

Serikali kuweka mazingira kuendeleza bunifu

WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, imesema itaendelea kutengeneza mazingira mazuri ya kuhakikisha kazi za kisayansi zinazobuniwa na wanasayansi chipukizi zinaendelezwa. Anaripoti Mwandishi...

error: Content is protected !!