Tuesday , 30 April 2024

Month: April 2020

Habari za Siasa

Bil. 33 kutumika kuimarisha huduma za kijamii nchini

WIZARA ya Afya, kupitia Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii inatarajia kutumia Jumla ya Sh. 33.1 bilioni kutekeleza shughuli mbalimbali za kijamii hususani...

Habari za SiasaTangulizi

Corona: Mbunge ‘Bunge lifungwe’

HOFU ya kusambaa kwa virusi vya corona (COVID-19), ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, sasa inazungumzwa waziwazi. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Tangulizi

Buriani Mbunge Mstaafu Kimaro

ALOYCE Bent Kimaro, aliyekuwa Mbunge wa Vunjo mkoani Kilimanjaro (CCM), amefariki dunia leo tarehe 30 machi 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kilimanjaro…(endelea). Kimaro alizaliwa tarehe 24 Juni 1953....

Habari za Siasa

Mahakama Mtwara yamwachia huru Mwambe

MAHAKAMA ya Mkoa wa Mtwara leo tarehe 30 Aprili, 2020, imemwachia huru aliyekuwa Mbunge wa Ndanda kwa tiketi ya Chadema, Cecil Mwambe katika...

Habari Mchanganyiko

INFINIX KUJA NA BIGI MAKINI – INFINIX NOTE 7

Kampuni pendwa ya simu Tanzania, Infinix Mobility iko mbioni kuleta simu yenye hadhi ya juu-NOTE 7 na kupewa jina la BIGI MAKINI kutokana...

Habari Mchanganyiko

Balozi Palestina aingia kwenye mapambano dhidi ya corona

KATIKA kukabiliana na maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19), Serikali ya Palestina imepanga kuikabidhi serikali mashine ya kutakatisha mwili (sanitization machine). Anaripoti Mwandishi...

AfyaTangulizi

Wagonjwa wapya 196 wa corona waongezeka, 167 wapona

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametangaza kuongezeka kwa wagonjwa wapya corona  196, ambapo kati yao kutoka Bara ni 174, Zanzibar 22 na kufanya jumla...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge Richard Ndassa afariki dunia

RICHARD Mganga Ndassa, Mbunge wa Jimbo la Sumve (CCM), amefariki leo tarehe 29 Aprili, 2020, jijijni Dodoma alipokuwa akipatiwa matibabu. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

Nenda Jaji Augustino Ramadhani, umefanya yaliyokuhusu

KASISI wa Kanisa la Anglikana Visiwani Zanzibar, Jaji Augostino Ramadhani (74), ameaga dunia. Amekutwa na mauti jana Jumanne, katika hospitali ya Aga Khan,...

AfyaTangulizi

Serikali yapokea msaada wa Bil 14.9

SERIKALI imepokea msaada wa Sh. 14.9 bilioni kutoka Global Fund, Airtel Tanzania, Rotary Club Tanzania ambazo sehemu kubwa zitatumika kununua vifaa kinga kwa...

Makala & Uchambuzi

Buriani Kaka Evod Herman Mmanda

EVOD Mmanda, naomba uamke kaka yangu. Umeondoka mapema mno kaka. Kwa nini lakini? Anaandika Moses Machali … (endelea) Kwangu hukuwa rafiki tu, bali...

Habari Mchanganyiko

Mradi wa kuzalisha majani bora ya kulishia mifugo wazinduliwa

TAASISI ya tafiti za mbegu bora za mazao (TARI) katika kituo cha Hombolo kwa kushirikiana na Shirika la Advanta Seed International kinatekeleza mradi...

Habari Mchanganyiko

Kanisa la Mlima wa Moto watangaza wiki ya maombelezo

MCHUNGAJI Kiongozi wa Kanisa la Mlima wa Moto lililopo Sabasaba Jijini Dodoma, Slivanus Komba ametangaza maombi ya Maombolezo ya siku saba ikiwa ni...

AfyaHabari Mchanganyiko

Serikali kushirikiana na Azaki kupambana na Corona

SERIKALI ya Tanzania imesema itaendelea kushirikiana na Asasi za Kiraia (AZAKI) katika kupambana na janga la ugonjwa unaosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19)....

Habari Mchanganyiko

Wanywaji pombe za kienyeji waonywa

DIWANI wa kata ya Ipagala jijini Dodoma, Doto Gombo, amewaonya wanywaji wa pombe za kienyeji kuacha tabia ya kuchangia chombo kimoja maarufu kwa...

Habari Mchanganyiko

Kaya 80 Dodoma zapokea msaada wa Mil 21

JUMLA ya kaya 80 za wakazi wa Kata ya Chamwino Jijini Dodoma wamenufaika na msaada wa chakula na mahitaji mbalimbali kutoka, taasisi ya Dar-Ul-Muslimeen...

Afya

FCS yazindua kampeni ya wanaohudumia wagonjwa wa corona

FOUNDATION for Civil Society (FCS) imezindua Kampeni ya ‘Jumanne ya Utoaji’ kuwasaidia na kuwalinda watoa huduma wa afya nchini Tanzania. Anaripoti Danson Kaijage,...

Habari Mchanganyiko

Barakoa zawa ‘deal’ jiji la Dodoma

KUTOKANA na kuwepo kwa mahitaji ya matumizi ya barakoa kwa ajili ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona kifaa hicho kimekuwa lulu...

AfyaTangulizi

Wagonjwa 37 wapona Corona Tanzania

WAGONJWA 37 waliokuwa wameambukizwa virusi vya Corona (COVID-19) wamepona na kuruhusiwa kurejea nyumbani baada ya vipimo vya mwisho kuthibitisha kwamba hawana maambukizi ya...

Habari Mchanganyiko

Chavita waomba elimu kwa viziwi, barakoa tatizo kwao

CHAMA cha Viziwi Mkoa wa Dodoma (CHAVITA) kimeiomba serikali kupitia Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kutoa elimu kwa...

Habari Mchanganyiko

TARI Hombolo waingia mkataba wa Mil 25 na TBL

KITUO cha Tafiti za mbegu bora za kilimo –TARI Hombolo, jijini Dodoma kimeingia mkataba wenye thamani ya dola za kimarekani 11,000 (zaidi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Corona sasa yamkumba mbunge wa Tanzania

NAIBU Spika wa Bunge la Jamhuri, Dk. Tulia Akson, amelitangazia Bunge kuwa mmoja wa wabunge wa Bunge hilo, amepatwa na virusi vya Corona....

Habari Mchanganyiko

Watafiti wa Kilimo: Tukizuiwa kufanya kazi, tujiandae na njaa, umaskini

WATAALAMU wa tafiti za mbegu bora za kilimo Tanzania, wametaadhalisha kuwa kuenea kwa kasi kwa virusi hatari vya ugonjwa wa Corona huenda ukaathiri...

Habari Mchanganyiko

Diwani apiga marufuku uingizwaji wa taka sokoni

DIWANI wa kata ya Chamwino, jijini Dodoma, Jumanne Ngede amepiga marufuku uingizwaji wa taka za vifungashio vinavyoletwa na bidhaa mbalimbali kwenye dampo la...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mch. Getrude Lwakatare afariki dunia

MCHUNGAJI wa Kanisa la Mlima wa Moto (Mikocheni B Assemblies of God), amefariki dunia alfajiri ya leo tarehe 20 Aprili 2020. Anaripoti Mwandishi...

Afya

Wagonjwa 23 wa corona waongezeka Z’bar

WIZARA ya Afya Zanzibar imetangaza wagonjwa wapya 23 wa Homa Kali ya Mapafu, inayosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari za Siasa

Spika Ndugai awanyoosha wapinzani bungeni, akiilinda mahakama

JOB Ndugai, Spika wa Bunge, amezuia Hotuba ya Kambi Rasmi ya Upinzani kuhusu Wizara ya Katiba na Sheria kusomwa bungeni jijini Dodoma, kwa...

Habari Mchanganyiko

Vita dhidi ya Corona: Wanywa bia baa wapigwa ‘stop’

SOPHIA Mjema, Mkuu wa Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, amepiga marufuku mikusanyiko ya watu katika baa, ikiwa ni sehemu ya hatua...

Habari za Siasa

Mkataba wa Muungano watikisa Bunge

MNYUKANO mkali umeibuka bungeni, baada ya baadhi ya wabunge kuhoji kuwapo kwa vifungu vya Katiba ya Zanzibar, vinavyopingana na Katiba ya Jamhuri ya...

AfyaTangulizi

Wagonjwa wa Corona wafikia 147, Dar hali tete 

SERIKALI imetangaza ongezeko la wagonjwa wapya 53, wa Homa Kali ya Mapafu, inayosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19). Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari Mchanganyiko

Maduka 400 kufungwa Arusha

MADUKA zaidi ya 400 yako hatarini kufungwa na Halmashauri ya Jiji la Arusha, kutokana na wamiliki wake kushindwa kulipa malimbikizo ya kodi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Spika Ndugai awaweka karantini wabunge

JOB Ndugai, Spika wa Bunge, ametoa waraka kwa wabunge wenye muongozo juu ya namna ya kujikinga na maambukizi ya Ugonjwa wa Homa ya...

AfyaHabari Mchanganyiko

Kasi ya Corona yamshtua JPM, atangaza siku 3 za maombi

RAIS John Magufuli ametaka Watanzania kumuomba Mungu kwa siku tatu mfululizo, ili awanusuru na athari za Ugonjwa wa Homa Kali ya Mapafu, inayosababishwa...

AfyaHabari Mchanganyiko

Wananchi watakiwa kutochoka kunawa mikono

KAIMU Meneja wa forodha Mikoa ya Songwe na Mbeya, Anangisye Mtafya amewataka Wasafiri na wafanya biashara wa maeneo ya mipakani kutochoka kusafisha mikono...

AfyaHabari Mchanganyiko

Wagonjwa sita wa corona waongezeka Zanzibar

WIZARA ya Afya ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imetoa taarifa ya ongezeko la wagonjwa wapya sita (6) wa Corona (COVID-19). Anaripoti Hamis Mguta,...

Tangulizi

Rostam Aziz ajenga historia mpya

ROSTAM Aziz, mfanyabiashara mkubwa na mbunge wa zamani wa Igunga, Tabora ametoa mashine kubwa 25 za vitakasa mwili wote ili kukabili virusi vya...

AfyaHabari MchanganyikoTangulizi

Idadi ya wagonjwa wa corona yapaa

WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu ametangaza ongezeko la wagonjwa wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya corona nchini kutoka 53 hadi 88...

Habari za Siasa

Serikali imetumia Mil 400 kukarabati Kituo cha Afya Igoma

SERIKALI imeeleza, Kituo cha Afya Igoma kilipatiwa kiasi cha Sh. 400 milioni kwa ajili ya ukarabati na upanuzi na kazi hiyo imekamilika. Anaripoti Danson...

AfyaHabari za Siasa

Ugonjwa wa figo tishio Dar, Arusha

JIJI la Dar es Salamu linaongoza kwa kuwa na wagonjwa wa figo huku Arusha ikishika namba mbili. Mkoa wa Simuyu unaongoza kwa wagonjwa...

AfyaHabari Mchanganyiko

Z’bar maambukizi ya corona yapanda

SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imetangaza ongezeko la wagonjwa wapya sita wa Homa Kali ya Mapafu inayosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19). Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Ujumbe wa ACT-Wazalendo kwa taifa kuhusu uchumi & corona

Ujumbe wa ACT-Wazalendo kwa taifa kuhusu uchumi & corona Ndugu Wananchi, Itakumbukwa kuwa Kiongozi wa Chama Chetu alimwandikia barua Rais wa Jamhuri ya...

Tangulizi

Ajali yauwa Watu 18 na kujeruhi 15 mkoani Pwani

WATU 18 wamepoteza maisha huku 15 wakijeruhiwa, katika ajali iliyohusisha lori la gari la abiria, iliyotokea asubuhi ya leo tarehe 15 Aprili 2020,...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Mke wa mbunge akutwa na Corona

MWANDISHI wa habari wa Sauti ya Ujerumani (DW), anayefanyia shughuli zake Visiwani Zanzibar, Salma Said, amethibitika kukutwa na maambukizi ya virusi vya Corona...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Shule, vyuo kuendelea kufungwa, Rais Magufuli afuta sherehe za Muungano

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema agizo la kufungwa kwa shule na vyuo vya kati na vya elimu ya juu, liliotolewa tarehe 17 na...

Habari za Siasa

Aliyedai kudhurumiwa shamba amvaa Lukuvi bungeni

MKAZI wa kijiji cha Nyahanga, Wilayani Kahama, Shinyanga, Magohe Kafumu, amemfuata bungeni jijini Dodoma, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William...

Habari Mchanganyiko

Wafanyabiashara wapewa somo la kuepuka migogoro

AFISA masoko wa Jiji la Dodoma, James Yuna ameutaka Umoja wa Wafanyabiashara waendao minadani (UWABIMIDO), kufanya vikao vya mara kwa mara ili kuhakikisha...

AfyaHabari MchanganyikoTangulizi

Mchanganyo huu unaua virusi vya corona

CHANGANYA lita moja ya Jik na lita sita za maji, kisha pulizia gari lao, hapo litakuwa salama dhidi ya virusi vya corona (COVID-19). Anaripoti...

Habari za Siasa

Mbunge ashangaa Ranchi ya NARCO kubadilishwa matumizi

SERIKALI imetakiwa ieleze, kwanini Ranchi ya NARCO Mbarali iliyoanzishwa kwa ajili ya mifugo, imeacha matumizi yake na sasa eneo hilo linatumika kwa kilimo? Anaripoti Danson...

Habari za Siasa

Mbunge CCM aipigania zabibu

JOEL Mwaka, Mbunge wa Jimbo la Chilonwa (CCM), amehoji serikali kwamba ina mpango gani wa kuhakikisha wataalam wa kilimo cha zabibu, wanapatikana ili...

Habari Mchanganyiko

Mwijage ‘aibuka’ na parachichi bungeni

CHARLES Mwijage, waziri wa zamani wa Viwanda na Mbunge wa Kaskazini (CCM), ameitaka serikali kueleza mpango wake katika kuwezesha wakulima wa zao la parachichi mkoani Kagera. Anaripoti...

error: Content is protected !!