Saturday , 27 April 2024
Home 2020

Year: 2020

Habari Mchanganyiko

Askofu Mkude ang’atuka Jimbo la Morogoro

BABA Mtakatifu Francisko, ameridhia ombi lililowasilishwa kwake na Askofu wa Jimbo Katoliki la Morogoro nchini Tanzania, Telesphor Mkude la kung’atuka madarakani. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Vigogo hospitali za serikali kikaangoni, Waziri Gwajima…

SERIKALI ya Tanzania, imeagiza mamlaka husika kuzifanyia uchunguzi hospitali zote za umma, ili kubaini sababu za kukwama kwa mfumo wa utoaji huduma za...

Habari za Siasa

Taasisi 20 za Serikali zapewa siku 30 kulipa bilioni 30 za TTCL

WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dk. Faustine Ndugulile amezipa siku 30 taasisi za umma zinazodaiwa na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL)...

Habari za SiasaTangulizi

Masharti yatolewa kuuaga mwaka 2020, mwisho saa 6:30 usiku

WAZIRI wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, George Simbachawene amepiga marufuku, makongamano ya dini au mikutano ya mikesha inayofanyikia viwanja vya wazi usiku...

Habari za SiasaTangulizi

Takukuru yaiokoa Tanesco, yawaonya wakandarasi 16

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) nchini Tanzania, imerejesha vifaa ghafi vya umeme vya zaidi ya Sh.1.2 bilioni kwa Shirika la...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Mwinyi abaini ufisadi taasisi za umma ‘tutawagusa wote’

RAIS wa Zanzibar, Hussein Mwinyi amesema, katika kipindi kifupi alichokaa madarakani, amebaini ubadhirifu wa fedha za umma katika taasisi za Serikali. Anaripoti Mwandishi...

Michezo

Ntibazonkiza hatiati kuwakosa Prisons, Kaze anena

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Saidi Ntibanzokiza huenda akaukosa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Tanzania Prisons, kutokana na kuumia kwenye mchezo uliopita...

Habari za Siasa

Rais Mwinyi ateua Ma DC

RAIS wa Zanzibar, Hussein Mwinyi, amefanya uteuzi wa wakuu wa wilaya (DC) kumi visiwani humo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea). Uteuzi huo...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli asimulia alivyonusurika kifo, atua Chato

RAIS wa Tanzania, John Magufuli, amekagua maendeleo ya ujenzi wa daraja la Kigongo – Busisi, lililopo jijini Mwanza, litakalokuwa na urefu wa 3.2...

Michezo

Simba yampiga ‘Stop’ Mkude

UONGOZI wa klabu ya Simba umemsimamisha kiungo wake mkabaji, Jonas Mkude kwa muda wa siku zisizojulikana kutokana na utovu wa nidhamu mpaka atakaposilizwa...

Michezo

TFF yaianika Lipuli, inadai milioni moja tu

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetoa ufanunuzi juu ya sakata la kudaiwa na klabu ya Lipuli FC kiasi cha Sh. 10,000,000...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mdee waanzisha vita mpya Chadema

HATUA ya Halima James Mdee na wenzake 18, kushitaki Kamati Kuu (CC) ya (Chadema, mbele ya Baraza Kuu la taifa (BKT), yaweza kuwa...

Makala & Uchambuzi

Kifo cha Baloch, Canada katikati ya shinikizo zito

JUSTIN Trudeau, Waziri Mkuu wa Canada anatakiwa kuchunguza kifo tatanishi cha mwanaharakati Karima Baloch. Anaandika Mwandishi Wetu … (endelea). Ni kutokana na shinikizo...

Habari za Siasa

Rais Magufuli amtumbua DED

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora, Revocatus Kuuli. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Majengo chakavu Z’bar kufungwa, Dk. Mwinyi atoa maagizo  

RAIS wa Zanzibar, Hussein Mwinyi ameagiza Tume ya Uchunguzi wa Majengo ya Kihistoria yaliyoko katika Mji Mkongwe, atakayoiunda, kuwahi kutoa orodha ya majengo...

Michezo

Chelsea, Man City kushuka dimbani leo

LIGI Kuu nchini Uingereza kuendelea tena hii leo, ambapo klabu ya Manchester City itashuka dimbani kuwakabili Everton, huku Chelsea ikiwa nyumbani itapata wakati...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kisa bando la intaneti, TCRA yapewa siku 90

WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari (Tehama) nchini Tanzania, Dk. Faustine Ndugulile, ameipa miezi mitatu (siku 90), Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA),...

Habari za SiasaTangulizi

Vigogo TPA wasimamishwa, bandari tano kuchunguzwa na CAG

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amemuagiza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kufanya ukaguzi maalum Bandari za Dar es Salaam, Mwanza,...

Habari Mchanganyiko

Wadaiwa pango la ardhi kukiona

WATU wanaomiliki ardhi mijini, mashambani na vijijini, wametakiwa kulipa kodi ya ardhi kabla ya Januari 2021, vinginevyo watafikishwa kortini. Anaripoti Regina mkonde, Dar...

Habari Mchanganyiko

Uswizi yaeleza wasiwasi juu ya mawakala wa haki za Watibeti

KRYSTYNA Marty, Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali Uswizi amefanya mazungumzo na Qin Gang, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa China kuhusu mahusiano...

Habari za Siasa

Rais Magufuli amwokoa Sugu

RAIS John Magufuli ameagiza Hoteli ya Desderia inayomilikiwa na aliyekuwa Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, isivunjwe. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Taarifa hiyo...

Michezo

Messi kukiputa PSG?

LEONEL Messi, mshambuliaji wa Klabu ya Barcelona na Argentina anawindwa. Inaripoti mitandao ya kimataifa…(endelea). Mkufunzi wa zamani wa Klabu ya Tottenham  Hotspur ya...

Habari za Siasa

Mauaji mkesha wa Krismas

WATU kadhaa wameuawa Kaskazini Mashariki mwa Nigeria baada ya wanamgambo wa Boko Haram kushambulia vijiji vya Wakristo na kuteketeza Kanisa wakati wa Mkesha...

Habari za Siasa

Zitto, Mdee washinda tuzo ya mwanasiasa bora mtandaoni

KIONGOZI wa Chama Cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe na aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha), Halima Mdee,  wameshinda tuzo za...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yaibwaga CCM, ACT-Wazalendo

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeshinda Tuzo ya Watu, Taasisi na Chapa, zinazoongoza mtandaoni (Tanzania Digital Awards), kwenye kipengele cha chama bora cha...

Habari Mchanganyiko

Serikali yataka majibu ya corona kwa saa 24

SERIKALI ya Tanzania imeagiza utoaji wa majibu ya vipimo vya ugonjwa wa corona ndani ya saa 24 badala ya saa 72. Anaandika Regina...

Habari za Siasa

Kanisa Anglikana: Tuepushe visasi

VYAMA vya siasa nchini, vimetakiwa kumaliza tofauti zao kwa kukaa meza moja na kuzungumza ili kuweza kufikia mwafaka wa kupata amani badala ya kutunishiana...

Habari za Siasa

Rais Magufuli awatakia Watanzania Heri ya Krismas

RAIS wa Tanzania, Dk. John Magufuli ameungana na Watanzania kuadhimisha siku ya kuzaliwa Yesu Kristo, kwa kusali Misa Takatifu ya Krismasi. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Lissu aeleza machungu ya 2020

TUNDU Lissu, aliyekuwa Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 28 Oktoba 2020, amesema...

Habari Mchanganyiko

Waliomuua Mawazo wa Chadema, nao kunyongwa

MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Mwanza, imewahukumu kunyongwa hadi kufa, kwa  washitakiwa wanne waliotuhumiwa na Jamhuri, kumuua kwa makusudi,  Alphonce Mawazo. Anaripoti Faki Sosi,...

Habari Mchanganyiko

Japan, Australia kusaini ushirikiano wa ulinzi dhidi ya China

KATIKA juhudi za kudhibiti kukua kwa ushawishi wa China katika Pwani ya Kusini mwa nchi hiyo, Waziri Mkuu wa Japan, Yoshihidi Suga na mshirika...

Habari za Siasa

Polepole arusha vijembe upinzani

HUMPHREY Polepole, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameeleza kuwashangaa wapinzani kwa kudhani kampeni nzuri zinaweza kuwapa ushindi. Hamis Mguta,...

Habari Mchanganyiko

Wizara Katiba na Sheria wamwangukia Rais Magufuli

WIZARA ya Katiba na Sheria Tanzania, imemuomba Rais John Magufuli aongeze idadi ya majaji wa Mahakama ya Rufani na Mahakama Kuu, ili kuimarisha mfumo...

Habari za Siasa

Jecha aibuka, amtuhumu Maalim Seif kuiba kura

JECHA Salim Jecha, aliyekuwa mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), ameibuka upya. Safari hii anasema, aliyekuwa mgombea urais wa Zanzibar, katika uchaguzi...

Habari za Siasa

Rais Magufuli ahofia udukuzi nyaraka za Serikali

RAIS wa Tanzania, Dk. John Magufuli ameiagiza Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, kutoendesha shughuli zake kwa njia ya mtandao, ili kudhibiti...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Bagonza: Amani hailetwi kwa majeshi

ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania  (KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera, Dk. Benson Bagonza, amani hailetwi kwa majeshi, itikadi yoyote...

Habari za Siasa

Miradi inayofadhiliwa na China, yayumba Pakistan 

VURUGU za kisiasa, kukua kwa deni la nje na mlipuko wa ugonjwa wa COVID-19, vimesababisha kupunguza uwekezaji wa China nchini Pakistan, ambapo Beijing...

Habari za Siasa

Rais Mwinyi awasimamisha kazi vigogo Wizara ya Fedha

RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi amemsimamisha kazi, Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii visiwani humo(ZSSF), Sabra Issa Machano na watendaji...

Habari Mchanganyiko

Malalamiko wizi wa data, vifurushi yatua Serikalini

SERIKALI ya Tanzania imeagiza Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kuchunguza madai ya wananchi kuhusu wizi wa data na vifurushi, unaodaiwa kufanywa na baadhi...

Habari Mchanganyiko

Mahakama yataifisha madini ya mamilioni

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam imetaifa madini yenye gramu zaidi ya 800 ya mfanyabiashara Haji Hassan (52) na Jamas...

Habari za Siasa

Rekodi  inayowaumiza Chadema

MWAKA 2020 unaelekea ukingoni, hata hivyo umeacha jambo ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Ndani ya...

Habari Mchanganyiko

Mahakama yaiamuru Halotel kulipa fidia Sh. 42 Bil.

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar Es Salaam, imeiamuru Kampuni ya Mwasiliano ya Halotel Tanzania, kulipa fidia Sh. 42 Bilioni. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Rais Magufuli ateua mrithi wa Jaji Nsekela

RAIS wa Tanzania, John Magufuli amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani, Sivangilwa Sikalalilwa Mwangesi, kuwa Kamishna wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa...

Habari Mchanganyiko

Serikali kujenga Shule 1,000 za Sekondari

SERIKALI inatarajia kujenga shule mpya za Sekondari 1,000, kupitia Mradi wa Kuimarisha Elimu ya Sekondari (SEQUIP), ili kuondoa changamoto ya upungufu wa madarasa...

Habari Mchanganyiko

Waziri Majaliwa akagua ujenzi daraja la Salander, atoa maagizo

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa daraja jipya la Tanzanite (Salander), lililoko jijini Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari za Siasa

Mwaka 2020 Nenda mwana kwenda – 1

MWAKA 2020 uondoke na usirejee tena, kutokana na jinsi ulivyoacha maumivu, malalamiko, uharibifu na kugharimu maisha ya baadhi ya watu. Anaandika Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu: Kazi ya kudai haki inaendelea vizuri

TUNDU Antipas Lissu, aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu uliyopita, bado yuko kwenye makazi yake nchini Ubelgiji na anasema, “mapambano yanaendelea.”...

Habari Mchanganyiko

Mo Salah aitikisa Liverpool

KAULI ya Mohamed Salah, mshambuliaji wa Klabu ya Liverpool kwamba, alifedheheshwa kwa kutopewa nafasi ya unahodha wakati wa mechi yao na Midtjylland, Klabu Bingwa...

Habari Mchanganyiko

Vituo vya afya vya serikali vyapewa tahadhari

VIONGOZI wa vituo vya huduma za afya vya umma, wametakiwa kuchukua tahadhari ya matumizi ya fedha kulingana na bajeti ya serikali. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

RC Dar amstukiza mkandarasi usiku wa manane

ABOUBAKAR Kunenge, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amstukiza mkandarasi wa ujenzi wa Soko la Tandale ili kujiridhisha kama ametekeleza maagizo ya...

error: Content is protected !!