LEONEL Messi, mshambuliaji wa Klabu ya Barcelona na Argentina anawindwa. Inaripoti mitandao ya kimataifa…(endelea).
Mkufunzi wa zamani wa Klabu ya Tottenham Hotspur ya Uingereza, Mauricio Pochettino anataka kumleta mshambuliaji huyo kwenye Klabu ya Paris St – German.
Pochettino ametoa kauli hiyo ili kuishawishi klabu hiyo kumtumia, baada ya aliyekuwa kocha wa klabu hiyo Thomas Tuchel kutupiwa virago.
Alhamisi wiki hii, klabu hiyo ya Ufaransa ilimtimua kocha wake na sasa ipo kwenye harakati za kusaka kocha mpya.
Leave a comment