Saturday , 27 April 2024
Home Kitengo Michezo Messi kukiputa PSG?
Michezo

Messi kukiputa PSG?

Mess
Spread the love

LEONEL Messi, mshambuliaji wa Klabu ya Barcelona na Argentina anawindwa. Inaripoti mitandao ya kimataifa…(endelea).

Mkufunzi wa zamani wa Klabu ya Tottenham  Hotspur ya Uingereza, Mauricio Pochettino anataka kumleta mshambuliaji huyo kwenye Klabu ya Paris St – German.

Pochettino ametoa kauli hiyo ili kuishawishi klabu hiyo kumtumia, baada ya aliyekuwa kocha wa klabu hiyo Thomas Tuchel kutupiwa virago.

Alhamisi wiki hii, klabu hiyo ya Ufaransa ilimtimua kocha wake na sasa ipo kwenye harakati za kusaka kocha mpya.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!