Kiungo wa kati wa zamani wa klabu ya Chelsea Frank Lampard, ameteuliwa kuwa kocha mpya wa klabu ya Everton kwa mkataba wa...
By Kelvin MwaipunguJanuary 31, 2022FEDHA kiasi cha Sh. 699,000, zinazodaiwa kutolewa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe mwaka 2020 kwa ajili ya kufadhili vitendo vya kigaidi,...
By Regina MkondeJanuary 31, 2022JESHI la Polisi limetoa ufafanuzi kuhusu utata wa tukio la kujinyonga hadi kufa kwa Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Polisi, Grayson Mahembe...
By Kelvin MwaipunguJanuary 31, 2022KUNDI la vijana nchini Nigeria, chini ya mwamvuli wa Bunge la Vijana wa Kaskazini, limetoa wito kwa mfanyabishara tajiri zaidi Afrika, Aliko...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2022MCHEZAJI wa Manchester United, Mason Greenwood amekamatwa kwa tuhuma za ubakaji na shambulio kutokana na taarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2022SHAHIDI wa 12 wa Jamhuri, Luteni Denis Urio, amedai mashtaka ya ugaidi yanayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, katika Mahakama...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2022LIGI kuu Tanzania Bara imendelea kushika kasi mara baada ya kupigwa michezo 13, huku timu 16 zikionekana kubanana na kwenye msimamo katika kuelekea...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2022ASKARI wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Luteni Denis Urio, amedai hakuamini kama Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, anaweza kufanya vitendo...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2022MWENYEKITI mpya wa chama cha upinzani nchini Tanzania-ACT Wazalendo, Juma Duni Haji maarufu Babu Duni amewashukuru wote waliomchagua kushika wadhifa huo. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJanuary 30, 2022WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu- Sera, Bunge na Uratibu nchini Tanzania, Balozi Pindi Chana amemtaka mkandarasi anayesimamia kazi ya ujenzi...
By Mwandishi WetuJanuary 30, 2022MAHAKAMA Kuu ya Tanzania imesogeza mbele kwa siku moja (sawa na saa 24) sherehe za Siku ya Sheria kutoka tarehe 1 Februari...
By Mwandishi WetuJanuary 30, 2022KIONGOZI wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amewaagiza viongozi wautumie 2022 kukiimarisha chama hicho kuanzia ngazi ya Kitaifa hadi mashinani. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...
By Mwandishi WetuJanuary 29, 2022KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema chama chake kimeteua watu wa kufuatilia utendaji wa wizara na taasisi za Serikali. Anaripoti...
By Regina MkondeJanuary 29, 2022WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amekabidhi tuzo kwa Walimu ambao wanafunzi wao wamefanya vizuri katika somo la Hisabati...
By Mwandishi WetuJanuary 29, 2022OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania, imevitaka vyama vya siasa kuanza kuboresha mifumo yao ya ndani ya demokrasia kabla...
By Mwandishi WetuJanuary 29, 2022KATIBU Mkuu wa Shuraa ya Maimamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, ameviomba vyama vya siasa vya upinzani nchini Tanzania viache tofauti zao...
By Mwandishi WetuJanuary 29, 2022NAIBU Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania, Sisty Nyahoza, amemuomba Kiongozi wa Kanisa la Uamsho la Moravian, Askofu Emmaus Mwamakula, akishauri Chama...
By Mwandishi WetuJanuary 29, 2022WAZIRI wa Mambo ya Ndani wa Tanzania, Hamad Masauni ameitisha kikao cha watendaji wakuu wa jeshi la Polisi nchini humo ili kupokea...
By Mwandishi WetuJanuary 29, 2022KIONGOZI wa Kanisa la Uamsho la Moravian, Askofu Emmaus Mwamakula, amekieleza Chama cha ACT-Wazalendo, kuwa hakiwezi kuingia kwenye uchaguzi bila ya kupatikana...
By Mwandishi WetuJanuary 29, 2022KIONGOZI wa Kanisa la Uamsho la Moravian, Askofu Emmaus Mwamakula, amewataka wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalumu wa Chama cha ACT-Wazalendo, wamchague mtu...
By Regina MkondeJanuary 29, 2022BAADHI ya wasomi kutoka Wilaya ya Ngorongoro, mkoani Arusha, wameiangukia Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, iitishe meza ya majadiliano kati ya wananchi...
By Gabriel MushiJanuary 29, 2022CHAMA cha ACT Wazalendo kimezindua mfumo wa usajili wa kisasa wa wanachama wa chama hicho uliopewa jina la ‘ACT Kiganjani’ wenye lengo...
By Mwandishi WetuJanuary 29, 2022SHIRIKA la Umeme nchini (TANESCO) limetangaza mgawo wa umeme kwa muda wa siku 10 kuanzia tarehe 1 hadi 10 Februari, mwaka huu...
By Mwandishi WetuJanuary 28, 2022WAJANE wa Marehemu Mzee Amir Mrisho, Aseline na Amina Mrisho wamesema ili haki yao ya kumiliki kiwanja namba 108 Port Access isipotee...
By Seleman MsuyaJanuary 28, 2022KIONGOZI wa Jopo la Mawakili wa Utetezi, Wakili Peter Kibatala, katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na...
By Regina MkondeJanuary 28, 2022Halmshauri Kuu ya Chama imepokea na kuthibitisha mapendekezo ya Kamati Kuu ya Chama juu wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa, Makamu Mwenyekiti...
By Gabriel MushiJanuary 28, 2022TAREHE 23 Januari, 2022 Waziri Mkuu Mstaafu Dk. Salim Ahmed Salim alitimiza miaka 80, leo nakuletea makala inayofafanua namna alivyombana pumzi aliyekuwa Rais...
By Gabriel MushiJanuary 28, 2022RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni amepinga uamuzi wa Askofu wa Kanisa la Uganda la kuwazuia wasichana wajawazito kurudi shuleni baada ya shule...
By Mwandishi WetuJanuary 28, 2022HALI ya afya ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ni tete na amelazwa katika chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu (ICU)....
By Mwandishi WetuJanuary 28, 2022SHAHIDI wa Jamhuri, katika kesi yenye mashtaka ya ugaidi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, Luteni Denis Urio, amedai mwanasiasa...
By Mwandishi WetuJanuary 28, 2022KIONGOZI mpya wa kijeshi wa Burkina Faso ameahidi kurejea kwa utaratibu wa kawaida wa kikatiba wakati hali itakapokuwa sawa. Anaripoti Mwandishi Wetu...
By Mwandishi WetuJanuary 28, 2022WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, ameagiza zawadi ya kidani cha Tanzanite aliyopewa mke wake Mama Mary Majaliwa na Mkoa wa Manyara kwa kushirikiana...
By Mwandishi WetuJanuary 28, 2022SHAHIDI wa 12 wa Jamhuri, Luteni Denis Urio, amedai Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, hakutaka kuzungumzia ugaidi kwenye mawasiliano ya simu, bali...
By Mwandishi WetuJanuary 28, 2022MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam, imewaamuru watu waliofika mahakamani hapo kusikiliza kesi ya uhujumu...
By Mwandishi WetuJanuary 28, 2022WATU wawili wamefariki dunia na wengine nane kujeruhiwa vibaya baada ya lori aina ya Scania kugonga watu waliokuwa wanavuka barabara ya Morogoro...
By Mwandishi WetuJanuary 28, 2022Kampuni ya Cosmos Properties ya jijini Dar es Salaam, ambayo ni mmiliki wa nyumba 50 katika jengo la Uhuru Heights iko matatani baada...
By Gabriel MushiJanuary 27, 2022Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Innocent Bashungwa amesema uhitaji wa kuwa na mipango miji...
By Mwandishi WetuJanuary 27, 2022ASKARI wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Luten Denis Urio, amedai hafahamu kosa na sababu za kukamatwa kwa Halfan Bwire Hassan,...
By Mwandishi WetuJanuary 27, 2022WAKURUGENZI wa Hospitali za Rufaa za Mikoa, Kanda Maalumu, Taifa pamoja na taasisi zilizo chini ya Wizara ya Afya, wametakiwa kusimamia vipaumbele...
By Danson KaijageJanuary 27, 2022MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam, imemuamuru Luteni Denis Urio, shahidi wa 12 Jamhuri, ajibu maswali...
By Mwandishi WetuJanuary 27, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan amesema baada ya ujenzi wa miundombinu ya elimu, kutoa vifaa vya kusomeshea, kujenga mazingira ya usomeshaji, ujenzi wa...
By Mwandishi WetuJanuary 27, 2022Mwanafunzi wa kidato cha sita katika Shule ya Skondari Benjamini Mkapa iliyopo jijini Dar es Salaam, Emmanuel Mzena amemwaga machozi baada ya...
By Mwandishi WetuJanuary 27, 2022WATOTO wa marehemu Mzee Amir Mrisho, wamepeleka maombi ya kuzuia mchakato wowote wa umilikishwaji wa Kiwanja namba 108 Port Access kilichopo wilayani...
By Seleman MsuyaJanuary 27, 2022RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni ameshutumu vikali mapinduzi yaliyotekelezwa nchini Burkina Faso dhidi ya serikali ya Rais wan chi hiyo, Roch Marc...
By Mwandishi WetuJanuary 27, 2022MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam, imeahirisha kwa muda kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti...
By Mwandishi WetuJanuary 27, 2022LUTENI Denis Urio, shahidi wa 12 wa Jamhuri, amedai Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, katika nyakati tofauti alimpatia Sh. 699,000, kwa ajili...
By Regina MkondeJanuary 27, 2022WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dk. Selemani Jafo amesema ushirikishwaji wa wadau katika ngazi zote na...
By Mwandishi WetuJanuary 27, 2022SERIKALI ya Tanzania imesema hadi kufikia tarehe 23 Januari, 2022 jumla ya Watanzania 33,000 wamethibitika kuwa na maambukizi na watu 781 wamepoteza...
By Mwandishi WetuJanuary 27, 2022BENKI ya Exim Tanzania imetangaza washindi wa promosheni yake inayojulikana kama “Weka Mkwanja tukutoe!” ambapo taasisi ya Work of Mary (Focolare Movement Tanzania)...
By Gabriel MushiJanuary 26, 2022KLABU ya soka ya Simba imejikuta kwenye wakati mgumu kufuatia kupoteza mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Kagera Sugar kwa...
By Mwandishi WetuJanuary 26, 2022