Tuesday , 21 May 2024

Month: January 2022

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Mimi ni chui jike

  LICHA ya kukaribishwa na wimbo wa simba jike katika uzinduzi wa Tamasha la utamaduni mkoa Kilimanjaro, Rais Samia Suluhu Hassan amesema yeye...

Habari za Siasa

Mafuvu ya machifu yaliyochukuliwa na wakoloni kurejeshwa

  SERIKALI kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Wizara ya Maliasili na Utalii inaendelea na majadiliano ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia awaomba Kilimanjaro kupunguza matayarisho ya mbege

  RAIS Samia Suluhu Hassan amewaomba wananchi wa mkoa huo kupunguza matayarisho ya kinywaji maarufu mkoani humo cha pombe aina ya mbege, ili...

Habari Mchanganyiko

KAGAIGAI: Mifugo 1,257 imekufa Kilimanjaro kwa ukame

  MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai amesema jumla ya mifugo 1,257 imekufa mkoani humo kwa kukosa maji na malisho kutokana na...

Habari Mchanganyiko

TANESCO: Tunaomba mtuvumilie

  SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limewaomba Watanzania kuwa wavumilivu katika kipindi hiki ambacho umeme unakatika kila mara kutokana na mvua na upepo...

Habari Mchanganyiko

Chembechembe za plastiki hatari kwa afya

  UTAFITI uliofanywa kuhusu chembechembe zitokanazo na plastiki zinazopatikana kwenye fukwe za bahari zimeonesha kuwa na kemikali za sumu ambayo inaweza kusababisha madhara...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi wa Jamhuri: Mbowe, wenzake sikuwakuta na mabomu, vilipuzi wala mafuta ya petroli

  MPELELEZI wa Makosa ya Jinai katika Kituo Kikuu cha Polisi Arusha, Goodluck Minja, amedai washtakiwa wawili katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema,...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia apinga uchaguzi wa Spika mahakamani

  MWENYEKITI wa Chama cha NCCR-Mageuzi James Mbatia amefungua Shauri namba 2 la Kikatiba la mwaka 2022 kuzuia uchaguzi wa Spika, akidai mchakato...

Michezo

10 wa kwanza kuchanja kuiona Simba, Mtibwa buree!

  WAKATI homa ya mtanange unaotarajiwa kupigwa kesho tarehe 22 Januari, 2022 kati ya Simba SC. na Mtibwa Sugar, mashabiki wa timu hizo...

Habari Mchanganyiko

Wachimba mchanga wasio na vibali waonywa

Serikali ya Mkoa wa Dar es salaam kupitia kikosi kazi cha kuratibu usafishaji wa mito mkoani humo kimeonya kuwa hakitosita kuwachukulia hatua za...

Makala & Uchambuzi

Uchaguzi Spika, tunajitekenya na kucheka

Ni rahisi kutumia sababu za kisheria kusema Tanzania kuna uchaguzi wa nafasi ya Spika wa Bunge. Lakini sio rahisi kueleweka katika utamaduni wa...

Habari Mchanganyiko

Dart kutumia mfumo mpya ‘mwendokasi,’ mikakati yatangazwa

  WAKALA wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) nchini Tanzania imeanzisha kutumia mfumo mpya wa ukataji wa tiketi wa kielektroniki ili kuhakikisha inazuia upotevu...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi wa Jamhuri aeleza walivyowazuia wenzake Mbowe kufanya ugaidi

  MPELELEZI wa Makosa ya Jinai katika Kituo Kikuu cha Polisi Arusha, Askari Polisi namba H4347 Goodluck, amedai Aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa...

HabariTangulizi

Rais Samia atuma salamu za pole kwa kaka’ke Dk. Mpango, mkewe Shigela

  Rais Samia Suluhu Hassan ametoa salamu za pole kwa Makamu wa Rais, Dk. Philip Mpango kufuatia kifo cha kaka yake Askofu Mstaafu...

Habari Mchanganyiko

TAMISEMI yamuweka meneja wa TARURA mtegoni

  NAIBU Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Dk. Festo Dugange amesema serikali itachukua hatua za kumsimamisha kazi Meneja wa TARURA Wilaya ya Karatu...

Habari

Jafo aagiza wanafunzi kupanda miti milioni 14

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Seleman Jafo amewaagiza maofisa mazingira nchini kuhakikisha wanafunzi wa shule za...

Habari

Halmashauri zatakiwa kuongeza ukusanyaji mapato kupunguza utegemezi

  SERIKALI imeziasa Halmashauri kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato ya ndani na kutenga asilimia 40 ya mapato yao kukamilisha miradi ya maendeleo...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua Kamishna mpya wa Kazi

RAIS Samia Suluhu Hassan leo tarehe 20 Januari, 2022 amemteua Suzan William Mkangwa kuwa Kamishna wa Kazi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma  … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Tulia kumrithi Ndugai, CCM yafyeka 69

  KAMATI Kuu ya chama tawala nchini Tanzania – Chama Cha Mapinduzi (CCM), imempitisha Dk. Tulia Ackson kuwa mgombea wa kiti cha Spika...

Habari za Siasa

Wanachama 11 kuchuana uchaguzi ACT-Wazalendo

  WANACHAMA 11 wa chama cha siasa cha upinzania, ACT-Wazalendo, wamechukua fomu kuomba nafasi za uongpzi, wawili wakiwania uenyekiti. Anaripoti Selemani Msuya, Dar...

Makala & Uchambuzi

MASUJIRO HASHIMOTO: Baba wa NISSAN aliyelelewa na Japan

Breviare ni kitabu maalum cha Kikristo kwa ajili ya sala za asubuhi, mchana na jioni pamoja na nyongeza ya vipindi vingine kwa nyakati...

Habari Mchanganyiko

KIMENUKA! Polisi watoa tamko trafki aliyenaswa tuhuma za rushwa

  JESHI la Polisi nchini limesema tayari uchunguzi umeanza dhidi ya picha zilizosambaa katika mitandao ya kijamii huku zikimuonesha askari wa usalama barabarani...

Habari za Siasa

Mahakama yatoa maagizo kesi ya kina Mbowe

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, iliyopo Mawasiliano jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, imeitaka Jamhuri kutimiza wajibu...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi atoa sababu kutopeleka sauti za kina Mbowe kortini

  MCHUNGUZI wa vifaa vya kidigitali wa Jeshi la Polisi Tanzania, Innocent Ndowo (37), amedai hajawasilisha mahakamani sauti za mawasiliano baina ya Mwenyekiti...

Habari za Siasa

Askofu Mwambapa: Spika ajaye aweke kipaumbele cha Katiba Mpya kwa Rais

HUKU mchakato wa kumpata spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ukiendelea, imeshauriwa kupatikana spika mwenye ujasiri wa kumshauri Rais Samia...

Habari za Siasa

Nyundo 10 za Askofu Bagonza ‘Spika wetu Vs Spika wao’

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), leo Alhamisi, tarehe 20 Januari 2022, kitatoa dira ya nani atakuwa Spika wa Bunge...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe amzungumzia shahidi aliyesoma ‘sms’ zake mahakamani

  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amesema hana ugomvi na shahidi wa Jamhuri, Innocent Mdowo (37), kwani ni...

Habari za Siasa

Mrithi wa Ndugai: Balozi Kagasheki amtumia ujumbe Rais Samia

  WAZIRI wa zamani wa maliasili na utalii nchini Tanzania, Balozi Khamis Kagasheki amemwomba Mwenyekiti wa chama tawala- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi wa Serikali adai hakuona kina Mbowe wakipanga uhalifu

  SHAHIDI wa Jamhuri, Innocent Ndowo (37) ameieleza Mahakama Kuu, Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi nchini Tanzania kuwa, uchunguzi alioufanya wa mawasiliano...

Michezo

Mapinduzi arejea uwanjani Yanga ikiibuka na ushindi

  KLABU ya Soka ya Yanga imeibuka na ushindi wa mabao 2-0, kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Mbuni FC ya mkoani Arusha...

Habari za SiasaTangulizi

Mrithi wa Ndugai: CCM yasogeza vikao mbele

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesogeza mbele vikao vyake kikiwamo cha kamati kuu kutoka jana Jumanne, tarehe 18 Januari...

Habari za SiasaTangulizi

Mawakili wa utetezi wamhoji shahidi kuhusu simu za akina-Mbowe

  UPANDE wa utetezi, katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, wamemhoji Mchunguzi wa Kitengo cha Uchunguzi...

Kimataifa

Wabunge Uingereza wamweka njiapanda waziri mkuu

WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson anakabiliwa na kitisho katika utawala wake baada ya wabunge kadhaa wa chama chake kupanga kuwasilisha barua za...

Habari Mchanganyiko

Vijiji 2,349 kufaidika na miradi ya TASAF

  IMEELEZWA kuwa miradi mbalimbali inayotekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF, inatarajiwa kutoa ajira kwa walengwa 195,000 ambao watalipwa jumla ya...

Michezo

Shabiki Simba ajinyonga, siku ya mchezo dhidi ya Mbeya city

  SHABIKI wa klabu ya Simba Khalfan Mwambena mwenye umri wa miaka 17, mkazi wa kata ya Kholobe mkoani Mbeya amekutwa amejinyonga muda...

Kimataifa

Hofu yatanda Simba kuambukizwa Corona Afrika Kusini

  SIMBA na Puma katika bustani ya wanyama ‘zoo’ nchini Afrika Kusini huenda wameambukizwa virusi vya corona kutoka kwa wahudumu wao. Anaripoti Mwandishi...

Elimu

Wizara ya Elimu Tanzania yatoa maagizo watoto wenye mahiyaji maalum

  WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania imewataka maafisa elimu maalum wa halmashauri kushirikiana na maafisa elimu kata na jamii ili...

Habari za Siasa

Ripoti – Viongozi hawapo karibu na wananchi

  IMEELEZWA kuwa asilimia kubwa ya viongozi wa ngazi mbalimbali nchini hawana utamaduni wa kuwa karibu na wananchi jambo linalowafanya washindwe kutambua mahitaji...

Habari

Ummy Mwalimu asisitiza utoaji huduma bora za afya

  WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amekutana na viongozi wa idara ya kinga na kufanya mapitio ya pamoja kuhusu mafanikio, changamoto na vipaumbele...

Habari za Siasa

Meseji za Mbowe akisaka makomandoo wa JWTZ zasomwa mahakamani

  JUMBE fupi za maneno (meseji), zinazodaiwa kuwa za Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na baadhi ya washtakiwa wenzake, katika kesi ya ugaidi...

Habari

Mke wa Sabaya apanda kizimbani kumtetea mme wake

  MKE wa mfungwa, Lengai ole Sabaya, aitwaye Jesca Nassari (28) ameieleza Mahakama kuwa namba ya simu 0758707171 inayodaiwa kuwa ya Sabaya, amekuwa...

HabariTangulizi

Adaiwa kujifanya polisi kwa miaka saba

  MKAZI wa Nyamanoro, Mkoa wa Tabora nchini Tanzania, Abdul Nassoro (49) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya mkoani humo kwa tuhuma za...

HabariTangulizi

Mrithi wa Ndugai: CCM kufyeka wagombea 67

  KAMATI Kuu ya chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kitakuwa na jukumu zito la kufyeka wagombea 67 kati ya 70...

Habari

Dk. Gwajima aitambulisha wizara yake, atamba itafanya vizuri

  WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imetambulishwa rasmi kwa jamii huku Waziri mwenye dhamana Dk. Dorothy Gwajima akijinadi...

Habari Mchanganyiko

Rose Muhando: Nataka mume mzungu mwenye pesa

  MSANII wa muziki wa Injili nchini, Rose muhando amefunguka kwamba mojawapo ya mambo anayotaka afanikiwe kwa mwaka huu ni kumpata mume mzungu...

Habari za Siasa

Profesa Tibaijuka: Rais Samia iangalie Kagera kwa jicho la huruma

  MWAKA 1961 tulipopata Uhuru wa Tanganyika (sasa Tanzania Bara), Kagera ulikuwa mkoa wa pili kwa maendeleo baada ya Kilimanjaro. Hivi sasa wakati...

Kimataifa

Ujumbe wa mwanawe Museveni kwa Uhuru waibua mjadala

  Mwanawe Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, Muhoozi Kainerugaba amemwandikia Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta ujumbe ulioibua mjadala mzito miongoni mwa mataifa hayo...

Michezo

Man U kwawaka moto, Martial amvaa kocha mpya

  Mshambuliaji wa mashetani wekundu, Anthony Martial amekanusha madai kuwa alikataa kujumuishwa kwenye kikosi cha Manchester United kilichocheza dhidi ya Aston Villa. Anaripoti...

Habari

Rais Samia ateua viongozi 2

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi wawili akiwemo Mcha Hassan Mcha kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya...

Habari Mchanganyiko

Kesi ya Mbowe: Shahidi aliyeugua ghafla kizimbani, anatoa ushahidi

  SHAHIDI wa kumi wa Januari, Innocent Ndowo (37) katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman...

error: Content is protected !!