Wednesday , 22 May 2024

Month: January 2022

Habari Mchanganyiko

Kisa mauaji: Dk. Mpango ampa siku saba IGP, ‘tumechoka’

  MAKAMU wa Rais, Dk. Philip Mpango ametoa siku saba kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini – IGP Simon Sirro kuwakamata watuhumiwa...

Habari za SiasaTangulizi

Askari JWTZ aeleza alivyomripoti Mbowe kwa DCI na ACP Kingai

  SHAHIDI wa 12 wa Jamhuri, katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, ASKARI wa Jeshi la...

Kimataifa

Tedros mgombea pekee, kuendelea kuongoza WHO

MKUU wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Tedros Adhanom Ghebreyesus ana uhakika wa kuiongoza taasisi hiyo kwa muhula wa pili baada ya kupigiwa...

Kimataifa

Waziri Mkuu Uingereza kikaangoni

Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson anajiandaa kubaki au kutoka ofisini baada ya kukamilika kwa matokeo ya uchunguzi wa sherehe zilizofanyika katika makazi...

Habari Mchanganyiko

Stendi ya daladala sabasaba kufumuliwa

  MKURUGENZI wa Jiji la Dodoma, Joseph Mafuru amesema wanatarajia kuifumua stendi ya daladala na soko la sabasaba iliyopo katikati ya jiji hilo...

Habari za Siasa

Makamu wa Rais akumbushia mapito Z’bar asema chama ni taasisi

  MAKAMU wa Kwanza wa Rais katika Serikali ya Mapinduzi – Zanzibar, Othamn Masoud Othman ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati kuu ya...

Habari Mchanganyiko

Mapya yaibuka mauaji Mfanyabiashara Mtwara

  SIRI dhidi ya mauaji ya mfanyabiashara wa madini, Mussa Khamisi, maarufu “Mussa Dola,” anayedaiwa kuporwa kiasi cha Sh.70 milioni na kisha kuuawa...

Habari za SiasaTangulizi

Kigogo JWTZ aeleza alivyofahamiana na Mbowe, alichohitaji

  OFISA wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Denis Urio, amedai Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, alimueleza anatafuta kampuni za...

Elimu

Majaliwa ajiapiza kwa Rais Samia

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema wasaidizi wote wa Rais Samia Suluhu Hassan wamejipanga kuhakikisha wanamsaidia kwa weledi wote, uaminifu ili...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Ofisa JWTZ apanda kizimbani

  LUTENI wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Dennis Urio (42), amepanda kizimbani kutoa ushahidi wake, katika kesi ya ugaidi...

Michezo

Azam wamkabidhi rungu rasmi Moallin

  KLABU ya Azam Fc inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara imemtangaza Abdihamid Moallin kuwa kocha mkuu wa kikosi hiko kwa mkataba wa miaka...

Michezo

Yanga, Mbao kukipiga Ccm Kirumba

  Mchezo wa mzunguko wa 32 wa michuano ya kombe la Shirikisho la Azam, kati ya Yanga dhidi ya Mbao Fc, sasa utapigwa...

Habari

Majawali awapa ujumbe wazazi, agusia gharama za kuunganisha umeme

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka wazazi wote washirikiane na walimu kuweka mazingira mazuri ya kitaaluma ili wahakikishe watoto wa Kitanzania...

Habari

Rais Samia aombwa kuingilia kati mgogoro wa ardhi Ngorongoro

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameombwa kuingilia kati mgogoro wa muda mrefu kati ya mamlaka za hifadhi, wahifadhi na wananchi, wilayani...

HabariTangulizi

Wamachinga wampa mapendekezo 5 Rais Samia, awajibu

  RAIS Samia Suluhu Hassan ameahidi kuyafanyia kazi mapendekezo matano, yaliyotolewa na wafanyabiashara wadogo nchini ‘wamachinga’, ili kuiboresha sekta hiyo. Anaripoti Regina Mkonde,...

Makala & Uchambuzi

Mfahamu Luteni Kanali Damiba aliyemgeuka Rais Kabore, alipewa cheo mwezi uliopita, Aweka historia kuwa Rais wa 10 kumpindua mtangulizi wake

  WAKATI Timu ya Taifa ya Burkina faso ikitinga hatua ya nane bora katika mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) huko...

HabariKimataifa

Jeshi latangaza kutwaa madaraka Burkina Faso

  Jeshi nchini Burkina Faso limetangaza kutwaa madaraka baada ya kufanya mapinduzi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea) Tangazo hilo la jeshi limetolewa kupitia...

Tangulizi

Polisi wataja chanzo mauaji ya mrembo aliyefia gesti Tabata

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linawashikilia watu wawili, kwa tuhuma za kuhusika katika mauaji ya Barke Pesa Rashid (30),...

HabariMichezo

8 wapoteza maisha mechi ya Cameroon vs Comoro

  Watu nane wameripotiwa kufariki na mamia kujeruhiwa katika msongamano uliotokea nje ya uwanja uliotumika katika kinyang’anyaro cha wenyeji Cameroon na Comoro waliofuzu...

HabariTangulizi

Majaliwa amfagilia Rais Samia, azungumzia wateja wapya wa umeme

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan amedhamiria kuendelea kuifungua Tanzania kwa kujenga barabara katika maeneo mbalimbali nchini...

HabariMichezoTangulizi

Mukoko atimkia Mazembe, Yanga yampa mkono wa kwaheri

  KIUNGO mkabaji Raia wa Jamhuri ya Congo, Mukoko Tonombe amekamilisha usajili wake na kijiunga na klabu ya Tp Mazembe ya nchini mwao,...

HabariMichezo

KMC waitangazia vita Ruvu shooting kombe la FA

  MARA baada ya kuvuna pointi nne kwenye michezo miwili ya Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Mbeya Kwanza na Tanzania Prison, kikosi...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi akwamisha kesi ya Mbowe

  KESI ya uhujumi uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, imeahirishwa hadi Jumatano, tarehe 26 Januari 2022, kutokana na shahidi...

AfrikaKimataifa

Gavana wa Benki Uganda afariki dunia

GAVANA wa Benki ya Uganda, Emmanuel Tumusiime-Mutebile amefariki dunia akiwa nchini Kenya alipokuwa akipatiwa matibabu katika hospitali ya Nairobi. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

Kimataifa

Rais Burkina Faso awekwa kizuizini

Rais wa Burkina Faso, Roch Marc Christian Kaboré amezuiliwa katika kambi ya jeshi nchini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kwa mujibu wa...

Habari Mchanganyiko

Wachimbaji wadogo watakiwa kuongezea madini thamani

  WACHIMBAJI wadogo wa madini nchini wametakiwa kufanya uchimbaji wa wenye tija na kuongeza thamani ya madini yao. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma …...

Habari za Siasa

Majaliwa atoa ujumbe kwa vijana, halmashauri

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka vijana wa Kitanzania wahakikishe wanajiwekea malengo ya kusoma kwa bidii ili kupata maarifa yatakayolisaidia Taifa...

AfrikaKimataifa

Ruto, Mudavadi waungana uchaguzi mkuu Kenya

Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto amethibitisha rasmi kuwa chama kipya cha UDA kitaingia katika ushirikiano na chama cha Musalia Mudavadi –...

Habari Mchanganyiko

Rais Mwinyi mgeni rasmi mkutano wa bima Z’bar

  RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi atahutubia mkutano mkubwa wa wadau wa bima kutoka ndani na nje ya nchi, wenye lengo...

Habari Mchanganyiko

TCRA yamshushia rungu Askofu Mwingira

  KAMATI ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imekifungia kipindi cha Efatha Ministries, kinachomilikiwa na Askofu Josephat Mwingira na kurushwa na...

Habari Mchanganyiko

Mahakama Kuu yaja na mwarobaini wa Mawakili makanjanja

  MAHAKAMA Kuu Tanzania imezindua mfumo wa kuratibu taarifa za mawakili kielektroni (e-wakili) wenye lengo la kudhibiti mawakili wasiotambulika kisheria ‘mawakili makanjanja au...

Kimataifa

Marekani yaagiza familia za wafanyakazi wa ubalozi kuondoka Ukraine

Wizara ya mambo ya nje ya Marekani imeziagiza familia za wanadiplomasia na wafanyakazi wasio wa dharura kwenye ubalozi wa Marekani mjini Kiev kuondoka...

Michezo

Wataalam 422 wapigwa msasa anwani za makazi

  KATIBU Mkuu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dk. Jim Yonazi amefunga mafunzo ya utekelezaji wa anwani za makazi...

Habari Mchanganyiko

Simulizi watano familia iliyouawa kikatili inasikitisha, RC, RPC wacharuka

  WATU watano katika kijiji cha Zanka Wilayani Bahi mkoani Dodoma wameuawa katika nyumba waliokuwa wakiishi kijiji hapo. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma …...

Habari za Siasa

Makinda awaangukia viongozi wa dini kuhamasisha sensa

  KAMISHNA wa Tume ya Sensa ya Watu na Makazi, Anne Makinda amewaomba viongozi wa dini kupitia Jumuiya ya Maridhiano kuwahamasisha Watanzania kushiriki...

Habari za SiasaTangulizi

Uchunguzi tukio la Lissu kupigwa risasi waibuka kesi ya Mbowe

  MPELELEZI wa Makosa ya Jinai, Goodluck Minja, amedai hafahamu kama ripoti ya uchunguzi wa tukio la aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema),...

HabariTangulizi

Majaliwa aipa MSD siku 14

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ametoa wiki mbili kwa Bohari ya Dawa (MSD) ihakikishe kuanzia leo Jumapili tarehe 23 hadi 5...

Habari Mchanganyiko

Usafi wa mazingira: Dodoma yawaonya wananchi

  UONGOZI wa la Dodoma nchini Tanzania, umesema hautasita kumchukulia hatua za kisheria mtu ambaye anakwamisha juhudi za maendeleo sambamba na utunzaji wa...

Michezo

Ambundo aipaisha Yanga kileleni, wavunja mwiko wa kutoapa ushindi ugenini dhidi ya Polisi Tanzania

  KLABU ya soka ya Yanga imefanikiwa kuondoka na pointi tatu, mara baada ya kuondoka na ushindi wa bao 1-0, kwenye mchezo wa...

Kimataifa

Ndugai mwingine ajiuzulu Ujerumani

  MKUU wa jeshi la wanamaji nchini Ujerumani, Kay-Achim Schoenbach amejiuzulu, kufuatia matamshi yake yenye utata kuhusu mzozo wa Ukraine. Inaripoti mitandao ya...

Habari

Baba mzazi wa DED Kiteto, Balozi Nchimbi afariki dunia

  JOHN Alphoso Nchimbi, baba mzazi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kiteto (DED), Mkoa wa Manyara, John Nchimbi amefariki dunia, katika Taasisi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda kizimbani Februari 3

  ALIYEKUWA Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, Paul Christian Makonda, sasa ameamriwa kufika mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama...

Habari

Dk. Salim afikisha miaka 80, marais Samin Ramaphosa wamtakia kheri

  MWANADIPLOMASIA mashuhuri nchini Tanzania, Dk. Salim Ahmed Salim leo Jumapili, tarehe 23 Januari 2022, ametimiza miaka 80 tangu alipozaliwa. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Michezo

Simba yabanwa mbavu na Mtibwa Sugar

WEKUNDU wa Misimbazi Simba leo tarehe 22, Januari 2022 wameshindwa kutamba mbele ya Mtibwa Sugar baada ya kutoka suluhu 0-0 katika mchezo uliopigwa...

Kitaifa

Waziri mkuu aongoza waombolezaji mazishi ya Askofu Mpango

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo tarehe 22 Januari 2022 ameongoza waombolezaji katika mazishi ya kaka wa Makamu wa Rais na Askofu Mstaafu wa...

Elimu

ANGUKO SOMO LA HISABATI; Serikali, wazazi wanasikitika, nani achukue hatua?

Kwa zaidi ya miaka kumi sasa somo la hisabati limekua changamoto kwa Taifa hususani kwa wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari kwani...

Siasa

ADC wampitisha Maimuna kumvaa Dk. Tulia nafasi ya Uspika

CHAMA Cha Alliance for Democratic Change (ADC) kimempitisha Maimuna Said Kassim kuwa mgombea nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi PURA waaswa kuongeza juhudi

  WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) wameaswa kuendelea kufanya kazi kwa juhudi na uadilifu ili kuiletea tija...

Habari Mchanganyiko

Bashe: Hakuna Mtanzania atakayekosa chakula

  SERIKALI imesema kuwa pamoja na kuwepo kwa mabadiko ya tabia ya nchi yaliyosababisha kukosekana kwa mvua za uhakika, nchi ina akiba ya...

Habari za Siasa

Kilimanjaro yatekeleza miradi lukuki kwa fedha za maendeleo

  MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai amesema mkoa huo umevunja rekodi kwa kupokea kiasi kikubwa cha fedha za maendeleo zilizotolewa na...

error: Content is protected !!