Saturday , 27 April 2024
Home Kitengo Michezo Yanga, Mbao kukipiga Ccm Kirumba
Michezo

Yanga, Mbao kukipiga Ccm Kirumba

Spread the love

 

Mchezo wa mzunguko wa 32 wa michuano ya kombe la Shirikisho la Azam, kati ya Yanga dhidi ya Mbao Fc, sasa utapigwa kwenye dimba la Ccm Kirumba Mwanza badala ya Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)

Mchezo huo ambao umepangwa kupigwa tarehe 29 Januari 2022, siku ya Juma Mosi majira ya saa 1o jioni, badala ya muda wa awali was aa 1 usiku.

Mchezo huo namba 79, umeamishiwa kwenye Uwanja wa Ccm Kirumba kufuatia Uwanja wa Benjamin Mkapa kuwa na shughuli nyingine siku ya tarehe hiyo.

Mara baada ya wenyeji wa mchezo huo klabu ya Yanga kujulishwa juu ya matumizi ya Uwanja huo siku ya Jumamosi, ndipo walipoamua kuupeleka mchezo huo jijini Mwanza ambapo kwa msimu huu hakuna timu yoyote ya Ligi Kuu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!