USHINDI wa bao 1-0, limewatosha kuifanya Yanga, kutinga hatua ya robo fainali ya michuano Kombe la Shirikisho (FA Cup) dhidi ya Tanzania...
By Kelvin MwaipunguApril 30, 2021NASHON Bidyanguze, Mbunge wa Kigoma Kusini (CCM), amehoji lini watumishi waliohamishiwa halmashauri ya Uvinza kutoka Kigoma Vijijini watalipwa stahiki zao. Anaripoti Jemima...
By Masalu ErastoApril 30, 2021ZAINABU Mohamed Jabir, mtumishi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), amekamatwa kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa ya...
By Mwandishi WetuApril 30, 2021SERIKALI ya Tanzania, imetenga Sh.7.15 bilioni, kwa ajili ya kutengeneza madawati 710,000 kwa mwaka wa fedha 2021/2022 yatakayotumika shule za msingi. Anaripoti...
By Masalu ErastoApril 30, 2021KLABU ya Simba imepangwa kucheza na Kaizer Chiefs kwenye hatua ya robo fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya...
By Kelvin MwaipunguApril 30, 2021MKUU wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Charles Mbuge, amewarejesha katika mafunzo, vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa kujitolea kwa...
By Danson KaijageApril 30, 2021SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limepanga droo ya hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho ambapo Orlando Pirates kutoka...
By Kelvin MwaipunguApril 30, 2021SAMIA Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, amesema atashirikiana na viongozi wa chama hicho, kupitia upya sera na miongozo...
By Kelvin MwaipunguApril 30, 2021DANIEL Chongolo, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, mkoani Dar es Salaam, amethibitishwa na Kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),...
By Mwandishi WetuApril 30, 2021MWENYEKITI mpya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amewataka viongozi na wanachama wa chama hicho, kutekeleza vyema Ilani ya Uchaguzi...
By Kelvin MwaipunguApril 30, 2021CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimepata pigo baada ya kuondokewa na wenyeviti wawili wa kanda na kurejea Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti...
By Regina MkondeApril 30, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, Serikali imepokea na itayafanyia kazi malalamiko ya wabunge juu ya utaratibu wa ukaguzi unaofanywa kwenye...
By Kelvin MwaipunguApril 30, 2021WAJUMBE wa Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamemchagua kwa asilimia 100, Rais Samia Suluhu Hassan, kuwa Mwenyekiti wa chama...
By Kelvin MwaipunguApril 30, 2021JUMLA ya wanachama wa 1,862 Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa chama hicho, wamehudhuria mkutano huo. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuApril 30, 2021MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Mzee Phillip Mangula, amewaomba wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalum wa chama hicho, kumchagua Rais...
By Kelvin MwaipunguApril 30, 2021WAKATI Taifa la India likizama katika maambukizi ya virusi ya corona (COVID-19), na kushika namba moja duniani, Serikali ya Tanzania imesisitiza wananchi...
By Mwandishi WetuApril 30, 2021KAIMU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rodrick Mpogolo, amesema aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, Hayati Dk. John Magufuli, amekiwezesha chama...
By Regina MkondeApril 30, 2021MANCHESTER United ya Uingereza, imetoa kipigo cha ‘mbwa koko’ cha 6-2 kwa As Roma ya Italia, katika mchezo wa nusu fainali ya...
By Mwandishi WetuApril 30, 2021FC Barecelona imejikuta ikipoteza pointi tatu muhimu, katika Uwanja wake wa nyumbani “Camp Nou” kwa kukubali kipigo cha 2-1 kutoka kwa Granada....
By Mwandishi WetuApril 30, 2021MABIGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba ya jijini Dar es Salaam, imemwongezea mkataba beki wake kisiki, Shomari Kapombe. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuApril 30, 2021HALMASHAURI Kuu ya chama tawala- Chama Cha Mapinduzi (CCM), nchini Tanzania, imempitisha kwa asilimia 100, mjumbe wa kamati kuu ambaye ni Rais,...
By Danson KaijageApril 29, 2021WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk. Damas Ndumbaro, ametengua uamuzi wa mtangulizi wake, Dk. Hamis Kigwangalla, wa kufuta umiliki wa kitalu cha...
By Mwandishi WetuApril 29, 2021IKIWA msimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara unaelekea mwishoni na klabu mbalimbali zimeanza kufanya mandalizi ya usajili, klabu ya Yanga ipo kwenye...
By Kelvin MwaipunguApril 29, 2021KANISA la Bikira Maria la Orthodox, lililopo Ngecha, Kiambu Kaskazini mwa Mji Mkuu wa Kenya, Nairobi limelalamika kuibiwa kengele yake ya shaba...
By Mwandishi WetuApril 29, 2021TAARIFA ya uchunguzi maalumu wa upotevu wa fedha kiasi cha Sh. 90 Bilioni, aliyonayo Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), inadaiwa...
By Mwandishi WetuApril 29, 2021BWAWA la Choma cha Nkola lipo katika Kijiji cha Choma, Kata ya Choma iliyopo Wilaya ya Igunga, Tabora lina uwezo wa kutunza...
By Masalu ErastoApril 29, 2021MBUNGE wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Msukuma amesema, Mkuu wa Mkoa wa Geita, Robert Gabriel na timu yake wamejilipa Sh.600 milioni, fedha...
By Mwandishi WetuApril 29, 2021SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kesho tarehe 30 Aprili 2021 itatangaza Uwanja utakaopigwa mchezo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa...
By Kelvin MwaipunguApril 29, 2021SERIKALI imetenga Sh. 500 Milioni kwa ajili ya ununuzi wa vifaa tiba katika Hospitali ya Busega, Simiyu. Anaripoti Jemima Samwel DMC …...
By Masalu ErastoApril 29, 2021SERIKALI imeeleza itatumia Dola za Marekani milioni 120 (Sh. 278.8 Bil), kwa ajili ya kutatua changamoto ya mafuriko yanayotokana na Bonde la...
By Regina MkondeApril 29, 2021IDADI kubwa ya vifo vinavyotokana na virusi vya corona (COVID – 19), nchini India, imesababisha uhaba wa magogo ya kuchomea watu. Inaripoti...
By Mwandishi WetuApril 29, 2021KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, imeshauri Mabaraza ya Kata yaunganishwe kwenye mfumo wa mahakama, ili kudhibiti mianya ya rushwa. Anaripoti...
By Mwandishi WetuApril 29, 2021SERIKALI ya Tanzania imesema, inaandaa muswada wa sheria ya uvunaji, utunzaji na upandikizaji wa viungo vya binadamu. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...
By Regina MkondeApril 29, 2021UONGOZI wa klabu ya Simba umemalizana na nahodha wa kikosi hiko John Bocco kwa kumsainisha mkataba mpya mara baada yaw a awali...
By Kelvin MwaipunguApril 28, 2021PROFESA Palamagamba Kabudi, Waziri wa Katiba na Sheria, amewataka Watanzania kutoingilia kati sakata la Masheikh 23 wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara...
By Mwandishi WetuApril 28, 2021Baada ya tetesi nyingi hatimaye klabu ya Simba imemuongezea mkataba beki wake wa kushoto Mohammed Hussen ‘Tshabalala’. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam...
By Kelvin MwaipunguApril 28, 2021KUFUATIA taarifa za beki wa kulia wa Simba, Shomary Kapombe kutaka kutimkia Yanga, baada ya mkataba wake kumalizika mwishoni mwa msimu uongozi...
By Kelvin MwaipunguApril 28, 2021SERIKALI ya Tanzania, imeokoa Sh.132.24 bilioni, baada ya kushinda kesi mbalimbali za ndani na nje ya nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...
By Mwandishi WetuApril 28, 2021WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amepiga marufuku utaratibu wa kuwauzia kadi za kliniki wajawazito....
By Mwandishi WetuApril 28, 2021BONNA Kamoli, Mbunge wa Segerea, jijini Dar es Salaam (CCM), ameihoji Serikali, lini itaongeza vituo vya afya katika jimbo hilo, ili kuondoa...
By Masalu ErastoApril 28, 2021SAFARI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kumpata mwenyekiti mpya wa chama hicho, imeanza rasmi jijini Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)....
By Mwandishi WetuApril 28, 2021WIZARA ya Maliasili na Utalii nchini Tanzania, imewahimiza wananchi walio karibu na hifadhi za wanyamapori, kutumia mbinu mbadala ili kuwadhibiti wasiingie kwenye...
By Masalu ErastoApril 28, 2021KIKOSI cha Namungo FC leo kitashuka dimbani kwenye mchezo wa kukamilisha hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Pyramids...
By Kelvin MwaipunguApril 28, 2021BAADA ya kutoka sare ya mabao 1-1, kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Chelsea,...
By Kelvin MwaipunguApril 28, 2021KIUNGO wa Simba, Clatous Chama amekuwa na msimu bora mpaka sasa kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuhusika katika mabao 20...
By Kelvin MwaipunguApril 28, 2021AIDA Khenani, Mbunge wa Nkasi Kaskazini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amehoji lini Serikali itapeleka fedha jimboni humo, kwa ajili...
By Mwandishi WetuApril 28, 2021SERIKALI ya Tanzania, chini ya Rais Samia Suluhu Hassani, imeanza kutekeleza ahadi zote zilizoachwa na mtangulizi wake, Hayati John Pombe Magufuli. Anaripoti...
By Mwandishi WetuApril 27, 2021SERIKALI imepanga kuendeleza ujenzi na matengenezo ya barabara nchini ikiwemo Moshi Vijijini, mkoani Kilimanjaro, kadri ya upatikanaji wa fedha. anaripoti Jemima Samwel...
By Mwandishi WetuApril 27, 2021KAMATI ya Kudumu ya Bunge, Viwanda, Biashara na Mazingira, limeonya uwezekano wa kutokea ukame nchini Tanzania, kufuatia kukithiri kwa vitendo vya ukataji...
By Regina MkondeApril 27, 2021SERIKALI ya Tanzania imesema, jitihada zinaendelea kufanyika ili kumaliza tatizo la wakimbizi nchini humo kwa kuwarejesha makwao kwa kushirikiana na Jumuiya za...
By Mwandishi WetuApril 27, 2021