Thursday , 30 March 2023
Home Kitengo Habari Kimataifa Vibaka waiba kengele ya kanisa yenye kilo 500
Kimataifa

Vibaka waiba kengele ya kanisa yenye kilo 500

Spread the love

 

KANISA la Bikira Maria la Orthodox, lililopo Ngecha, Kiambu Kaskazini mwa Mji Mkuu wa Kenya, Nairobi limelalamika kuibiwa kengele yake ya shaba yenye kilo 500. Inaripoti mitandao ya kimataifa … (endelea).

Kanisa hilo limeeleza kuomba watu kusaidia kutafuta kengele hiyo, na kwamba tayari taarifa ya upotevu huo imefikishwa polisi na katika vyombo vya habari nchini humo.

Mbali na kengele hiyo, kanisa hilo limelalamika kupoteza limepoteza chupa 10 za mvinyo, vifaa vya matangazo ya nje na vitu vingine hata kabla ya kuibiwa kwa kengele.

Hata hivyo, waumini wa kanisa hilo wamelalamika hatua ya serikali kuzuia mikusanyiko ya dini na kwamba, imesababisha wizi kuongezeka makanisani.

Kenya ni miongoni mwa nchi duniani zilizozuia mikusanyiko ya watu ikiwa ni pamoja na maeneo ya ibada kama hata za kuzuia kuenea kwa virusi vya corona (COVID-19).

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Nyumba ya babu yake Makamu wa Rais wa Marekani yatafutwa Zambia

Spread the love  KAMALA Harris, makamu wa rais wa Marekani, amepanga kutembelea...

Kimataifa

Benki ya Uswizi mbioni kuziwekea vikwazo akaunti za siri za Wachina

Spread the love  WAKATI Serikali na Benki ya Uswizi ikichukua hatua kali...

Kimataifa

Netanyau asitisha mipango yenye utata marekebisho mfumo wa sheria

Spread the love  WAZIRI Mkuu wa nchini Israel, Benjamin Netanyahu amesema atachelewesha...

Kimataifa

Raila ahutubia waandamanaji, mabomu yarindima

Spread the loveMSAFARA wa kiongozi wa Azimio la Umoja-One Kenya, Raila Odinga...

error: Content is protected !!