Saturday , 20 April 2024
Home Kitengo Michezo Simba yambakisha Tshabalala
Michezo

Simba yambakisha Tshabalala

Spread the love

Baada ya tetesi nyingi hatimaye klabu ya Simba imemuongezea mkataba beki wake wa kushoto Mohammed Hussen ‘Tshabalala’. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Taarifa kutoka kwenye ukurasa wao kwenye mtandao wa Kijamii wa Instagram wameweka picha ya mchezaji huyo akisaini mkataba mpya na kuandika kuwa “Bado yupo Sana.”

 

Hivi karibuni kulikuwa na taarifa za kuwa huwenda mchezaji huyo akatimkia upande wa pili wa mapinzani wao klabu ya Yanga mara baada ya mchezaji huyo mkataba wake kumalizika mwishoni mwa msimu huu.

Katika taarifa yao hiyo Simba haikueleza mchezaji huyo ameongeza mkataba katika kipindi cha muda gani wala kutaja thamani ya mkataba huo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Tusua mkwanja na mechi za Ijumaa leo

Spread the love  LEO hii mechi zinaendelea kote na wewe kama unataka...

Michezo

Piga pesa na mechi za EUROPA leo hii

Spread the love Hatimaye Alhamisi ya EUROPA imefika ambapo leo hii mechi...

Michezo

Leo ni leo nani kutinga nusu fainali UEFA?

Spread the love HATIMAYE Jumanne ya UEFA imefika ambapo leo hii michezo...

Michezo

Anza Jumatatu yako na Meridianbet

Spread the love  IKIWA ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi...

error: Content is protected !!