Saturday , 27 April 2024
Home Kitengo Michezo Orlando vs Raja Casablanca, Robo fainali Shirikisho CAF
Michezo

Orlando vs Raja Casablanca, Robo fainali Shirikisho CAF

Spread the love

 

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limepanga droo ya hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho ambapo Orlando Pirates kutoka Afrika Kusini itamenyana na Raja Casablanca kutoka Morocco, huku Enyimba ya Nigeria itaanzia ugenini dhidi ya Pyramids kutoka Misri. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Droo hiyo imechezeshwa Makao Makuu ya shirikisho hilo jijini Cairo, nchini Misri majira ya saa 9 jioni.

Michezo mingine itakuwa kati ya Coton Sport kutoka nchini Cameroon ambao watakuwa nyumbani dhidi ya ASC Jaraaf kutoka nchini Senegal.

Kwa upande wa CS Sfaxien kutoka nchini Tunisia wao watakuwa nyumbani kwenye mchezo wa kwanza dhidi ya JS Kabylie ya nchini Tunisia.

Michezo hiyo ya nusu fainali itaanza kuchezwa kuanzia tarehe 23 Mei 2021, na nusu fainali ya kwanza itapigwa tarehe 27 Juni, 2021

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!