Saturday , 25 March 2023
Home Kitengo Michezo Orlando vs Raja Casablanca, Robo fainali Shirikisho CAF
Michezo

Orlando vs Raja Casablanca, Robo fainali Shirikisho CAF

Spread the love

 

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limepanga droo ya hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho ambapo Orlando Pirates kutoka Afrika Kusini itamenyana na Raja Casablanca kutoka Morocco, huku Enyimba ya Nigeria itaanzia ugenini dhidi ya Pyramids kutoka Misri. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Droo hiyo imechezeshwa Makao Makuu ya shirikisho hilo jijini Cairo, nchini Misri majira ya saa 9 jioni.

Michezo mingine itakuwa kati ya Coton Sport kutoka nchini Cameroon ambao watakuwa nyumbani dhidi ya ASC Jaraaf kutoka nchini Senegal.

Kwa upande wa CS Sfaxien kutoka nchini Tunisia wao watakuwa nyumbani kwenye mchezo wa kwanza dhidi ya JS Kabylie ya nchini Tunisia.

Michezo hiyo ya nusu fainali itaanza kuchezwa kuanzia tarehe 23 Mei 2021, na nusu fainali ya kwanza itapigwa tarehe 27 Juni, 2021

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

Spread the loveUONGOZI wa klabu ya Yanga, umesema fedha zinazotolewa na Rais...

Michezo

Simba Sc. yamvulia kofia Rais Samia, yamuahidi makubwa dhidi ya Horoya

Spread the loveWAKATI timu ya Simba ikiibuka na ushindi wa bao 3-0...

Michezo

Taasisi ya TKO na TFF yawapiga msasa makocha wa kike 54

Spread the love WAKATI Soka la wasichana likichipua kwa kasi Taasisi ya...

Michezo

Kimwanga CUP yazidi kutimua vumbi

Spread the loveMASHINDANO ya mpira wa miguu ya Kimwanga CUP ya kuwania...

error: Content is protected !!