Tuesday , 30 April 2024

Month: February 2022

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa azungumzia kesi ya Mbowe

  ALIYEKUWA Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Dk Wilbrod Slaa amesema, anamwombea kwa Mwenyezi Mungu, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ili haki iweze...

Michezo

Kapombe, Inonga, Banda kuchuana

  MABEKI wa klabu ya Simba Shomary Kapombe na Henock Inonga sambamba na kiungo mshambuliaji wa klabu hiyo Peter Banda wamewekwa kwenye kinyang’anyiro...

Michezo

Nabi: Ni bahati kuwa na mchezaji kama Mayele

  KOCHA mkuu wa kikosi cha Yanga, Mohammed Nasredin Nabi hakusita kumwagia sifa mshambuliaji wake kiongozi, Fiston Mayele raia wa Jamhuri ya Congo...

Habari Mchanganyiko

Pinda ataka mjadala mchango wa Mwalimu Nyerere maendeleo ya Tanzania

  MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Taasisi ya Kumbukumbu ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, Mizengo Pinda, ameshauri liundwe jukwaa la...

Biashara

Wajasiriamali 825 wanaufaika na mkopo Morogoro

KATIKA kuunga mkono juhudi za wajasiriamali na kuhakikisha wanajikwamua kiuchumi na kujiongezea kipato, Halmashauri ya Morogoro imetoa mkopo wa Sh  milioni  340 kwa  ...

Habari Mchanganyiko

Vita Urusi-Ukraine: Tanzania yatangaza neema bei ya mafuta

  SERIKALI ya Tanzania imetangaza kuondoa tozo ya Sh.100 kwa lita ya mafuta ya Dizeli, Taa na Petroli zinazopaswa kulipwa na watumiaji wa...

Biashara

GGML yashinda tuzo ya usalama duniani kwa mwaka wa tatu mfululizo

KAMPUNI ya Uchimbaji madini ya dhahabu Geita (GGML) imetunukiwa tuzo ya Usalama ya Dunia ya 2021 kwa mwaka wa tatu mfululizo na kuifanya...

HabariMichezo

Poland yagoma kucheza na Urusi mchujo Kombe la Dunia

RAIS wa Chama cha Soka Poland, Cezary Kulesza amesema taifa hilo litakataa kuchuana na Urusi katika mechi ya mchujo ya kuwania Kombe la...

Kimataifa

Wanajeshi Urusi wakwaa kisiki Kiev

  WAKATI mapigano kati ya majeshi ya Urusi na Ukraine yakiingia siku ya nne, taarifa zinaeleza kwamba Urusi imekumbana na upinzani mkali ambao...

Habari Mchanganyiko

‘Mfalme Zumaridi’ atiwa mbaroni madai ya usafirisha haramu wa binadamu, unyonyaji

  JESHI la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia Dianna Edward Bundala maarufu kama ‘Mfalme Zumaridi’ kwa kosa la usafirishaji haramu wa binadamu na unyonyaji....

Afya

RC Malima anusa ubadhirifu ujenzi Hospitali ya Halmashauri Handeni

  MKUU wa Mkoa wa Tanga, Adam Malima amesema hajaridhishwa na kasi ya ujenzi wa Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Handeni na...

Afya

Tanga kujenga Kituo cha Mifupa

  MKUU wa Mkoa wa Tanga, Adam Malima amesema mkoa wake unakusudia kuanzisha kituo cha Mifupa (Orthopaedic Centre) kwa ajili ya watu wanaopata...

Kimataifa

240 wauawa Ukraine, 160,000 wakimbia

  WAKATI vita kati ya Urusi na Ukraine ikiendelea kwa siku ya nne mfululizo, Umoja wa Mataifa umetoa taarifa kuwa hadi sasa jumla...

Habari za Siasa

Rais Samia afanya uteuzi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Brigedia Jenerali, Yohana Mabongo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania...

Habari Mchanganyiko

ZIC yawahakikishia usalama wawekezaji Dubai

SHIRIKA la Bima Zanzibar (ZIC) limewakaribisha wawekezaji Visiwani Zanzibar kuwekeza kwa kuwahakikishia usalama wa uwekezaji na mali zao wakati wote wakiwepo Visiwani humo....

HabariMichezo

Yanga kusaka pointi 35 za Ubingwa

  UONGOZI wa klabu ya Soka ya Yanga umesema kuwa, katika mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara wanahitaji pointi 35 tu,...

HabariMichezo

Pablo aimaliza Berkane, awapa maagizo maalumu wachezaji

  NI kama swala la muda tu kikosi cha klabu ya Soimba kushuka dimbani kwenye mchezo wa kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi...

Afya

Serikali yatoa tahadhari mlipuko ugonjwa wa Polio

  SERIKALI ya Tanzania, imewataka wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya mlipuko wa ugonjwa Polio, ulioibuka hivi karibu katika nchi jirani ya Malawi. Anaripoti...

Kimataifa

Rais Biden amteua mwanamke ‘muafrika’ kuwa jaji wa mahakama ya juu

RAIS wa Marekani, Joe Biden amemteua mwanamke wa kwanza mweusi kuwa jaji wa Mahakama ya Juu kabisa nchini humo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa...

Kimataifa

Rais Ukraine akataa ofa ya Marekani, ni ya kuikacha nchi yake

  WAKATI vita kati ya Urusi na Ukraine ikizidi kushika kasi kwa siku ya tatu mfululizo, imeelezwa kuwa Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky...

Habari za Siasa

DPP amfutia kesi ya ugaidi kigogo wa ACT-Wazalendo

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Tanga, imemuachia kwa masharti Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ahmed Kidege na wenzake wawili, baada ya Mkurugenzi wa...

Kimataifa

Biden aimwagia Ukraine matrilioni kuendelea na vita

  RAIS wa Marekani, Joe Biden ametia saini mkataba wa kutoa fedha kiasi cha Dola za Marekani milioni 600 (sawa na Sh trilioni...

Kimataifa

Urusi watinga Mji Mkuu Ukraine, wananchi wakabidhiwa silaha

  WAKATI leo tarehe 26 Februari, 2022 ikiwa ni siku ya tatu tangu kuibua kwa vita kati ya mataifa Ukraine na Urusi, imeelezwa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yazindua ‘Join the Chain,’ Lissu aeleza malengo

  CHAMA kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, kimezindua program maalum iitwayo ‘Join the Chain’ yenye lengo la kukusanya fedha za ujenzi...

Habari Mchanganyiko

Mfumo ETS wa TRA waonesha mafanikio ukusanyaji mapato

  MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema, tangu kuanza kwa matumizi ya Mfumo wa Stempu za Kodi za Kielektroniki (ETS) umeonesha mafanikio makubwa...

Habari Mchanganyiko

Viongozi wa dini Mwanza wataka sheria kali kuwalinda Albino

  KAMATI ya Amani ya Viongozi wa Dini Mkoa wa Mwanza, imeiomba Serikali iweke sheria kali na sera za kuwalinda watu wenye ulemavu...

Kimataifa

Ukraine yadai imetengwa vita dhidi ya Urusi, ICC kuingilia kati 

  RAIS wa Ukraine, Volodomyr Zelenskky, amesema dunia imewaacha peke yake katika mapambano ya kivita dhidi ya Urusi. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa …(endelea)....

Habari Mchanganyiko

THRDC yapigwa jeki shughuli za utetezi wa haki za binadamu

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Bunadamu Tanzania (THRDC), umepewa msaada wa fedha kiasi cha Sh. 90 milioni na Shirika la International...

Habari za Siasa

Tanzania kushirikiana nchi zingine kudumisha amani

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Tanzania itaendelea kushirikiana na mataifa mengine ili kuhakikisha amani, ushirikiano, ustawi wa kijamii...

Habari Mchanganyiko

Waziri Bashe akaribisha wawekezaji wa kilimo

WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amesema kuwa Tanzania ipo tayari kushirikiana na kampuni kubwa duniani kuwekeza kwenye kilimo ili kukiongezea thamani na kuhakikisha...

Habari za Siasa

Dk. Kikwete ataka sera zinazotabirika uwekezaji sekta ya madini

  RAIS wa Awamu ya Nne Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete, ameishauri Serikali iwe na sera zinazotabirika katika usimamizi wa sekta ya madini, ili...

Kimataifa

Urusi yaivamia Ukraine

  NCHI ya Urusi, imeanzisha rasmi mapigano ya kijeshi katika mikoa ya mashariki ya Ukraine, baada ya Rais wake, Vladimir Putin kutangaza operesheni...

Michezo

Yanga yajikita kileleni, yaibamiza Mtibwa Manungu

  KLABU ya Soka ya Yanga imeendelea kujichimbia kileleni mara baada ya kuibuka na alama tatu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara...

Tangulizi

Balozi Mbarouk amuaga balozi wa Vatican

NAIBU Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amekutana na kumuaga Balozi wa Vatican nchini, Askofu...

BiasharaHabari Mchanganyiko

GGML wamwaga Sh milioni 90 mkutano wa madini

KAMPUNI ya uchimbaji wa madini ya dhahabu mkoani Geita (GGML) imetoa msaada wa Sh milioni 90 kudhamini Mkutano wa nne wa Uwekezaji wa...

Habari

Rais Samia ataja kazi tatu Shule ya Uongozi ya Mwalimu Nyerere, ‘viongozi wanayumbayumba kuleta maendeleo’

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema uanzishwaji wa Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere itakwenda kujibu...

Habari

Kigogo Chadema aliyefutiwa kesi atakiwa kuripoti Polisi Machi 9

  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limemuachia kwa dhamana Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Chadema, Hashim Issa Juma, aliyekamatwa...

Habari

Majaliwa aelezea sekta ya madini inavyoimarika

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema sekta ya madini imeendelea kukua kwa kasi na kuwa na mchango mkubwa kwa maendeleo ya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

TANESCO kuvuna bilioni 5 mapato ya mwezi kutoka GGML

KUKAMILIKA kwa mradi wa kupeleka umeme kwenye Kampuni ya uchimbaji madini ya dhahabu ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kunatarajiwa kutaliwezesha Shirika la...

Tangulizi

Kigogo Chadema afutiwa kesi, akamatwa tena

  MWENYEKITI wa Baraza la Wazee la chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Hashim Issa Juma, amekamatwa na Jeshi la Polisi,...

Tangulizi

Ajira ni janga la kidunia, nini kifanyike?

  NI dhahiri sasa kuwa ajira ni tatizo la kidunia. Hakuna ubishi sasa hili ni janga. Nchi zote ulimwenguni zinajaribu kukabiliana na janga...

Habari Mchanganyiko

TCRA yatangaza kiama waotuma ‘sms’ kujiunga Freemason

  MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema, inafuatilia wale wote ambao wamekuwa wakituma ujumbe mfupi wa maandishi ‘sms’ wa kuwashawishi watu kujiunga na...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Niwemugizi ampa mitihani sita Rais Samia, alia na mauaji

  ASKOFU wa Jimbo Katoliki la Rulenge-Ngara mkoani Kagera, Severine Niwemugizi amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kushughulikia changamoto sita zinazoikabili wilaya hiyo hususani...

Habari za SiasaTangulizi

Niwemugizi: Rais Samia usikubali kulinganishwa na Mungu, ‘kazi yetu kukosoa, kuonya

  ASKOFU wa Jimbo Katoliki la Rulenge-Ngara mkoani Kagera, Severine Niwemugizi amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan asikubali kamwe kulinganishwa na Mungu kwa namna...

Michezo

Kibwana, Djuma Shaban tayari kuikabili Mtibwa

  WALINZI wa pembeni wa klabu ya Yanga, Djuma Shabani na Kibwana Shomari watakuwa sehemu ya kikosi cha Yanga kitakachoshuka dimba ni kwenye...

Afya

Oasis yataja muarobaini tatizo la usugu wa dawa

WANANCHI wametakiwa kutumia vipimo maalumu vinavyoonesha ugonjwa na aina ya matibabu yake sahihi, ili kuepukana na tatizo la usugu wa dawa. Anaripoti Regina...

Habari Mchanganyiko

Sh milioni 59 kukarabati madarasa sita Chamwino

JUMLA ya Sh milioni 59 zinatarajiwa kutumika kukarabati madarasa sita katika Shule ya Msingi Chamwino (A) iliyopo katika Kata ya Chamwino jijini Dodoma....

Habari za SiasaTangulizi

Balozi Kagasheki ampa heko Rais Samia, amtaja Magufuli

KADA mkongwe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan...

Habari MchanganyikoKimataifa

Malkia Elizabeth, mwanaye, mkwewe wapata Corona

LICHA ya kupata chanjo tatu za kudhibiti maambukizi ya virusi vya Corona, janga hilo limebisha hodi katika familia ya Malkia Elizabeth wa Uingereza...

error: Content is protected !!