Tuesday , 21 May 2024

Month: February 2022

Habari Mchanganyiko

Mitaa 222 Dodoma kuboreshwa kwa anuani za makazi

  KATIKA uboreshaji na urahisishaji wa huduma katika jiji la Dodoma jumla ya mitaa 222 iliyopo ndani ya kata 41 za halmashauri ya...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Jamhuri yafunga ushahidi

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, jijini Dar es Salaam, imefunga kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa...

Biashara

Benki ya Exim yakabidhi zawadi ya gari kwa mshindi wa kampeni ya ‘Weka Mkwanja tukutoe’

BENKI ya Exim imekabidhi gari aina ya Toyota Vanguard kwa taasisi ya Work of Mary (Focolare Movement Tanzania) ya mkoani Iringa iliyoibuka mshindi...

Habari za Siasa

Shahidi azungumzia madai ya Mbowe kukimbia upelelezi, kufikisha malalamiko kwa Rais

  SHAHIDI wa 13 wa Jamhuri, katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, Tumaini Swila, amedai hakusikia...

Michezo

Madrid, PSG vitani UEFA leo

  HATUA ya 16 ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya itaendelea hii leo kwa kupigwa michezo miwili, ambapo Real Madrid itakuwa...

Afya

Hospitali ya Mkapa yapandikiza figo wagonjwa 26

  HOSPITALI ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma nchini Tanzania, imefanikiwa kupandikiza figo wagonjwa 26 kuanzia tarehe 22 Machi 2018 kutoka mikoa mbalimbali nchini...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi: Mbowe alikuwa na nia ovu, hakumtafuta mlinzi wake Polisi

  MPELELEZI wa kesi ya uhujumu uchumi namba 16/2021, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, Inspekta Tumaini Swila, amedai mwanasiasa...

Habari Mchanganyiko

Ajinyonga Siku ya Wapendanao

  WAKATI watu duniani wakiadhimisha Siku ya Wapendanao jana Jumatatu, tarehe 14 Februari 2022, Wille Mwakapimba mkazi wa Mpanda Hotel mjini Mpanda mkoani...

Habari za Siasa

Makada CCM wazodoana msibani

  MSIBA wa kada maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, Shambe Sagafu, umegeuka jukwaa la wanasiasa kukosoana huku...

HabariMichezo

Wawili Yanga, kuikosa Biashara United leo

  KLABU ya Soka ya Yanga hii leo itashuka dimbani kwenye mchezo wa hatua ya 16 bora dhidi ya Biashara United kutoka mkoani...

Habari za Siasa

Mahakama yatoa maamuzi madai ya kina Mbowe kunyimwa chakula miezi mitano

MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam, imetoa maamuzi juu ya madai yaliyotolewa na Mwenyekiti wa Chadema,...

Habari za Siasa

Mpelelezi adai Mbowe alitoa fedha nyingine kufadhili ugaidi

MPELELEZI Msaidizi, wa kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, Inspekta Tumaini Swila, amedai kuna fedha ambazo mwanasiasa...

Habari Mchanganyiko

Fidia Kimara- Kibamba yatinga kwa mwanasheria mkuu

SERIKALI ya Tanzania imesema Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali itakapotafsiri sheria ya barabara ya mwaka 1932 pamoja na Kanuni zake za mwaka...

Habari za Siasa

Tanzania yafungua ubalozi mdogo Congo

SERIKALI ya Tanzania imefungua ubalozi mdogo (Konseli Kuu) katika Jiji la Lubumbashi, Jimbo la Haut Katanga, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Ofisi za...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, wenzake wanyimwa chakula miezi 5

  KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania-Chadema, Freeman Mbowe ameibuka malalamiko mahakamani ya kunyimwa chakula kwa zaidi ya miezi mitano kila...

Habari za Siasa

Spika Tulia, Waziri Nape kujadili Bunge ‘live’

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson amesema, atazungumza na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye ili...

Habari za Siasa

Matibabu ya Prof Jay: Serikali, Chadema ‘wachuana’

  WAKATI hali ya kiafya ya aliyekuwa Mbunge wa Mikumi, mkoani Morogoro, Joseph Haule maarufu ‘Profesa Jay’ haijaimarika, Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe waandika barua hospitali aliyotibiwa shahidi, wajibiwa

  PETER Kibatala, Kiongozi wa Jopo la Mawakili wa Utetezi, katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu,...

Habari za SiasaTangulizi

#LIVE: Spika Tulia anazungumza na waandishi

  LEO Jumatatu, tarehe 14 Februari 2022, Spika wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson anazungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa...

Michezo

Ushindi waiibua Simba, yawatupia kijembe watani zao

  UONGOZI wa timu ya Simba ya jijini Dar es Salaam nchini Tanzania imewashukuru mashabiki kwa kuchagiza ushindi wa 3-1 wa dhidi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe atoa salamu za Valentine

  LEO Jumatatu tarehe 14 Februari 2022 ni siku ya wapendao ‘Valentine Day’ na ndani ya chumba cha Mahakama Kuu, Divisheni ya Rushwa...

HabariMichezo

Simba ya kimtaifa hatarii, yaibamiza ASEC mabao matatu

  KLABU ya soka ya Simba imeanza vizuri kampeni yake kwenye michuano ya kombe la Shirikisho Barani Afrika, kufuatia kuibuka na ushindi wa...

Habari Mchanganyiko

Serikali yatangaza kiama wafanyabiashara wanaopandisha bei bidhaa

SERIKALI imebaini kuwa baadhi ya wafanyabiashara wamepandisha gharama za bidhaa mbalimbali mara tatu ya bei halisi. Pia imebaini kuwa kuna baadhi ya wafanyabiashara...

Habari za Siasa

Msigwa: Hakuna aliyeupinga, kufuta ujenzi bandari Bagamoyo

MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema hakuna aliyewahi kuupinga wala kuufuta ujenzi wa bandari ya Bagamoyo chini ya mradi wa Ukanda Maalumu...

Habari Mchanganyiko

Soko la Mbagala laungua moto

  SOKO la wafanyabiashara wadogo wadogo ‘Wamachinga’ lililopo Mbagala Rangi Tatu jijini Dar es salaam limeungua kwa moto usiku wa kuamkia leo asubuhi...

Kimataifa

BOJI: mbwa mwenye maringo, hutumia usafiri wa umma kwenda matembezini

MBWA mmoja aliyepatiwa jina Boji, anapenda kutumia mabasi ya umma, treni na boti kusafiri katika jijini la Istanbul, Uturuki. Licha ya kwamba hakuna...

Habari Mchanganyiko

Milima, mabonde miaka 15 ya Kampuni ya GF

  WAKATI Watanzania wakisherehekea miaka 60 ya Uhuru tarehe 9 Desemba 2021, siku ambayo Bendera ya mkoloni ilishushwa na kupandishwa ya Tanganyika katika...

Michezo

Chelsea yashinda kombe la klabu bingwa duniani

  CHELSEA imeshinda kombe la klabu bingwa duniani jana tarehe 12 Februari, 2022 baada ya kuibuka na ushindi wa bao 2-1 dhidi ya...

Habari

Prof. Ndalichako, Pinda wawafunda vijana

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Prof. Joyce Ndalichako amesema vijana ni...

Habari za SiasaTangulizi

Majaliwa atoa maagizo mazito TARURA

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewaagiza wahandisi wa Wakala wa Barabara Vijijini (TARURA) kusimamia miradi kwa weledi, uadilifu na uaminifu huku wakizingatia ubunifu...

Habari

Hii hapa orodha ya vijana 470 waliochaguliwa kujiunga na Idara ya Uhamiaji Tanzania

  KAMISHNA Jenerali wa Uhamiaji Tanzania, CGI Dk. Anna Makakala amewatangazia vijana ambao wamechaguliwa kujiunga na Idara ya Uhamiaji kwa cheo cha Konstebo...

HabariTangulizi

Dk. Mpango awatwisha zigo mawaziri 5 uharibifu Bonde la Ihefu

  MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango amewaagiza mawaziri watano kuelekea katika Bonde la Ihefu na kufanya tathmini ya uharibifu wa mazingira katika...

Habari Mchanganyiko

Waziri Ummy akabidhi taulo za kike kampeni ya ‘Binti Ng’ara’

  WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu ametoa msaada wa taulo za kike paketi 1000 kwa Shirika lisilo la Kiserikali la Victoria Foundation kwa...

Habari za Siasa

Prof. Lipumba: Nafasi yangu iko wazi 

  MWENYEKITI  wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa. Ibrahim Lipumba, amesema nafasi yake iko wazi kwa yeyote atakayetaka kugombea kwenye uchaguzi wa chama...

HabariTangulizi

Prof. Lipumba awaangukia aliowakwaza mgogoro wake na Maalim Seif

  MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa  Ibrahim Lipumba amewaomba radhi watu aliowakwaza katika mgogoro wake na aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama...

HabariHabari Mchanganyiko

NGO’s 20 zajitosa sakata la Ngorongoro, zaomba uwazi, tume huru

  MASHIRIKA yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), 20 zinazojishughulisha na masuala ya utetezi wa haki za binadamu, yameomba mgogoro wa ardhi katika Hifadhi ya...

HabariMichezo

TFF yawalima faini Manara, Bumbuli

MAAFISA kutoka Idara ya Habari na mawasilinao ya klabu ya Yanga, Hassan Bumbuli na Haji Manara wametozwa faini ya shilingi 500,000 na kamati...

HabariMichezo

Beki Yanga afungiwa mechi tatu na Faini

  BEKI wa kati wa klabu ya Yanga, Dikson Job amefungiwa michezo mitatu na kupigwa faini ya shilingi 500,000 kufuatia kumkanyaga kwa makusudi...

HabariMichezo

Beki wa zamani wa Yanga, Taifa Stars afariki Dunia, kuzikwa kesho

  MLINZI wa zamani wa klabu ya Yanga na timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” Ally Mtoni maarufu kama Sonso amefariki Dunia...

HabariTangulizi

Zungu apitishwa bungeni kwa 98.35%, atoa ujumbe Uchaguzi 2025

  NAIBU Spika wa Bunge, Mussa Azan Zungu, amewaeleza wabunge kuwa Uchaguzi Mkuu wa 2025, uko mbioni hivyo washirikiane kutekeleza miradi ya Serikali....

BurudikaHabari

Harmonize kuwakutanisha jukwaa moja wasanii 50 wa Afrika Mashariki Dar

  WASANII zaidi ya 50 kutoka Afrika Mashariki wanatarajiwa kupanda jukwaa moja kwenye tamasha la ‘Afro East Carnival’ litakalofanyika Uwanja wa Tabata Shule,...

BurudikaTangulizi

Rais Samia: Serikali itagharamikia matibabu ya Profesa Jay

  Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, kuanzia sasa Serikali itagharamia matibabu yote anayopata aliyekuwa Mbunge wa Mikumi (Chadema), Joseph Haule maarufu...

Habari za Siasa

Bunge lataka muongozo usafishaji mito

  BUNGE la Tanzania, limeishauri Serikali, kuandaa muongozo wa kitaifa wa usimamizi wa usafishaji mito, ili kutunza mazingira. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Ushauri...

Tangulizi

Spika Tulia awapa kipimo cha mavazi wabunge

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson amewakumbusha wabunge kuzingatia uvaaji wa mavazi yanayoruhusiwa kikanuni na kuwa tayari kwa jambo lolote...

Habari za Siasa

Zungu atumia kanuni za Bunge kuomba kura

  MBUNGE wa Ilala (CCM), Mussa Azan Zungu, ametumia Kanuni za Bunge toleo la 2020, kuomba wabunge wamchague katika kiti cha U-Naibu Spika....

Michezo

Simba: malalamiko ya Yanga hayana tija

   MARA baaada ya klabu ya soka ya Yanga hivi karibuni kutoa malalamiko yao kuhusu mwenendo wa waamuzi kwenye baadhi ya michezo ya...

Habari

JOWUTA, MCT wapongeza Serikali kufungulia magazeti

  CHAMA cha Wafanyakazi wa Vyombo vya Habari Tanzania (JOWUTA) na Baraza la Habari Tanzania (MCT), wamepongeza Serikali ya nchi hiyo, kuyafungulia magazeti...

Habari

Profesa Kitila ashauri mfumo wa elimu ufumuliwe

  MBUNGE wa Ubungo jijini Dar es Salaam kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Profesa Kitila Mkumbo ameshauri kupitiwa na kupangwa upya kwa mfumo...

HabariMichezo

Simba waiwekea mipango mizito ASEC

  KUELEKEA mchezo wa hatua ya makundi wa michuano ya kombe la Shirikisho Afrika, klabu ya Simba imeonekana kuzamilia kufanya vizuri kwenye michezo...

HabariTangulizi

Rais AfDB azuru kaburi la Hayati Magufuli

RAIS wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Daktari Akinwumi Adesina, amezuru katika kaburi la aliyekuwa Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tano,...

error: Content is protected !!