LEO Jumatatu, tarehe 14 Februari 2022, Spika wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson anazungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Pius Msekwa, jijini Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).
Amesema, baada ya kuchaguliwa kushika wadhifa hau, alipokea maombi mbalimbali ya kufanya naye mahojiano hivyo akalazimika kuitisha mkutano huo na waandishi ili kujadiliana masuala mbalimbali.
Spika Tulia amewaomba waandishi kuuliza maswali mbalimbali wanayoyataka kwa ajili ya ufafanuzi.
Leave a comment