RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametangaza kutengua uteuzi wa wakurugenzi wanne wa halmashauri (DED) ya Buchosha (Mwanza), Iringa, Mbeya na Singida...
By Mwandishi WetuFebruary 4, 2022WAKILI maarufu Alute Mughwai Lissu, kaka wa kiongozi wa chama cha siasa cha upinzani Tanzania cha Chadema, Tundu Lissu ametambulishwa mahakamani kama...
By Mwandishi WetuFebruary 4, 2022BAADHI ya vigogo na wanachama wa Chama cha ACT-Wazalendo, wanaodaiwa kutoridhika na mchakato wa uchaguzi wa mwenyekiti wa chama hicho, wako mbioni...
By Regina MkondeFebruary 4, 2022WIZARA ya Maliasili na Utalii nchini Tanzania, imezindua mpango wa miaka 10 wa kumuezi Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere. Anaripoti...
By Danson KaijageFebruary 3, 2022BUNGE la Tanzania limetanganza mchakato wa kujanza nafasi ya naibu spika wa Bunge ambapo uchaguzi wake utafanyika tarehe 11 Februari 2022. Anaripoti...
By Mwandishi WetuFebruary 3, 2022TABIA ya baadhi ya wanawake wafanyabiashara ya kujiuza maarufu kama nzige au madanga, kwa malipo ya mpunga, imelalamikiwa na wakazi wa kata...
By Mwandishi WetuFebruary 3, 2022TAASISI ya Women and Youth Voice Foundation, imeanzisha program ya kutoa elimu kuhusu sheria na ukatili wa kijinsi kwa wanafunzi wa shule...
By Seleman MsuyaFebruary 3, 2022SERIKALI ya Tanzania, imeziagiza kamati za kutokomeza ukatili wa kijinsia zishirikiane na vyombo vya dola, kutokomeza mauaji yanayosababishwa na migogoro ya kifamilia....
By Mwandishi WetuFebruary 3, 2022MWANAHABARI mkongwe nchini Tanzania, Saed Kubenea, anakusudia kuiomba Mahakama ya Kinondoni, itoe wito mpya kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es...
By Mwandishi WetuFebruary 3, 2022JESHI la Polisi Mkoa wa Kigoma, linawashikilia watu sita wakituhumiwa kuhusika na matukio saba ya mauaji yaliyotokea katika nyakati tofauti mkoani humo. Anaripoti...
By Gabriel MushiFebruary 2, 2022HELMAN John, anadaiwa kumuuwa kwa kumpiga na mpini wa jembe mama yake, Celina William, akimdai fedha kiasi cha Sh. 300,000. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Gabriel MushiFebruary 2, 2022MWANAJESHI wa Zambia amepandishwa cheo cha kijeshi kwa kumsaidia mwanamke mjamzito kujifungua mtoto katika shamba la mahindi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Mwanajeshi...
By Gabriel MushiFebruary 2, 2022WIZARA ya Nishati imesema baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuagiza mgawo wa umeme usiwe mkali, wizara ilikaa na watalaam wake na kupata...
By Mwandishi WetuFebruary 2, 2022MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM) amefichua kuwa moja ya sababu iliyochelewesha Bwawa la Nyerere kutojazwa maji kwa muda uliopangwa ni mkandarasi...
By Mwandishi WetuFebruary 2, 2022Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam limewakamata watu 17 kwa tuhuma za kuuza jezi feki za Mabingwa wa kihistoria wa...
By Kelvin MwaipunguFebruary 2, 2022SERIKALI imepanga kuanza kupita kila kijiji, mtaa, wilaya, halmashauri na mkoa kusaka vijana wenye vipaji vya sanaa mbalimbali ili kuwasaidia. Anaripoti Kelvin...
By Kelvin MwaipunguFebruary 2, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali itakwenda sambamba na Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), kwa kuwa inajitambua na inaelekea...
By Regina MkondeFebruary 2, 2022SAKATA la tiba asili na tiba mbadala katika matibabu ya magonjwa ya upumuaji ikiwamo virusi vya Corona, limeibuka bungeni baada ya Mbunge...
By Mwandishi WetuFebruary 2, 2022CHAMA cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), kimeshauri wananchi washirikishwe kikamilifu katika michakato ya utungwaji sheria, kwani jambo hilo linawafanya waridhie mfumo wa...
By Mwandishi WetuFebruary 2, 2022MAPINDUZI yameripotiwa katika nchi ya Afrika Magharibi ya Guinea-Bissau, yamesababisha vifo vya maafisa kadhaa wa vikosi vya usalama, rais wake anasema. Inaripoti...
By Mwandishi MaalumFebruary 2, 2022ALIYEKUWA Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Christian Makonda, kesho Alhamisi, tarehe 3 Februari 2022, atapanda kizimbani katika Mahakama ya...
By Mwandishi WetuFebruary 2, 2022CHAMA cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), kimeishauri Serikali ya Tanzania iwatumie mawakili wazawa, ili kuwaongezea ujuzi na kupunguza gharama. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....
By Mwandishi WetuFebruary 2, 2022LEO Jumatano tarehe 2 Februari 2022 ni kilele cha maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Mgeni rasmi kwenye...
By Mwandishi WetuFebruary 2, 2022KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) wa Chama Cha Mapinduzi( CCM), Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka ameiagiza Wizara ya Maliasili...
By Masalu ErastoFebruary 1, 2022MWENYEKITI mpya wa Chama cha ACT-Wazalendo, Babu Juma Haji Duni na Makamu Mwenyekiti Zanzibar, Othman Masoud Othman wametaja vipaumbele 10 ambavyo watavisimamia...
By Seleman MsuyaFebruary 1, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Uledi Abbas Mussa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuFebruary 1, 2022MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, imeahirisha kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti...
By Mwandishi WetuFebruary 1, 2022MAKAMU Mwenyekiti wa Chadema-Bara nchini Tanzania, Tundu Lissu na Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Arusha, Goodbless Lema, wanadaiwa kwenda kuishi uhamishoni...
By Mwandishi WetuFebruary 1, 2022MBUNGE wa Mbeya Mjini, Dk. Tulia Ackson (CCM) ameibuka kidedea katika nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
By Mwandishi WetuFebruary 1, 2022MGOMBEA wa nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson amewahakikishia wabunge kuwa Bunge halitamezwa na...
By Mwandishi WetuFebruary 1, 2022SHAHIDI wa 12 wa Jamhuri katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, Luteni Denis Urio amemtaka...
By Mwandishi WetuFebruary 1, 2022MGOMBEA wa nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kunje Ngombale Mwiru amewapagawisha wabunge baada ya kuwaahidi kupunguza...
By Masalu ErastoFebruary 1, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa mwandishi na mtangazaji wa Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), Zunura Yunus kuwa Mkurugenzi...
By Mwandishi WetuFebruary 1, 2022LEO Jumanne, tarehe 1 Februari 2022, Bunge la Tanzania linafanya uchaguzi wa Spika wa Bunge la Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...
By Mwandishi WetuFebruary 1, 2022DAKTARI Tulia Ackson, ametangaza kujiuzulu nafasi ya naibu spika wa Bunge la Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Taarifa ya kujiuzulu...
By Mwandishi WetuFebruary 1, 2022