LEO Jumanne, tarehe 1 Februari 2022, Bunge la Tanzania linafanya uchaguzi wa Spika wa Bunge la Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).
Uchaguzi huo unafanyika baada ya aliyekuwa Spika, Job Ndugai kujiuzulu nafasi hiyo tarehe 6 Januari 2022.
Wagombea tisa kutoka vyama mbalimbali wamejitokeza kuwania nafasi hiyo ya muhimili wa Bunge.
Mwenyekiti aliyechaguliwa kuongoza shughuli hiyo ni William Lukuvi, Mbunge wa Isman (CCM).
Leave a comment