Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa #LIVE: Uchaguzi wa Spika wa Bunge la Tanzania
Habari za SiasaTangulizi

#LIVE: Uchaguzi wa Spika wa Bunge la Tanzania

Ukumbi wa Bunge
Spread the love

 

LEO Jumanne, tarehe 1 Februari 2022, Bunge la Tanzania linafanya uchaguzi wa Spika wa Bunge la Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Uchaguzi huo unafanyika baada ya aliyekuwa Spika, Job Ndugai kujiuzulu nafasi hiyo tarehe 6 Januari 2022.

Wagombea tisa kutoka vyama mbalimbali wamejitokeza kuwania nafasi hiyo ya muhimili wa Bunge.

Mwenyekiti aliyechaguliwa kuongoza shughuli hiyo ni William Lukuvi, Mbunge wa Isman (CCM).

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!