Tuesday , 19 March 2024
Home erasto
1145 Articles148 Comments
Habari Mchanganyiko

Kuelekea Masika 2024, TMA yapongezwa kwa ushirikiano wao na wadau

  MWENYEKITI wa Bodi ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Jaji Mshibe Ali Bakari ameipongeza TMA kwa kuendelea kushirikisha sekta mbalimbali...

Michezo

Beti na Meridianbet utimize ndoto zako sasa

NDUGU mteja unajua kuwa sehemu sahihi ya wewe kupiga mkwanja ni moja tuu?. Basi mimi nataka kukujuza kuwa Meridianbet ndio wanaweza kukupatia mkwanja...

Michezo

Tengeneza jamvi na Meridianbet sasa katika mechi za AFCON

  MECHO za AFCON zinaendelea hii leo kama kawaida na sisi kama meridianbet tunasema hivi ushindi ni muhimu kwa kila mtu hivyo weka...

AfyaTangulizi

Fedha za TASAF zamaliza kero ya huduma ya mama na mtoto Njombe

  MGANGA Mfawidhi wa Hospitali ya Kibena, iliyopo katika Halmashauri ya Njombe, Dk. Helena Msese amesema kabla ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii...

Habari Mchanganyiko

Mkoa wa Njombe watumia fedha za TASAF bil 29 kuokoa kaya maskini

  MFUKO wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Mkoa wa Njombe umesemaimetumia Sh. 29 bilioni kwa ajili ya kusaidia kaya maskini kupata mahitaji muhimu...

Habari Mchanganyiko

Mambosasa awaomba madereva kuwa mabalozi wa kupunguza ajali

  MADEREVA waliohitimu mafunzo ya udereva wa magari makubwa katika shule ya udereva kilwa road VTC Academy driving School iliyopo katika chuo cha...

Kimataifa

Urusi yaingilia kati mgogoro wa Hamas, Israel yataka ikae pembeni

  NCHI ya Urusi, imeingilia kati mgogoro unaoendelea Palestina kwa kufanya mazungumzo na ujumbe wa kundi la wanamgambo wa kiislamu, Hamas, ili kutafuta...

BiasharaMichezo

Real Madrid, Napoli, Arsenal, Man United, Bayern wanataka kukupa pesa

  BETI na Meridianbet mechi zako za ushindi hii leo zikiwa tayari zimewekwa kwa kuzingatia ubora wa timu, ODDS KUBWA, Machaguo zaidi ya...

Biashara

Ukitaka ushindi usibabaike cheza kasino ya mtandaoni yenye Sloti ya Dream Catcher

  HUENDA usiamini kama ni kweli lakini ni kweli na uhalisia wa Maisha, huwezi amini kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakuletea Sloti...

BiasharaMichezo

Usikae kinyonge, furahia wikendi yako ukibeti na Meridianbet

KAMA unataka kufurahia wikendi yako bashiri na Meridianbet siku hizi za mapumziko uweze kujipigia maokoto yatakayokufanya ufarahie sana kwani mabingwa hawa wa ubashiri...

Biashara

Paa Bure na Aviator ndani ya Meridianbet

MARUBANI wote wanajua sehemu pekee ya kupata ndege ya bure ya kupaa nayo, meridianbet wanaendelea kutoa free bet kwenye kasino yao ya mtandaoni...

Habari Mchanganyiko

Wafanyabiashara wanne mbaroni kwa kutia hasara mil 592

WAFANYABIASHARA wanne wanaoishi jijini Dar Es Salaam, wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, wakikabiliwa na mashitaka sita likiwemo la kutakatisha fedha na...

Kimataifa

Mahakama yamkuta na hatia Donald Trump

  ALIYEKUWA Rais wa Marekani, Donald Trump, amekutwa na hatia ya ulaghai kwenye shughuli zake za biashara katika muongo mmoja uliopita. Anaripoti Mwandishi...

Kimataifa

Mamlaka ya Afya China yazindua kampeni ya kupambana na rushwa, wachambuzi waja tofauti

  SEKTA za matibabu na dawa za nchini China zimetajwa kuwa ndio kipaumbele cha kipekee zaidi katika kampeni ya Rais Xi Jinping ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kanisa Katoliki ‘lashusha kombora’ DP World

  BARAZA la Maaskofu wa Katoliki Tanzania (TEC), limepinga mkataba wa usimamizi na uendelezaji wa bandari nchini, kati ya Tanzania na kampuni ya...

Habari Mchanganyiko

Balozi wa Tanzania – UAE awasilisha hati za utambulisho

  BALOZI wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Luteni Jenerali Mstaafu Yacoub Hassan Mohamed amewasilisha hati...

Habari za Siasa

Rais Samia amlilia Membe

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemlilia aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe, aliyefariki Dunia ghafla jijini Dar es Salaam. Anaripoti...

Habari za Siasa

Ripoti ya CAG yatinga bungeni

  RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kwa mwaka wa fedha wa 2021/22, imewasilishwa bungeni jijini Dodoma, kwa...

Habari za Siasa

Wabunge wapania kuwanyoosha bungeni waliotajwa ripoti ya CAG

  BUNGE la Tanzania, limeombwa kutenga muda wa kutosha kwa ajili ya kuwashughulikia baadhi ya watumishi wa umma waliotuhuma kwa makosa ya ubadhirifu...

Habari za Siasa

Marekani kuwekeza Dola 500 Mil kupeleka bidhaa na huduma Tanzania

MAKAMU wa Rais wa Marekani, Kamala Harris amesema miongoni mwa msururu wa hatua mpya za kuimarisha uhusiano wa kiuchumi na Tanzania, Benki ya...

Habari Mchanganyiko

Vodacom waadhimisha siku ya Wanawake kwa jukwaa la Women’s Network Forum

Mkurugenzi wa Fedha Vodacom Tanzania Plc, Hilda Bujiku (mwenye kipaza sauti) akizungumza wakati wa jukwaa la Women’s Network Forum lililoandaliwa na kampuni hiyo...

Habari Mchanganyiko

Ukatili kwa wanawake, watoto tishio Ileje

  WAKATI wanawake wa wilaya ya Ileje mkoani Songwe wakiadhimisha siku ya wanawake duniani imeelezwa kuwa katika kipindi cha mwaka 2022 na 2023...

Habari za Siasa

Sugu ataka wateule wa JPM wachunguzwe kwa ufisadi, amtumia salamu Spika Tulia

  MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, ameshauri baadhi ya wateule wa aliyekuwa Rais wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mabadiliko viongozi wa Serikali: Rais Samia afyeka, ateua wapya, wengine wahamishwa

RAIS Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki na Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Omary Mgumba katika...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge lalia msongamano wa mizigo bandari Dar es Salaam

  KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC),limeishauri Serikali kuchukua hatua za kumaliza changamoto za msongamano wa shehena...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yaiangukia Serikali kunusuru wananchi Liwale, Nachingwea

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeitaka Serikali kuchukua hatua za haraka kuwasaidia wananchi wa wilaya za Liwale na Nachingwea mkoani Lindi, wanaokabiliwa na baa...

Habari Mchanganyiko

TCRS, Serikali watoa elimu kuelekea siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia

KUELEKEA siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia Serikali kwa kushirikiana na Shirika la kikristo la kuhudumia wakimbizi nchini (TCRS) wametoa mafunzo ya...

Habari Mchanganyiko

Taasisi za kifedha zatakiwa kuongeza nguvu kwa wawekezaji wazawa

TAASISI za kifedha nchini zimetakiwa kukimbilia kuongeza nguvu kwenye uwekezaji wa wazawa wenye kutoa nafasi ya kwanza kuzalisha ajira huku ukiwa na malipo...

Habari za SiasaTangulizi

Aliyefariki kwenye foleni ya mbolea azua zogo bungeni

  TAARIFA za mwananchi aliyedaiwa kupoteza maisha akiwa kwenye foleni ya mbolea wilayani Songea mkoani Ruvuma, zimeibua mvutano mkali bungeni baada ya Mbunge...

Habari Mchanganyiko

TMA tangaza utabiri wa msimu wa mvua za Mwaka, watoa ushauri

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetangaza utabiri wa Msimu wa Mvua za Mwaka unaotarajiwa kuanza mwezi Novemba 2022 na kumalizika Aprili...

HabariMichezoTangulizi

Yanga wapewa wababe wa Kipanga kombe la Shirikisho.

  MARA baada ya kuangukia kwenye michuano ya kombe la Shirikisho, klabu ya soka ya Yanga imepangwa kumenyana dhidi ya Club Africain ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

TPA yajipanga kuiondoa nchi katika uchumi wa tatu kwenda wa pili

  MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), imedhamiria kufanikisha maono ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kufanya mageuzi makubwa ya uchumi wa...

Afya

Lishe kwa watoto, wajawazito na vijana kupewa kipaumbele 

WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu, amesema sekta zote zitaongeza nguvu, rasilimali fedha na rasilimali watu ili kuboresha kiwango cha lishe kwa Watoto wenye...

Habari Mchanganyiko

Dk. Ndumbaro aeleza umuhimu wa Chama cha Mawakili wa Serikali

Waziri wa Katiba na Sheria, Damas Ndumbaro, ameeleza umuhimu wa Chama cha Mawakili wa Serikali kwa kueleza majukumu yao kuwa mazito na muhimu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wakili Mkuu wa Serikali ashauri kuanzishwa kituo cha usuluhishi Tanzania

WAKILI Mkuu wa Serikali, Gabriel Malata, ameomba kuanzishwa kwa kituo cha Usuluhisho wa migogoro nchini kwa lengo la kutatua mizozo mbalimbali inayo zikabili...

Kimataifa

Kimbunga Ian chasababisha dhoruba kubwa kuwahi kutokea Marekani

KIMBUNGA Ian kimetokea Florida  nchini Marekani na kusababisha madhara makubwa ikiwemo mafuriko. Anaripoti Helena Mkonyi TUDARCo, kwa msaada wa vyombo vya habari vya...

Habari Mchanganyiko

Bashungwa awasimamisha kazi maofisa watano Mbulu

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Innocent Bashungwa amewasimamisha kazi maofisa watano wa Halmashauri...

Habari za Siasa

Wasafiri Tanzania kwenda Hong Kong hawatalazimika kukaa karantini

MAMLAKA ya Hong Kong, imewaondolea sharti la kukaa karantini wasafiri kutoka nchini Tanzania wanaofanya safari zao mbalimbali nchini humo. Anaripoti Felister Mwaipeta TUDARCo...

Habari za Siasa

Uchaguzi wenyeviti wa CCM wilaya kuanza Oktoba mosi

KATIBU wa itikadi na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),  Shaka Hamdu Shaka amewasisitiza wanachama wa chama hicho kujitokeza kwenye uchaguzi wa ngazi...

Afya

Bima ya afya kwa wote kuanza Julai 2023

  WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu, amesema bima ya afya kwa wote itaanza kazi kuanzia tarehe 1 Julai 2023, endapo Bunge la Tanzania,...

Habari Mchanganyiko

Mgodi mkubwa wa dhahabu kuanzishwa Sengerema

MKUU wa mkoa wa Mwanza, Adam Malima, amesema Serikali imeingia kwenye makubaliano na kampuni ya OA Coal ambayo itajenga mgodi wa pili kwa...

HabariMichezo

Michezo mwezi Oktoba, Simba ni jasho na damu

  IKIWA kawa sasa Ligi Kuu Tanzania Bara, imesimama kwa baadhi ya timu ili kupisha michezo ya kimataifa kwenye kalenda ya Shirikisho la...

Michezo

Umemsikia Mayele, hana wasiwasi na Al Hilal

  MSHAMBULIAJI wa klabu ya Yanga, Fiston Kalala Mayele ameonekana kutokuwa na wasiwasi na mchezo ujao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya...

Kimataifa

Majaji 6 waliokataliwa na Uhuru waapishwa na Ruto

  HATIMAYE majaji sita ambao walikuwa wameteuliwa na Tume ya Huduma za Mahakama (JSC) nchini Kenya mwaka 2019 na majina yao kukataliwa na...

Elimu

Serikali yabanwa bungeni wanafunzi walioacha shule

  SERIKALI imeagiza maofisa elimu katika halmashauri zote nchini kusimamia na kutekeleza ipasavyo muongozo wa kuwarejesha shuleni wanafunzi walioacha au kukatishwa masomo kwa...

Afya

Watoto milioni 14.6 wapatiwa chanjo ya polio

  WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amesema jumla ya watoto 14,690,597 wametiwa huduma ya chanjo ya polio ya matone sawa na asilimia 118.6...

Tangulizi

Mpina apinga uanzishwaji mahabusu za watuhumiwa dawa za kulevya

  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM) amepinga uanzishwaji wa mahabusu za watuhumiwa wa dawa za kulevya pamoja na masharti ya kumuweka mtu...

Habari Mchanganyiko

Askofu mwingine Anglikana afariki dunia, Dk. Mwinyi amlilia

  ASKOFU Mkuu Mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, John Ackland Ramadhani amefariki dunia jana tarehe 12 Septemba, 2022 katika Hospitali ya Taifa...

Kimataifa

Sangoma aliyetabiri kifo cha Malkia Elizabeth aibua mjadala

  WAKATI dunia ikiomboleza kifo cha Malkia Elizabeth II wa Uingereza, watumiaji wa mtandao wa Twitter wameibua Tweet ya mganga mmoja matata aliyebashiri...

Habari za Siasa

Wabunge CCM kuwachuja wagombea EALA

  WABUNGE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), leo tarehe 10 Septemba, 2022 wanatarajiwa kufanya uchaguzi wa ndani wa wagombea wa ubunge wa Bunge...

error: Content is protected !!