Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Uchaguzi wenyeviti wa CCM wilaya kuanza Oktoba mosi
Habari za Siasa

Uchaguzi wenyeviti wa CCM wilaya kuanza Oktoba mosi

Katibu wa Itikadi na uenezi CCM, Shaka Hamidu Shaka
Spread the love


KATIBU wa itikadi na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),  Shaka Hamdu Shaka amewasisitiza wanachama wa chama hicho kujitokeza kwenye uchaguzi wa ngazi ya Wilaya tarehe 1 na 2 Octoba, 2022.  Anaripoti Helena Mkonyi. TUDARCo … (endelea).

Uteuzi huo wa mwisho wa  wagombea uwenyekiti  wa wilaya  katika Wilaya 168 nchini,  umefanyika leo Jijini Dodoma chini ya Mwenyekiti wa CCM Rais Samia Suluhu Hassan.

Shaka amesema “Tumeteuwa na tumeshapata wagombea ambao wataenda kusimama kwenye uchaguzi wa ngazi ya Wilaya tarehe 1 na 2 Ockoba 2022”.

Shaka amewaomba wanachama wajitokeze kwa wingi  katika uchaguzi wa wenyeviti wa CCM ngazi ya Wilaya ambao hufanyika kila baada ya miaka mitano kwa mujibu wa katiba yao.

Aidha amesema kwamba Halmashauri kuu ya Taifa imeongeza muda wa kuchukua fomu na kurejesha fomu kwa ngazi ya Taifa na Mkoa kwa upande wa Zanzibar na Tanzania bara.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Spika Tulia aibana Serikali mafao ya wastaafu Jumuiya ya Afrika Mashariki

Spread the loveSPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson ameitaka Serikali kufanya tathimini...

Habari za Siasa

Serikali yawapa maagizo Ma-RC udhibiti magonjwa yasiyoambukiza

Spread the loveWAKUU wa mikoa nchini wametakiwa kuandaa utaratibu wa kuwawezesha wananchi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari za Siasa

Mavunde aomba bilioni 231.9 bajeti wizara ya madini

Spread the loveWAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde leo Jumanne amewasilisha hotuba ya...

error: Content is protected !!