RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Uledi Abbas Mussa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).
Mussa anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Dk. Suleiman Misango ambaye ataendelea na majukumu yake ya Ukurugenzi ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Soma taarifa yote ya uteuzi…
Leave a comment