Saturday , 27 April 2024
Home sule
89 Articles7 Comments
Habari Mchanganyiko

Muliro: Waandishi, polisi zingatieni sheria

WAANDISHI wa habari na askari polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam wameshauriwa kutenda kazi kwa kuheshimu misingi ya kisheria, haki za binadamu,...

Habari Mchanganyiko

Kongamano la Jotoardhi kufanyika Novemba

TANZANIA imezindua maandalizi ya kuandaa Kongamano la 10 la Jotoardhi Afrika (ARGeo-C10) ambalo litafanyika kuanzia tarehe 11 hadi 17 Novemba 2024 katika Kituo...

Habari Mchanganyiko

Serikali, wadau watakiwa kulinda viumbehai

SERIKALI, wadau kutoka sekta binasi, vyombo vya habari na jamii wameshauriwa kushirikiana kuhifadhi, kutunza mazingira na wanyamapori ili vizazi vijavyo viweze kurithi na...

Habari Mchanganyiko

Wakulima wa viungo walilia sheria

WAKULIMA wanaozalisha mazao ya viungo kwa mfumo wa kilimo hai katika vijiji vya Kizerui na Antakae wilayani Muheza mkoani Tanga wameiomba Serikali kutengezeza...

Habari Mchanganyiko

“Jamii ielimishwe faida za uhifadhi”

WIZARA ya Maliasili na Utalii imesema ili kukabiliana na migongano kati ya binadamu na wanyamapori ni vema kwa wadau wote kushiriki kutoa elimu...

Habari Mchanganyiko

Usawa wa kijinsia waweka salama shoroba

UZINGATIAJI usawa wa kijinsia kwenye usimamizi wa shoroba saba ambazo zipo kwenye Mradi wa USAID Tuhifadhi Maliasili umewezesha shoroba hizo kuwa salama na...

Habari za Siasa

Lugangira: Matumizi ya mitandao katika uchaguzi yaingie kwenye sheria

MBUNGE wa Viti Maalumu, Neema Lugangira (CCM) ameshauri mswada wa sheria ya Tume Huru ya Uchaguzi uwe na ibara inayozungumzia masuala ya matumizi...

Habari Mchanganyiko

“Huduma ziwafikie walengwa maporomoko yaliyoua 69 Hanang”

MTANDAO wa Asasi za Kiraia za Sekta ya Maji na Usafi wa Mazingira (TAWASANET) umetoa wito kwa serikali na wadau wengine kudumisha ushirikiano...

Habari Mchanganyiko

Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Greyhorse zasaini mkataba wa bil.7.4

TAASISI ya Mwalimu Nyerere (MNF) imesaini mkataba wa miaka 10 wa dola za Marekani milioni tatu (Sh bilioni 7.4) na Kampuni ya Greyhorse...

Biashara

Mradi kuimarisha mtandao wa mifumo ya Mbegu wazinduliwa

WAKULIMA wa Afrika wameshauriwa kutumia mbegu asili katika kilimo kwa kuwa nichangia salama kwa afya, uhuru wa chakula, kukuza uchumi na uhakika wa...

Habari za Siasa

He Ping kufanya ziara Tanzania

MWENYEKITI wa Kamati ya Mambo ya Nje ya Baraza la Mashauriano la Kisiasa la Watu wa China  (CPPC), He Ping kesho atakuja nchini...

Afya

Wagonjwa wa saratani wanachelewa kugundulika

IMEELEZWA kuwa asilimia 80 ya wagonjwa wa saratani ya matiti nchini Tanzania wanagundulika ikiwa wamefikia hatua ya tatu na nne, hiyo ikichangiwa na...

Habari Mchanganyiko

Makamba: China ni ya mfani kwa kupunguza umaskini

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, January Makamba amesema nchi ya China ni ya kutolewa mfano bora kutokana na mchango...

Biashara

Trilioni 8 kujenga viwanda 200 Kwala

SERIKALI imesema uwekezaji unaofanywa na Sino-Tan katika Kongani ya Viwanda iliyopo Kwala, wilayani Kibaha mkoani Pwani utafanikisha ujenzi wa viwanda 200 vitakavyogharimu zaidi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Serikali yashauriwa kuhamasisha kilimo hai

SERIKALI imeshauriwa kuweka mkazo katika kilimo hai kwa kuwa ndio kinazalisha chakula safi na salama kwa afya ya viumbe hai na mazingira. Anaripoti...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Bilioni 650 kumaliza changamoto ya mbegu

WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amesema inahitajika uwekezaji wa shilingi bilioni 650, ili kumaliza changamoto ya upatikanaji wa mbegu bora na salama. Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

12 wakamatwa kwa kuficha mafuta

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imekamata wafanyabiashara 12 wanaojihusisha na kuficha mafuta na kufungia vituo viwili kwa miezi...

Biashara

Kampuni 500 kushiriki kongamano  kutathmini viwanda nchini

KAMPUNI 500 kutoka China, Tanzania, Angola, Kenya na Ethiopia zinatarajiwa kukutana tarehe 25  Septemba 2023 jijini Dar es Salaam, kutathmini eneo la viwanda...

Habari Mchanganyiko

18 wahitimu mafunzo ya ukurugenzi

WASHIRIKI 18 wa mafunzo ya nafasi ya ukurugenzi, mkuu, wamehitimu Program ya Mpango wa Uandaaji Wakurugenzi Watendaji (CAP), awamu ya tatu inayoratibiwa na...

Biashara

Prof. Kitila asisitiza uwekezaji hatifungani ya kijani

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo ametoa rai kwa wananchi, kampuni za sekta binafsi na umma, taasisi...

Habari Mchanganyiko

TCRA, COSTECH kuinua teknolojia ya kidijiti

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) pamoja na Tume ya Sayansi na Teknolojia Tanzania (COSTECH) zimeungana kwa lengo la kutoa rasilimali za mawasiliano bila...

Biashara

Biashara ya China, Tanzania yafikia trilioni 20

BALOZI wa China nchini, Chen Mingjian, amesema ukuaji wa biashara kati yake Tanzania kuanzia mwaka 2022 hadi Juni, 2023, umefikia Dola za Marekani...

Habari za Siasa

Naibu Spika Zungu kufungua kongamano la EAC, China

NAIBU Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu, anarajiwa kufungua kongamano la kimataifa la kusherekea miaka 10 ya ushirikiano baina ya nchini za...

Habari Mchanganyiko

NCHI za Afrika zimeshauriwa kuwekeza katika utafiti wa mbegu asili kwa kuwa zina lishe bora, uhakika wa chakula na salama kwa afya ya...

Habari Mchanganyiko

Nchi 25 kujadili mbegu asili Dar

WADAU 100 kutoka nchi 25 duniani wanakutana jijini Dar es Salaam kwa siku tatu kujadiliana juu ya mbegu za asili ambazo zina mchango...

Habari Mchanganyiko

Matinyi: Uwekezaji bandari Dar neema kwa ICD

MKUU wa Wilaya ya Temeke Mobhare Matinyi, amesema uwekezaji wa Bandari ya Dar es Salaam unaenda kuchochea mafanikio kwenye Bandari Kavu (ICD). Anaripoti...

Biashara

2075 Waafrika kushika theluthi moja ya ajira

BENKI ya Dunia (WB), imesema ifikapo mwaka 2075, theluthi moja ya idadi ya watu watakaokuwa wanafanya kazi duniani watakuwa Waafrika. Anaripoti Selemani Msuya…(endelea)....

Biashara

2075 Waafrika kushika theluthi moja ya ajira

BENKI ya Dunia (WB), imesema ifikapo mwaka 2075, theluthi moja ya idadi ya watu watakaokuwa wanafanya kazi duniani watakuwa Waafrika. Anaripoti Selemani Msuya…(endelea)....

Habari Mchanganyiko

Wahariri waombwa kuhamasisha habari za uhifadhi wa bioanowai

CHAMA cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET), kimetoa raia kwa wahariri wa vyombo vya habari nchini kuhamasisha waandishi kuandika habari za...

Habari za SiasaTangulizi

Vyama vipya 18 vya siasa vyaomba usajili, uhakiki waanza

OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini imesema  kuanzia  tarehe 23 Julai 2023 itaanza uhakiki wa vyama vya siasa ambavyo vina usajili...

Habari Mchanganyiko

Nyuki wadhibiti tembo waharibifu kwa asilimia 99

  IMEELEZWA kuwa matumizi ya uzio wa mizinga ya nyuki umewezesha kudhibiti tembo waharibifu ambao wamekuwa wakitoka Hifadhi ya Taifa ya Milima ya...

Makala & Uchambuzi

Rekodi ya watalii kuandikwa Desemba 2023

  WIZARA ya Maliasili na Utalii imesema ifikapo Desemba 2023 watakuwa wamefikia malengo ya Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali ya...

Habari Mchanganyiko

Serikali yanunua mtambo wa kuchoronga Jotoardhi

SERIKALI imenunua mtambo wa kisasa uligharimu zaidi shilingi bilioni 13 kwa ajili yakuchoronga visima vya uzalishaji wa nishati jadidifu ya Jotoardhi ambayo ni...

Habari za Siasa

Shaka: Rais Samia kioo cha uongozi Afrika

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Shaka Hamdu Shaka amesema Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ni kioo...

Habari Mchanganyiko

Mradi wa LNG kuzingatia mikataba mitano

  IMEELEZWA kuwa utekelezaji wa Mradi wa Kuchakata na Kusindika Gesi Asilia (LNG) unaotarajiwa kuanza hivi karibuni, utazingatia makubaliano ya mikataba matano. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Serikali kuja na mpango wa kuongoa shoroba

  KAMATI ya Kitaifa ya Kuongoa Shoroba (NWCRC) imesema Serikali ipo katika mchakato wa kuandaa mpango makakati wa kuongoa shoroba 61 zilizopo, huku...

Biashara

Kampuni 5,000 zashiriki sabasaba

  KAMPUNI 5666 za ndani na nje ya nchi zimeshiriki kwenye Maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam DITF)...

Habari Mchanganyiko

RBWD kujenga mabwawa mapya

BODI ya Maji Bonde la Rufiji (RBWB) inatarajia kujenga mabwawa ya maji mapya matano katika mikoa wanayohudumia, ili kuhakikisha wananchi wanafanya shughuli za...

Habari Mchanganyiko

Viumbe vamizi changamoto ya mfumo ikolojia

  MENEJA wa Kitengo cha Sera za Usimamizi wa Maliasili mradi wa USAID Tuhifadhi Maliasili, Joseph Olila amesema ongezeko la viumbe vamizi kwenye...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wanakijiji Singida walia na mgodi

  BAADHI ya wananchi wanaozunguka kampuni ya uchimbaji madini ya Ashanta kata ya Mang’onyi wilayani hapa wamedai kutonufaika na uwekezaji wake. Anaripoti Selemani...

Michezo

‘EONII’ kuteka tasnia ya filamu

  UZINDUZI wa Filamu ya Kisayansi ya ‘EONII’ uliofanyika Mei 29 katika Hoteli ya Kilimanjaro jijini Dar es Salaam, umetajwa kuwa unaenda kufanya...

Habari Mchanganyiko

Serikali: Mchakato wa kuandaa muswada wa sheria ya habari umefikia 80%

SERIKALI za Tanzania Bara na Zanzibar zimesema mchakato wa kupatikana kwa Sheria ya Habari yenye kukidhi mahitaji ya wadau upo katika hatua za...

Habari Mchanganyiko

SDGCA yazifunda asasi za  kirai kuhusu fursa za SADC

ASASI za Kirai (CSOs) na sekta binafsi nchini zimeshauriwa kushiriki kikamilifu fursa zilizopo kwenye nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika...

Habari Mchanganyiko

DC Kyobya aapa kutowavumilia waharibifu vyanzo vya maji

  SERIKALI wilayani Kilombero mkoani Morogoro, imesema ili kuhakikisha mchango wa Mto Kilombero kwenye uzalishaji wa umeme na kilimo unakuwa endelevu itachukua hatua...

Habari Mchanganyiko

JUAMBACHI yalia na wanasiasa uharibifu wa vyanzo vya maji

MSUKUMO wa kisiasa na kipato vimetajwa kuwa sababu kubwa inayochangia ongezeko la uharibufu wa vyanzo vya maji na mazingira kwenye Mto Mbarali Chini...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 1.7 yamaliza kero ya maji Masaka

BODI ya Maji Bonde la Rufiji (RBWB), imetumia Sh bilioni 1.7 kujenga Bwawa la Maji kata ya Masaka mkoani Iringa, hali ambayo inaenda...

Habari Mchanganyiko

Vyanzo vya maji Bonde la Rufiji kulindwa

BODI ya Maji Bonde la Rufiji (RBWB) imesema ili kuhakikisha uwekezaji mkubwa wa miradi mbalimbali ya uzalishaji inakuwa endelevu wanatarajia kuajiri walinzi 50...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 150 kununua nafaka, mazao mchanganyiko

BODI ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko (CPB), imesema katika mwaka wa fedha 2023/24 inatarajia kutumia Sh.bilioni 150 kwa ajili ya ununuzi wa nafaka...

Elimu

NACTVET yafungua dirisha la udahili

  BARAZA la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) limefungua dirisha la udahili wa mkupuo wa mwezi Machi...

Habari Mchanganyiko

Maboresho Bandari Tanga kufanya mapinduzi ya kiuchumi, kijamii

MAMLAKA ya Bandari ya Tanga imesema maboresho ya bandari hiyo yatawezesha kupokea zaidi ya tani milioni 3 za shehena za mizigo kwa mwaka,...

error: Content is protected !!