SERIKALI, wadau kutoka sekta binasi, vyombo vya habari na jamii wameshauriwa kushirikiana kuhifadhi, kutunza mazingira na wanyamapori ili vizazi vijavyo viweze kurithi na...
By Seleman MsuyaMarch 18, 2024WAKULIMA wanaozalisha mazao ya viungo kwa mfumo wa kilimo hai katika vijiji vya Kizerui na Antakae wilayani Muheza mkoani Tanga wameiomba Serikali kutengezeza...
By Seleman MsuyaMarch 8, 2024WIZARA ya Maliasili na Utalii imesema ili kukabiliana na migongano kati ya binadamu na wanyamapori ni vema kwa wadau wote kushiriki kutoa elimu...
By Seleman MsuyaFebruary 24, 2024UZINGATIAJI usawa wa kijinsia kwenye usimamizi wa shoroba saba ambazo zipo kwenye Mradi wa USAID Tuhifadhi Maliasili umewezesha shoroba hizo kuwa salama na...
By Seleman MsuyaFebruary 16, 2024MBUNGE wa Viti Maalumu, Neema Lugangira (CCM) ameshauri mswada wa sheria ya Tume Huru ya Uchaguzi uwe na ibara inayozungumzia masuala ya matumizi...
By Seleman MsuyaJanuary 5, 2024MTANDAO wa Asasi za Kiraia za Sekta ya Maji na Usafi wa Mazingira (TAWASANET) umetoa wito kwa serikali na wadau wengine kudumisha ushirikiano...
By Seleman MsuyaDecember 7, 2023TAASISI ya Mwalimu Nyerere (MNF) imesaini mkataba wa miaka 10 wa dola za Marekani milioni tatu (Sh bilioni 7.4) na Kampuni ya Greyhorse...
By Seleman MsuyaDecember 5, 2023WAKULIMA wa Afrika wameshauriwa kutumia mbegu asili katika kilimo kwa kuwa nichangia salama kwa afya, uhuru wa chakula, kukuza uchumi na uhakika wa...
By Seleman MsuyaNovember 23, 2023MWENYEKITI wa Kamati ya Mambo ya Nje ya Baraza la Mashauriano la Kisiasa la Watu wa China (CPPC), He Ping kesho atakuja nchini...
By Seleman MsuyaOctober 25, 2023IMEELEZWA kuwa asilimia 80 ya wagonjwa wa saratani ya matiti nchini Tanzania wanagundulika ikiwa wamefikia hatua ya tatu na nne, hiyo ikichangiwa na...
By Seleman MsuyaOctober 13, 2023WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, January Makamba amesema nchi ya China ni ya kutolewa mfano bora kutokana na mchango...
By Seleman MsuyaSeptember 28, 2023SERIKALI imesema uwekezaji unaofanywa na Sino-Tan katika Kongani ya Viwanda iliyopo Kwala, wilayani Kibaha mkoani Pwani utafanikisha ujenzi wa viwanda 200 vitakavyogharimu zaidi...
By Seleman MsuyaSeptember 26, 2023SERIKALI imeshauriwa kuweka mkazo katika kilimo hai kwa kuwa ndio kinazalisha chakula safi na salama kwa afya ya viumbe hai na mazingira. Anaripoti...
By Seleman MsuyaSeptember 13, 2023WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amesema inahitajika uwekezaji wa shilingi bilioni 650, ili kumaliza changamoto ya upatikanaji wa mbegu bora na salama. Anaripoti...
By Seleman MsuyaSeptember 8, 2023MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imekamata wafanyabiashara 12 wanaojihusisha na kuficha mafuta na kufungia vituo viwili kwa miezi...
By Seleman MsuyaSeptember 4, 2023KAMPUNI 500 kutoka China, Tanzania, Angola, Kenya na Ethiopia zinatarajiwa kukutana tarehe 25 Septemba 2023 jijini Dar es Salaam, kutathmini eneo la viwanda...
By Seleman MsuyaSeptember 4, 2023WASHIRIKI 18 wa mafunzo ya nafasi ya ukurugenzi, mkuu, wamehitimu Program ya Mpango wa Uandaaji Wakurugenzi Watendaji (CAP), awamu ya tatu inayoratibiwa na...
By Seleman MsuyaSeptember 4, 2023WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo ametoa rai kwa wananchi, kampuni za sekta binafsi na umma, taasisi...
By Seleman MsuyaAugust 31, 2023MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) pamoja na Tume ya Sayansi na Teknolojia Tanzania (COSTECH) zimeungana kwa lengo la kutoa rasilimali za mawasiliano bila...
By Seleman MsuyaAugust 30, 2023BALOZI wa China nchini, Chen Mingjian, amesema ukuaji wa biashara kati yake Tanzania kuanzia mwaka 2022 hadi Juni, 2023, umefikia Dola za Marekani...
By Seleman MsuyaAugust 26, 2023NAIBU Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu, anarajiwa kufungua kongamano la kimataifa la kusherekea miaka 10 ya ushirikiano baina ya nchini za...
By Seleman MsuyaAugust 24, 2023NCHI za Afrika zimeshauriwa kuwekeza katika utafiti wa mbegu asili kwa kuwa zina lishe bora, uhakika wa chakula na salama kwa afya ya...
By Seleman MsuyaAugust 15, 2023WADAU 100 kutoka nchi 25 duniani wanakutana jijini Dar es Salaam kwa siku tatu kujadiliana juu ya mbegu za asili ambazo zina mchango...
By Seleman MsuyaAugust 12, 2023MKUU wa Wilaya ya Temeke Mobhare Matinyi, amesema uwekezaji wa Bandari ya Dar es Salaam unaenda kuchochea mafanikio kwenye Bandari Kavu (ICD). Anaripoti...
By Seleman MsuyaAugust 6, 2023BENKI ya Dunia (WB), imesema ifikapo mwaka 2075, theluthi moja ya idadi ya watu watakaokuwa wanafanya kazi duniani watakuwa Waafrika. Anaripoti Selemani Msuya…(endelea)....
By Seleman MsuyaJuly 26, 2023BENKI ya Dunia (WB), imesema ifikapo mwaka 2075, theluthi moja ya idadi ya watu watakaokuwa wanafanya kazi duniani watakuwa Waafrika. Anaripoti Selemani Msuya…(endelea)....
By Seleman MsuyaJuly 24, 2023CHAMA cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET), kimetoa raia kwa wahariri wa vyombo vya habari nchini kuhamasisha waandishi kuandika habari za...
By Seleman MsuyaJuly 20, 2023OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini imesema kuanzia tarehe 23 Julai 2023 itaanza uhakiki wa vyama vya siasa ambavyo vina usajili...
By Seleman MsuyaJuly 17, 2023IMEELEZWA kuwa matumizi ya uzio wa mizinga ya nyuki umewezesha kudhibiti tembo waharibifu ambao wamekuwa wakitoka Hifadhi ya Taifa ya Milima ya...
By Seleman MsuyaJuly 17, 2023WIZARA ya Maliasili na Utalii imesema ifikapo Desemba 2023 watakuwa wamefikia malengo ya Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali ya...
By Seleman MsuyaJuly 14, 2023SERIKALI imenunua mtambo wa kisasa uligharimu zaidi shilingi bilioni 13 kwa ajili yakuchoronga visima vya uzalishaji wa nishati jadidifu ya Jotoardhi ambayo ni...
By Seleman MsuyaJuly 9, 2023MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Shaka Hamdu Shaka amesema Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ni kioo...
By Seleman MsuyaJuly 6, 2023IMEELEZWA kuwa utekelezaji wa Mradi wa Kuchakata na Kusindika Gesi Asilia (LNG) unaotarajiwa kuanza hivi karibuni, utazingatia makubaliano ya mikataba matano. Anaripoti...
By Seleman MsuyaJuly 6, 2023KAMATI ya Kitaifa ya Kuongoa Shoroba (NWCRC) imesema Serikali ipo katika mchakato wa kuandaa mpango makakati wa kuongoa shoroba 61 zilizopo, huku...
By Seleman MsuyaJuly 4, 2023KAMPUNI 5666 za ndani na nje ya nchi zimeshiriki kwenye Maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam DITF)...
By Seleman MsuyaJuly 4, 2023BODI ya Maji Bonde la Rufiji (RBWB) inatarajia kujenga mabwawa ya maji mapya matano katika mikoa wanayohudumia, ili kuhakikisha wananchi wanafanya shughuli za...
By Seleman MsuyaJune 27, 2023MENEJA wa Kitengo cha Sera za Usimamizi wa Maliasili mradi wa USAID Tuhifadhi Maliasili, Joseph Olila amesema ongezeko la viumbe vamizi kwenye...
By Seleman MsuyaJune 22, 2023BAADHI ya wananchi wanaozunguka kampuni ya uchimbaji madini ya Ashanta kata ya Mang’onyi wilayani hapa wamedai kutonufaika na uwekezaji wake. Anaripoti Selemani...
By Seleman MsuyaMay 31, 2023UZINDUZI wa Filamu ya Kisayansi ya ‘EONII’ uliofanyika Mei 29 katika Hoteli ya Kilimanjaro jijini Dar es Salaam, umetajwa kuwa unaenda kufanya...
By Seleman MsuyaMay 30, 2023SERIKALI za Tanzania Bara na Zanzibar zimesema mchakato wa kupatikana kwa Sheria ya Habari yenye kukidhi mahitaji ya wadau upo katika hatua za...
By Seleman MsuyaMay 3, 2023ASASI za Kirai (CSOs) na sekta binafsi nchini zimeshauriwa kushiriki kikamilifu fursa zilizopo kwenye nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika...
By Seleman MsuyaMay 3, 2023SERIKALI wilayani Kilombero mkoani Morogoro, imesema ili kuhakikisha mchango wa Mto Kilombero kwenye uzalishaji wa umeme na kilimo unakuwa endelevu itachukua hatua...
By Seleman MsuyaMarch 11, 2023MSUKUMO wa kisiasa na kipato vimetajwa kuwa sababu kubwa inayochangia ongezeko la uharibufu wa vyanzo vya maji na mazingira kwenye Mto Mbarali Chini...
By Seleman MsuyaMarch 9, 2023BODI ya Maji Bonde la Rufiji (RBWB), imetumia Sh bilioni 1.7 kujenga Bwawa la Maji kata ya Masaka mkoani Iringa, hali ambayo inaenda...
By Seleman MsuyaMarch 8, 2023BODI ya Maji Bonde la Rufiji (RBWB) imesema ili kuhakikisha uwekezaji mkubwa wa miradi mbalimbali ya uzalishaji inakuwa endelevu wanatarajia kuajiri walinzi 50...
By Seleman MsuyaMarch 7, 2023BODI ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko (CPB), imesema katika mwaka wa fedha 2023/24 inatarajia kutumia Sh.bilioni 150 kwa ajili ya ununuzi wa nafaka...
By Seleman MsuyaFebruary 13, 2023BARAZA la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) limefungua dirisha la udahili wa mkupuo wa mwezi Machi...
By Seleman MsuyaJanuary 26, 2023MAMLAKA ya Bandari ya Tanga imesema maboresho ya bandari hiyo yatawezesha kupokea zaidi ya tani milioni 3 za shehena za mizigo kwa mwaka,...
By Seleman MsuyaDecember 30, 2022CHAMA cha Wafanyakazi Mashambani na Kilimo Tanzania (TPAWU), kimesema Sh.40,000 iliyoongezwa kwenye kima cha chini cha mshahara wa mfanyakazi wa sekta ya kilimo...
By Seleman MsuyaDecember 28, 2022WABUNGE wa Bunge la Tanzania wamesema Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP) ukikamilika utakuwa fursa ya kiuchumi na kijamii kwa Watanzania....
By Seleman MsuyaDecember 24, 2022