Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Michezo Ushindi waiibua Simba, yawatupia kijembe watani zao
Michezo

Ushindi waiibua Simba, yawatupia kijembe watani zao

Spread the love

 

UONGOZI wa timu ya Simba ya jijini Dar es Salaam nchini Tanzania imewashukuru mashabiki kwa kuchagiza ushindi wa 3-1 wa dhidi ya Asec Mimosas ya Ivory Coast kwenye mchezo wa makundi wa Kombe la Shirikisho Afrika. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Simba iliibuka na ushindi huo mkubwa jana Jumapili, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Magoli hayo yalifungwa na Pape Sakho, Shomari Kapombe kwa penati pamoja na Peter Banda.

Taarifa ya Simba iliyotolewa leo Jumatatu, tarehe 14 Februari 2022 imewaomba mashabiki zao kutowasumbua mashabiki wengine wanaofika uwanjani kushuhudia michezo yao.

“Ukweli ni kwamba mashabiki wa timu nyingine wanakuja kwenye mechi zetu kufuata burudani ambayo hawaipati kwenye timu zao hivyo ni vema kuwapokea na kuwapa mazingira mazuri ya kufurahia kabumbu safi kutoka Simba,” imeeleza taaifa hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & UchambuziMichezo

TFF kuamua hatima ya Amrouche

Spread the loveHATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea...

Habari za SiasaMichezo

Matinyi: Dk. Ndumbaro alifanya utani ukaguzi mechi za Yanga, Simba

Spread the loveMsemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na...

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!