Friday , 17 May 2024

Month: April 2021

Habari za Siasa

Rais Samia kukutana na wapinzani

  RAIS wa Awamu ya Sita, Samia Suluhu Hassan, amesema anapanga kukutana na viongozi wa vyama vya siasa, ili kujadili namna ya kuiendesha...

Habari Mchanganyiko

ATCL kufumuliwa upya

  SHIRIKA la Ndege la Tanzania (ATCL), linalojiendesha kwa hasara kwa miaka mitano sasa, litafumuliwa na kukabidhiwa kwa watu wenye weledi wa kusimamia....

Habari za Siasa

Rais Samia amsifu Dk. Magufuli, amtaja Dk. Kikwete, Karume

  RAIS WA Tanzania, Samia Suluhu Hassa, amesifu uongozi wa kutukuka wa mtangulizi wake, Hayati John Magufuli huku akimtaja Rais Mstaafu wa Zanzibar,...

Habari za Siasa

Rais Samia kung’oa vikwazo vya uwekezaji

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameahidi kufanya marekebisho kadhaa katika sera na sheria sambamba na kuondoa vikwazo katika kukuza uwekezaji. Anaripoti...

Habari za Siasa

Viongozi 150 kuchukuliwa hatua

  TAKRIBANI viongozi 150 hatarini kuchukuliwa hatua kali kwa tuhuma za ukiukwaji wa maadili. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Viongozi hao wanadaiwa kushindwa kurejesha fomu...

Habari za Siasa

Rais Samia anahutubia Bunge

  SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania, leo Alhamisi kuanzia saa 10:00 jioni, atalihutubia Bunge la nchi hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Rais...

Habari za Siasa

Mbunge CCM aomba hospitali, serikali yamjibu

  JAFARI Chege, Mbunge wa Rorya (CCM), mkoani Mara, amehoji serikali lini itakipandisha hadhi kituo cha afya Kinesi kinachohudumia vijiji 27 ili kiwe...

Habari za Siasa

Bunge latengua kanuni

  BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limetengua kanuni kanuni ya 160 (1) ili kuruhusu wasio wabunge kuingia ukumbini. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za Siasa

Wabunge wapigwa ‘stop’ kuvaa tai nyekundu

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amewataka wabunge kutovaa tai nyekundu, bungeni jijini Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Ni...

Habari za SiasaTangulizi

Katiba mpya: Askofu Shoo, Dk. Lwaitama wamkingia kifua Rais Samia

  MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo na Dk. Azaveli Lwaitama, wamewaomba Watanzania wampe muda Rais Samia...

Habari za Siasa

Mjadala katiba mpya wapamba moto

  KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu nchini Tanzania (LHRC), kimeendesha mdahalo wa wazi kujadili ufufuaji wa mchakato wa katiba mpya. Anaripoti...

Habari za Siasa

Mbunge Mnzava ahoji wahitimu kutoajiriwa

  MBUNGE wa Viti Maalumu (CCM), Christine Mnzava, ameihoji serikali juu ya kutokuwatumia vizuri wanafunzi wanaohitimu shahada ya sayansi ya menejimenti ya uhandisi...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi 6

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi sita wa taasisi mbalimbali. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Uteuzi huo umetangazwa leo Jumatano,...

MichezoTangulizi

Simba bado pointi mbili kuishusha Yanga

  USHINDI wa mabao 2-0, ulitosha kuifanya Simba kuondoka na pointi tatu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Kagera Sugar....

Habari za Siasa

Mdee, wenzake wachongewa kwa Rais Samia

  UONGOZI wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), umemuomba Rais Samia Suluhu Hasani kuwafukuza wabunge waliopo bungeni bila...

Habari za Siasa

Rais Samia awahakikishia China mazingira mazuri ya biashara

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewahakikishia wafanyabiashara wa China kuandaa mazingira mazuri ya biashara nchini. Anaripoti Nasra Bakari, DMC … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

THRDC, MISA-TAN yalaani kupigwa mwanahabari

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) na Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika Tawi la Tanzania (MISA-TAN),...

Michezo

‘Europian Super League’ yaota mbawa baada ya timu sita kujitoa

  MICHUANO ya Europian Super League haitafanyika tena baada ya klabu sita kutoka nchini England kujitoa kushiriki kutokana na mashabiki na wadau wa...

AfyaHabari za Siasa

Bil 14 kujenga hospitali 28

  SERIKALI imetenga Sh. 14 Bilioni kwa ajili ya kuanza ujenzi wa hospitali mpya 28, ikiwepo Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga...

Habari za SiasaTangulizi

‘Kikwete, Kinana, Ndugai wamewakosea nini?’

  TABIA ya kusemwa vibaya Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete; Spika wa Bunge, Job Ndugai; Abdulrahman Kinana na Nape Nnauye, Mbunge wa Mtama kumemkera...

Michezo

‘Europian Super League’ yaondoka na Ed Woodward Man United

  MTENDAJI Mkuu wa Manchester United, Ed Woodward ataachana na timu hiyo mwisho wa mwaka 2021, kufuatia kuhusishwa kwake na kuanzishwa kwa michuano...

Habari za Siasa

Bunge lina ugeni mzito – Spika Ndugai

  JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Jamhuri amewaeleza wabunge wa bunge hilo kwamba, kesho Alhamis tarehe 22 Aprili 2021, kutakuwa na ugeni...

Habari za Siasa

Hatma wateja FBME bado njia panda

  WATEJA wa Benki ya Biashara ya FBME, wameshindwa kulipwa fedha zao kwa haraka kutokana na kutokukamilika kwa taratibu za kisheria. Anaripoti Jemima...

Habari za Siasa

Barabara za Ikungi kuwekwa lami

  SERIKALI imepanga kufanya usanifu na thathmini ya gharama za ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami katika Mji wa Ikungi. Anaripoti Jemima...

Habari Mchanganyiko

Akaunti za benki THRDC zafunguliwa

  AKAUNTI za Benki za Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), zilizofungwa Agosti 2020, zimefunguliwa. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Michezo

Nchimbi: Nilikuwa naumia kutofunga

  BAADA ya kupachika bao lake baada ya mwaka mmoja na siku 52 kupita, mshambuliaji wa klabu ya Yanga, Ditram Nchimbi amesema kuwa...

MichezoTangulizi

Yanga yaipiga Gwambina, yazidi kuikimbia Simba

  MABINGWA wa kihistoria Tanzania Bara, Yanga ya Dar es Salaam, imeendeleza vipigo kwenye ligi kuu nchini humo, kwa kuifunga 3-1, Gwambina FC...

Michezo

Kocha aliyekaa siku 41 Al Merreikh atua Yanga

  KLABU ya Soka ya Yanga leo imemtambulisha Mohamed Nasreddine Nabi aliyedumu kwenye kikosi cha Al Merreikh ya Sudan kwa siku 41, kuwa...

MichezoTangulizi

Nchimbi amefunga tena baada ya mwaka na siku 52

  BAADA ya kupita mwaka mmoja na siku 52, hatimaye mshambuliaji wa klabu ya Yanga, Ditram Nchimbi amefanikiwa kupachika bao kwenye mchezo wa...

Habari za Siasa

Takukuru yamkamata kigogo bandari akiwa mafichoni

  TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Mwanza, imemkamata aliyekuwa Mhasibu wa Mamlaka ya Bandari Kigoma, Madaraka Robert Madaraka...

Habari Mchanganyiko

Ujenzi Magomeni kota, Majaliwa atoa maagizo TBA

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameutaka uongozi wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), kuhakikisha wanakamilisha kazi iliyosalia ya ujenzi wa nyumba...

Michezo

Simba, Vunja Bei waingia mkataba wa Bil. 2

  KLABU ya Simba leo imeingia mkataba wa kiasi cha Sh. bilioni mbili na kampuni ya Vunja Bei Group, ambapo watakuwa watengenezaji na...

Habari MchanganyikoMichezo

Sakata la Hamornize: Polisi ‘Ole wenu wasanii’

  JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limekemea tabia ya wasanii kuvunja sharia hasa kusambaza picha za utupu. Anaripoti Regina...

Habari za Siasa

Barabara Kibena – Lupembe yatengewa Bil 5.96

  SERIKALI ya Tanzania imetenga jumla ya Sh. 5.96 Bilioni, kwa ajili ya kuanza ujenzi wa barabara ya Kibena –Lupembe, mkoani Njombe. Anaripoti...

Kimataifa

Rais wa Chad auawa

  IDRIS Deby (68), Rais wa Chad ameuawa siku moja baada ya kutangazwa kushinda uchaguzi mkuu wa nchi hiyo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa...

AfyaHabari za Siasa

Tamisemi: Hospitali Biharamulo ilitengewa Mil 500

  HALIMASHAURI ya Wilaya ya Biharamulo, Kagera ilipatiwa kiasi cha Sh. 500 Milioni katika mwaka wa fedha 2019\20 kwa ajili ya kuanza ujenzi...

Habari za Siasa

Rais Samia, Spika Ndugai wateta Ikulu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya mazungumzo na Spika wa Bunge la nchi hiyo, Job Ndugai. Anaripoti Matilda Peter, Dodoma …...

Habari za Siasa

DED Sengerema asimamishwa kazi

  MKURUGENZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, Magesa Mafuru, amesimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi wa tuhuma za ubadhirifu wa fedha za miradi...

Habari Mchanganyiko

Kajala, Paulina wahojiwa polisi

  JESHI la Polisi Tanzania, limeeleza kwamba lilimkamata mwigizaji Kajala na mwanaye Paulina kwa tuhuma za kusambaza picha za utupu za msanii wa...

Habari za SiasaTangulizi

Natamani kurudi nyumbani – Lema

  GODBLESS Lema, aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema) ambaye kwa sasa anaishi uhamishoni Canada amesema, anatamani kurejea nyumbani. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Elimu

Serikali yatenga Mil 605 ukarabati Chuo Tango

  SERIKALI ya Tanzania inaendelea na ukarabati wa Chuo cha Maendeleo ya Wananchi, unaogharimu Sh. 605.2 milioni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)....

Habari za Siasa

Natamani kurudi nyumbani – Lema

  GODBLESS Lema, aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema) ambaye kwa sasa anaishi uhamishoni Canada amesema, anatamani kurejea nyumbani. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua viongozi nane

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali nane. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa awaweka njiapanga vigogo mwendokasi, amsimamisha mmoja

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Fedha wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), Suzana Chaula baada ya...

Habari za Siasa

Rais Samia aiomba benki ya dunia…

  SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania, ameiomba Benki ya Dunia (WB), kuendelea kushirikiana katika kujenga uchumi utakaogusa makundi yote ya jamii ili...

Habari Mchanganyiko

Chalamila amkingia kifua Hayati Magufuli

  ALBERT Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, amesema wanaojadili kwamba Hayati John Magufuli alikuwa dikteta, wanachosha akili. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mbeya …...

Kimataifa

Fedha za corona zamng’oa waziri

  KEN Kandodo, Waziri wa Kazi wa Malawi na maofisa wengine wanne wa serikali ya nchi hiyo, wametimuliwa kazi kwa kukwapua fedha zilizotengwa...

Michezo

Jose Mourinho atimliwa Tottenham

  TIMU ya Tottenham Hotspur ya Uingereza, imemfukuza kocha wake mkuu, Jose Mourinho kutokana na mwenendo usioridhisha. Anaripoti Matrida Peter … (endelea). Mourinho...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia kuhutubia Bunge Alhamisi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan atahutubia Bunge la nchi hiyo, Alhamisi jioni ya tarehe 22 Aprili 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...

Habari za Siasa

Rais Samia amwapisha Mdolwa kuwa Balozi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Yusuf Tindi Mndolwa kuwa Balozi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Mdolwa, ameapishwa leo Jumatatu, tarehe...

error: Content is protected !!