Saturday , 25 March 2023
Home Kitengo Michezo Nchimbi: Nilikuwa naumia kutofunga
Michezo

Nchimbi: Nilikuwa naumia kutofunga

Spread the love

 

BAADA ya kupachika bao lake baada ya mwaka mmoja na siku 52 kupita, mshambuliaji wa klabu ya Yanga, Ditram Nchimbi amesema kuwa alikuwa anaumia wakati alipokuwa hafungi. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea). 

Nchimbi amefunga moja ya bao katika ushindi wa mabao 3-1 walioupata Yanga dhidi ya Gwambina FC kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam.

Baada ya mchezo huo kukamilika, Nchimbi alisema amejisikia furaha kwa kupachika bao hilo na alikuwa anaumia kuona hafungi katika michezo aliyokuwa anacheza.

Kwenye mchezo wa leo Nchimbi alipachika bao hilo kwenye dakika ya 18 ya mchezo.

Mara ya mwisho Nchimbi kufunga ilikuwa kwenye ushindi wa mabao 3-0, kwenye mchezo dhidi ya Alliance FC, tarehe 29 Februari 2021.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

Spread the loveUONGOZI wa klabu ya Yanga, umesema fedha zinazotolewa na Rais...

Michezo

Simba Sc. yamvulia kofia Rais Samia, yamuahidi makubwa dhidi ya Horoya

Spread the loveWAKATI timu ya Simba ikiibuka na ushindi wa bao 3-0...

Michezo

Taasisi ya TKO na TFF yawapiga msasa makocha wa kike 54

Spread the love WAKATI Soka la wasichana likichipua kwa kasi Taasisi ya...

Michezo

Kimwanga CUP yazidi kutimua vumbi

Spread the loveMASHINDANO ya mpira wa miguu ya Kimwanga CUP ya kuwania...

error: Content is protected !!