Wednesday , 29 March 2023
Home Kitengo Michezo Nchimbi amefunga tena baada ya mwaka na siku 52
MichezoTangulizi

Nchimbi amefunga tena baada ya mwaka na siku 52

Spread the love

 

BAADA ya kupita mwaka mmoja na siku 52, hatimaye mshambuliaji wa klabu ya Yanga, Ditram Nchimbi amefanikiwa kupachika bao kwenye mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Gwambina FC. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea). 

Nchimbi amepachika bao hilo kwenye dakika ya 18 kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es Salaam.

Mara ya mwisho Nchimbi kupachika bao akiwa na jezi ya Yanga ilikuwa kwenye mchezo dhidi ya Alliance uliochezwa Februari 29, 2020, ambapo alipachika mabao mawili akitokea benchi.

Hili litakuwa bao lake la kwanza toka kuanza kwa Ligi Kuu soka Tanzania Bara msimu wa 2020/21.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

TANROADS wawataka watumishi wazingatie michezo kazini

Spread the love  WAKALA wa barabara Tanzania (TANROADS) imesema michezo inapaswa kuzingatiwa...

Michezo

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

Spread the loveUONGOZI wa klabu ya Yanga, umesema fedha zinazotolewa na Rais...

Michezo

Simba Sc. yamvulia kofia Rais Samia, yamuahidi makubwa dhidi ya Horoya

Spread the loveWAKATI timu ya Simba ikiibuka na ushindi wa bao 3-0...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia ampandisha cheo RPC wa Dar

Spread the loveMKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camillus Wambura, amesema...

error: Content is protected !!